Barua ya Sheikh Ponda kwenda kwa Askofu Mwamakula hii hapa

Barua ya Sheikh Ponda kwenda kwa Askofu Mwamakula hii hapa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Sheikh Ponda alimtuma Katibu Muhtasi wake kupeleka barua nyumbani kwa Askofu Mwamakula , siku ambayo Baba Askofu aliitisha mkutano na waandishi wa habari wa nje na ndani .

Lengo la barua hiyo ni kutambua mchango wa Askofu Mwamakula katika kupigania Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .

FB_IMG_1613666046521.jpg
 
Ponda naye siku hizi ni keyboard worrier? Kama ni jasiri angeandamana na Lisu siku ile
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Sheikh Ponda alimtuma Katibu Muhtasi wake kupeleka barua nyumbani kwa Askofu Mwamakula , siku ambayo Baba Askofu aliitisha mkutano na waandishi wa habari wa nje na ndani .

Lengo la barua hiyo ni kutambua mchango wa Askofu Mwamakula katika kupigania Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .
Katiba Mpya au Katiba Bora ? Unaweza kuletewa Mpya ikawa mbaya na mbovu bora hii ya sasa..., au umesahau ile ya Sitta ? Je ndio ile ambayo watu walitoa maoni ?
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Sheikh Ponda alimtuma Katibu Muhtasi wake kupeleka barua nyumbani kwa Askofu Mwamakula , siku ambayo Baba Askofu aliitisha mkutano na waandishi wa habari wa nje na ndani .

Lengo la barua hiyo ni kutambua mchango wa Askofu Mwamakula katika kupigania Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .

View attachment 1705681
Ponda kama Ponda.
 
Back
Top Bottom