Barua ya wazi kwa Alikiba

Shabiki maviii huyuuu...Tunataka mziki mzuri sio collabo tu..Kiba apo vizul for now..Kama umechoka kumshabikia una uhuru wa kuondoka na kusaoni mkataba na wasafi..Utapewa kiki hata utoke na Gigy money
ndio tatizo la mashabiki jamaa amesema kitu point unakurupuka kujibu hadi unakosea kuandika vizuri,tulia na soma post vizuri mfyuuuuuuuuuuuuuu
 
mimi sidhani kama jamaa kashindanisha mtu hapa wewe ndio umeleta ushabiki na kushindanisha watu, all in all wote tunajua ambapo ally yupo na wapi nasib yupo.Jamaa ameongelea mambo ambayo kiba anafeli akiwa kama shabiki anaumia kuona msanii wake hayafanyi kama wasanii wenzie,ili afike huko ambapo wapo
 
Mpaka mali zake...mweeh?
Watu wengine wanaile tabia ya kutokupenda kujifaharisha.....
 
Toka uko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…