Barua ya ushauri: Freeman Mbowe omba msamaha ukajipange na maisha mengine

Barua ya ushauri: Freeman Mbowe omba msamaha ukajipange na maisha mengine

Unamshauri afanye kama Nape alitembea kwa mguu kwenda ikulu kumwomba msamaha JPM ili tu kitumbua chake kisiingie mchanga.

Baada ya JPM kufa kilichofuata ni historia.
 
Kuomba msamaha kwa kosa usilotenda ni udhaifu
 
Hii ngoma iende hadi mwisho tuone panapovuja maji.
 
Kumtishia Mbowe jela ni SAwa na kumtishia mamba utamtupa majini, wacha tuone mwisho wao.
Sisi tunataka watuthibiditishie huo ugaidi.
 
Naona ushahidi wa leo umeibua vilio vya kumtaka Mbowe akaombe msamaha
 
Kuna wapuuzi wasiomfahamu Mbowe, Mbowe alifungiwa Account zake Kwa miaka kadhaa, waliharibu source zake zote Halali za fedha, walimshambulia physically, socially, pychologically, kwa Kila namna lakini hawakuweza, eti Leo muanze kusema aombe msamaha? Upi? Wa Nini? Mbwa nyie
 
Ukiona kesi yoyote inachukua mda mrefu kuisha jua ni ya kubumba.
Kesi halisi haichukui mda mrefu mfano ya Sabaya
 
Aombe ili akataliwe na vichambo kama Ayubu?

Ayubu aliomba na haikusaidia kitu akaishiwa kushinikizwa kujiulu.
 
Mnamtega?

Msamaha huwa una mawili kukubaliwa
Au kukataliwa.

Actually itakuwa ni ukiri wa kosa.
 
Mfano wa Yesu umeuweka pasipostahili!Yesu alipitia Mateso,hakumnyenyekea Wala kumtumikia shetani!
Sasa unatumiaje mfano huo kwa kumtaka Mbowe amnyenyekee mtesi wake?
Mwanzo kabisa wa huduma yake Bw. Yesu alijaribiwa na Shetani kwa ahadi kemkem; oh jirushe; ooh upuuzi gani lakini alishinda vishawishi vyote!

Kwa neema za Mungu wa Mbinguni Mwamba atashinda hila zote za yule mwovu malkia wa kuzimu.
 
Nataka kuziamini hizi tetesi zilizopo kuwa huenda hiyo ni kampeni ya Mama kumlazimisha Mbowe aombe msamaha ili jumuia ya kimataifa iamini kuwa mwenye makosa ni Mbowe siyo Serikali! Huenda mtoa post from Lumumba ni timu kampeni "MBOWE OMBA MSAMAHA UACHIWE"!
 
Nataka kuziamini hizi tetesi zilizopo kuwa huenda hiyo ni kampeni ya Mama kumlazimisha Mbowe aombe msamaha ili jumuia ya kimataifa iamini kuwa mwenye makosa ni Mbowe siyo Serikali! Huenda mtoa post from Lumumba ni timu kampeni "MBOWE OMBA MSAMAHA UACHIWE"!
Ha ha ha!
 
Ina maana angekua ni gaidi kweli angelazimishwa kuomba msamaha hivi hivi au kwa vile kesi ya michongo inamdhalilisha yule aliyejitamba BBC.

Angekua amebaki na haiba ya kike kidogo yeye ndio angepaswa kuchutama na kuomba radhi kwa kumnenea baba wa watu uongo kwenye kituo cha habari cha kimataifa.
 
Back
Top Bottom