Barua ya ushauri: Freeman Mbowe omba msamaha ukajipange na maisha mengine

Barua ya ushauri: Freeman Mbowe omba msamaha ukajipange na maisha mengine

Ushauri wa wanyonge wa awamu ya tano...

Kinyonge saaaana... Ushauri wa hovyo
 
Kabla ya Mbowe kukamatwa walikuwa wanakula wapi?
Lissu anakula kwa beberu lake Amsterdam, Lema alikuwa mwizi wa magari, mbunge na Sasa kaenda kula kwa mabeberu eti akirudi atafanywa kama mbowe. Sasa mbowe akiachiwa watakosa hoja.
 
Mbowe anatimiza wajibu wake kama mzalendo na anamsaidia mama kutimiza wajibu aliopewa wakati akiapishwa kuwa Raisi wa nchi!!!!kwani wewe hupendi katiba mpya!!
 
Nchi imekua na watu wa hovyo sana hao kina nyerere wangekua na mawazo mfu ya uoga namna hii hata huo uhuru tusingeupata.
 
Lissu anakula kwa beeru lake Amsterdam, Lema alikuwa mwizi wa magari, mbunge na Sasa kaenda kula kwa mabeberu eti akirudi atafanywa kama mbowe. Sasa mbowe akiachiwa watakosa hoja.
Watu wa aina Yako huwa nawapuuza tu,so usiku mwema!
 
Labda ameshapata mtu gerezani kwa hiyo hataki kutoka
 
Yaani wewe una akili za kuvukia barabara tu. Ulisomeshwa kwa bahati mbaya. Bora ngo'ombe wenu angepelekwa shule!
 
Hivi Kwann imekua hivi? Msamaha how? Jambo lipo mahakamani na kesi inaendelea. Inakuaje yanakuja matamko ya watu mbalimbali juu ya kuomba msamaha kwann? Nadhan ni vzr kila mmoja akae kwa kutulia ili mahakama itende haki kisheria. Hii biashara ya kuomba msamaha kuna kitu hapa.. sio bure!

View attachment 2094230
Kuna MTEGO upo hapo..utanasa waliomo na wasiokuwemo....
 
Kwa hiyo huo msamaha anaenda kumuomba Nani?

MBOWE SIYO GAIDI

MSAMAHA HATUOMBI

HUO MTEGO UTAWANASA WENYEWE
mungu fundi aisee, kaamua kutupigania kwa kulisweka lile jambazi lupango, linakula viboko uko[emoji23][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Yaani wewe una akili za kuvukia barabara tu. Ulisomeshwa kwa bahati mbaya. Bora ngo'ombe wenu angepelekwa shule!
mungu fundi aisee, kaamua kutupigania kwa kulisweka lile jambazi lupango, linakula viboko uko[emoji23][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Hata ukifungwa miaka mingi wakati unachokipigania ni kitu muhimu,sahihi na kinachokufurahisha katika maisha yako huwezi kuomba msamaha kamwe maana kuomba msamaha tu kutamaanisha hujitambui maana hutaki furaha yako iendelee na hii ndiyo sababu wapigania ukweli na haki wengi zaidi walikubali mateso kuliko kuisaliti mioyo yao iliyotambua vema wanachokipigania kilikuwa kitu bora zaidi hata ya uhai wao.

Kwa asili ya familia ya Mbowe ni wazi hakuna ambacho hajajaribu kwenye maisha ya kawaida linapokuja suala la maisha na akakikosa.Maisha yetu yote tunapigania kuwa na pesa ambazo Mbowe anazo na alizaliwa akazikuta kwao zipo za kutosha tu.So furaha yake ishakuwa ni kupigania mabadiliko ya kisiasa kwa taifa lake na ameonesha yupo tayari kuacha vyote kupigania anachokiamini.

Mungu atamjalia mema tu ni suala la kuomba tu Mungu atende mapenzi yake mema kwake maana ndiyo kilichosalia hapo.
 
Hata ukifungwa miaka mingi wakati unachokipigania ni kitu muhimu,sahihi na kinachokufurahisha katika maisha yako huwezi kuomba msamaha kamwe maana kuomba msamaha tu kutamaanisha hujitambui maana hutaki furaha yako iendelee na hii ndiyo sababu wapigania ukweli na haki wengi zaidi walikubali mateso kuliko kuisaliti mioyo yao iliyotambua vema wanachokipigania kilikuwa kitu bora zaidi hata ya uhai wao.

Kwa asili ya familia ya Mbowe ni wazi hakuna ambacho hajajaribu kwenye maisha ya kawaida linapokuja suala la maisha na akakikosa.Maisha yetu yote tunapigania kuwa na pesa ambazo Mbowe anazo na alizaliwa akazikuta kwao zipo za kutosha tu.So furaha yake ishakuwa ni kupigania mabadiliko ya kisiasa kwa taifa lake na ameonesha yupo tayari kuacha vyote kupigania anachokiamini.

Mungu atamjalia mema tu ni suala la kuomba tu Mungu atende mapenzi yake mema kwake maana ndiyo kilichosalia hapo.
mungu fundi aisee, kaamua kutupigania kwa kulisweka lile jambazi lupango, linakula viboko uko[emoji23][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Hata ukifungwa miaka mingi wakati unachokipigania ni kitu muhimu,sahihi na kinachokufurahisha katika maisha yako huwezi kuomba msamaha kamwe maana kuomba msamaha tu kutamaanisha hujitambui maana hutaki furaha yako iendelee na hii ndiyo sababu wapigania ukweli na haki wengi zaidi walikubali mateso kuliko kuisaliti mioyo yao iliyotambua vema wanachokipigania kilikuwa kitu bora zaidi hata ya uhai wao.

Kwa asili ya familia ya Mbowe ni wazi hakuna ambacho hajajaribu kwenye maisha ya kawaida linapokuja suala la maisha na akakikosa.Maisha yetu yote tunapigania kuwa na pesa ambazo Mbowe anazo na alizaliwa akazikuta kwao zipo za kutosha tu.So furaha yake ishakuwa ni kupigania mabadiliko ya kisiasa kwa taifa lake na ameonesha yupo tayari kuacha vyote kupigania anachokiamini.

Mungu atamjalia mema tu ni suala la kuomba tu Mungu atende mapenzi yake mema kwake maana ndiyo kilichosalia hapo.
Wewe una pesa?

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Mfano wa Yesu umeuweka pasipostahili!Yesu alipitia Mateso,hakumnyenyekea Wala kumtumikia shetani!
Sasa unatumiaje mfano huo kwa kumtaka Mbowe amnyenyekee mtesi wake?
Ajabu sana mkuu! Hata mimi nimeshangaa namna mtoa mada alivyoji-contradict kwa kutoa mfano wa Yesu kwasababu Yesu haku-surrender na ndiyo maana tukakombolewa kwa damu yake iliyomwagika msalabani. Ange-surrender tusingepata ukombozi.

On the contrary, mtoa mada hajui kwamba the system of administration of Justice in Tanzania haina hiyo kitu inaitwa "win-win situation", it's either you lose or you win.

Kwa sasa ni hayo tu, I beg to remain.
 
Back
Top Bottom