Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Povu la nini sasa ! si hakuna jipya !Hata askofu Gwajima alikuwa Chadema!
Hakuna jipya hapo zaidi ya kuchukua tahadhari dhidi ya Corona!
Usisahau kutukumbusha yatakapopoa.Mambo ni motooooo
Zunguka huku nizunguke huku tumfinye mchawi.Mambo ni motooooo
Mbona barua haina muhuri wa shura ya maimamu? Au ndio utapeli wa kisiasa?Povu la nini sasa ! si hakuna jipya !
Katiba Mpya au Katiba Bora ? Unaweza kuletewa Mpya ikawa mbaya na mbovu bora hii ya sasa..., au umesahau ile ya Sitta ? Je ndio ile ambayo watu walitoa maoni ?Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Sheikh Ponda alimtuma Katibu Muhtasi wake kupeleka barua nyumbani kwa Askofu Mwamakula , siku ambayo Baba Askofu aliitisha mkutano na waandishi wa habari wa nje na ndani .
Lengo la barua hiyo ni kutambua mchango wa Askofu Mwamakula katika kupigania Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .
Corona haipoHata askofu Gwajima alikuwa Chadema!
Hakuna jipya hapo zaidi ya kuchukua tahadhari dhidi ya Corona!
Kwani Tanzania kuna corona?Hata askofu Gwajima alikuwa Chadema!
Hakuna jipya hapo zaidi ya kuchukua tahadhari dhidi ya Corona!
Una waaibisha kina shomile wenzako ambao kimsingi ni watu wenye weledi mkubwaUsisahau kutukumbusha yatakapopoa.
Ponda kama Ponda.Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Sheikh Ponda alimtuma Katibu Muhtasi wake kupeleka barua nyumbani kwa Askofu Mwamakula , siku ambayo Baba Askofu aliitisha mkutano na waandishi wa habari wa nje na ndani .
Lengo la barua hiyo ni kutambua mchango wa Askofu Mwamakula katika kupigania Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .
View attachment 1705681
ππππKwani Tanzania kuna corona?
Corona haipo TANZANIA raisi wako mpendwa aliiondoa Kwa maombiHata askofu Gwajima alikuwa Chadema!
Hakuna jipya hapo zaidi ya kuchukua tahadhari dhidi ya Corona!
Maku ushachukua buku saba yako!....minduku sana nyie mwisho wenu unakaribia!!Hata askofu Gwajima alikuwa Chadema!
Hakuna jipya hapo zaidi ya kuchukua tahadhari dhidi ya Corona!