Barua ya Wazi Kwa Comrade Ally Saleh, Uchaguzi Umekwisha, Yaliyopita Si Ndwele, Tugange Yaliyopo na Yajayo, Pelekeni Majina, Muijenge Zanzibar Yenu!

Barua ya Wazi Kwa Comrade Ally Saleh, Uchaguzi Umekwisha, Yaliyopita Si Ndwele, Tugange Yaliyopo na Yajayo, Pelekeni Majina, Muijenge Zanzibar Yenu!

Wanabodi,

Hii ni Barua yangu ya Wazi kwa Ndugu yangu mwana fani mwenzangu wa tasnia ya habari na mwanasheria Mwenzangu, Ally Saleh, ambaye kwenye mambo ya Zanzibar, tumetoka naye mbali, toka wakati akiwa reporter wa BBC kule Zanzibar na mimi nikiwa reporter wa DTV ya Dar.

Wakati wa vurugu za Zanzibar za January 2001 kufuatia uchaguzi mkuu wa mwaka 2000, mimi, mwandishi wa gazeti la Majira na Ally Saleh tulionja nae kidogo ladha ya Mwembe Madema kule Zanzibar ile January 2001!. Sijui ni waandishi wangapi wa habari wa bara na Visiwani wamewahi kuionja Mwembe Madema!. Na kwa vile hii ni issue ya Zanzibar, naomba nisizungumzie mambo ya Mwembe Madema, kwa wabara mnaweza msielewe, Mwembe Madema ni nini, ni wapi, na hiyo ladha ya Mwembe Madema tuliyoonja mimi, Ally Saleh na mpiga picha wa gazeti la Majira wa enzi hizo Khalfan Said ni ladha ya kitu gani, hilo tuwaachie wenyewe Wazanzibari ndio wanajua Mwembe Madema ni wapi na kuna nini.

Barua hii ya wazi kwa Ally Saleh ni kufuatia kuisoma barua yake kwa JPM kabla ya uchaguzi na leo nimesoma tena maoni yake kwa kilichotokea Zanzibar kwenye uchaguzi huu.


Kwanza pole sana ndugu yangu, kaka yangu na mwanafani mwenzangu Ally Saleh kwa juhudi zako binafsi kuepusha shari, na poleni ndugu zetu Wazanzibari kwa kilichotokea, ikiwemo kuugharimikia uchaguzi mkuu wenu kwa machozi, jasho na damu, maadam this time ushahidi wa picha na video zipo, I hope this time mtafanya the right thing na sio kuishia kupiga tuu kelele kama uchaguzi wa 2015 ambapo niliuliza

Kupitia matokeo ya NEC ya uchaguzi Mkuu wa 2015, yameonyesha mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hakushinda Zanzibar, aliyeongoza kwa kura za Wanzanzibari kwenye uchaguzi wa rais wa JMT, ni mgombea wa upinzani, Edward Lowassa, na wapiga kura ni wale wale, then by proxy, kama uchaguzi wa Zanzibar usingefutwa, then CCM ingeshindwa na mshindi angekuwa ni Maalim Seif Sharif Hamad

Kutokana na matokeo hayo, then kuna possibility siku zote huwa anashinda lakini hapewi, jee mliwahi kufanya utafiti kwanini mtu wenu huwa anashinda lakini hapewi, ili kabla hamjaingia kwenye uchaguzi mwingine tena, mjiridhishe kuwa hizo sababu sasa hazipo, hivyo this time akishinda atapewa?.

Mimi ni member wa mtandao maarufu wa Jamiiforums na japo nina chama, lakini naandika kama mchambuzi huru, hivyo kabla ya uchaguzi kule jf niliandika bandiko hili

Kwenye bandiko hilo, nilisema
" kama Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio inakwenda kushinda uchaguzi mkuu huu kwa a landslide victory ya ushindi wa kishindo, kwa pande zote mbili za Muungano!.

Ushindi huu ni kufuatia mimi mwana JF mwenzenu, Pasco Mayalla, nimesikia sauti ndani ya moyo wangu, yaani voices from within, kuwa katika uchaguzi huu, mshindi ni CCM!. Hii voices from within, is never wrong, maana ni sauti yake YEYE mwenyewe!

Kwa upande wa Tanzania Bara, CCM itashinda kwa kishindo kwasababu ya track record ya Magufuli, itaibeba CCM na kushinda kwa kishindo.

Kwa upande wa Zanzibar, kwa mujibu wa katiba, rais wa Zanzibar ni mjumbe wa cabinet ya JMT, Muundo wa serikali ya JMT, hatuna serikali ya mseto, ushindi ni by a simple majority, hata akishinda kwa kura moja, ni mshindi, and the winner takes it all. Hivyo mshindi wa Zanzibar lazima iwe ni CCM!"

Nilimaliza andiko langu kwa maneno haya
"Nawatakia maandalizi mema ya October 28, sio kwenda kuchagua, bali kwenda tuu kuthibisha kilichochaguliwa tayari kwa ajili tuu ya kukamilisha taratibu za mchakato wa kukamilisha uchaguzi, kama ni kuchagua, watu siku nyingi, wameisha chagua mioyoni mwao, tarehe 28 ni kukamilisha tuu taratibu".

Sasa kwa vile hayo yametokea na sio mapya, na uchaguzi umekwisha, uchaguzi mwingine ni 2025, na kwasababu hakuna kitu kingine chochote kinachoweza kufanyika sasa kubadili matokeo, nakushauri, washauri chama chako, hata kama mmedhulumiwa na hamjaridhika na matokeo, ili kuweza kuendelea na mapambano, tumieni kanuni ya " If you can't beat them,
join them", kanuni hii hutumika kwenye vita, ukiona unashindwa au anaelemewa, kuliko kuendelea ku fight and be wiped out, sometimes it's wise to retreat kwenda kujijenga upya, or to surrender and join them. Hivyo natoa wito kwako na chama chako, yaliyopita sii ndwele, kubalini matokeo, join them na kutoa ushirikiano, pelekeni jina la Makamu wa Kwanza wa rais, na majina 2 ya mawaziri kwenye serikali ya Umoja wa Kitaifa, muijenge Zanzibar yenu.

Kwa kuendelea kususa, you have everything to loose and nothing to gain, your will be wiped out completely and buried 6ft under!, hivyo there will be no one at all uchaguzi wa 2025, hivyo ni busara to join them for survival hadi 2025.

By joining them, you'll have everything to gain and nothing to loose, yaliyopita sii ndwele, gangeni yaliyopo na yajayo. The choice is yours.
I wish you all the best.

Your Media Comrade, and fellow Learned Brother
Paskali.
Wanabodi kiukweli JF inasaidia sana!. Bandiko hili limesaidia na matokeo ya bandiko hili ni haya
Kamati kuu ya chama chetu imeazimia kwamba, wawakilishi wachache kwa maana ya madiwani, wajumbe wa baraza la wawakilishi na wabunge ambao wametangazwa kushinda waruhusiwe kushiriki kwenye vyombo vyao vya uwakilishi ili waendeleze mapambano kwenye vyombo hivyo.

Ni muhimu ieleweke kwamba, kamati kuu imefikia uamuzi huu sio kwamba tunaufurahia, kamati kuu ilikuwa kwenye njia panda ya kuchagua njia moja kati ya njia mbili. Ilikuwa ni kuchagua ama uamuzi mbaya, ama uamuzi mbaya zaidi.

Haikuwa chagua baina ya uamuzi mzuri sana na uamuzi mbaya, hilo ni muhimu sana lieleweke. Kwa hiyo tumechagua njia mbayo tumeona ina nafuu.

Pili, kamati kuu ya chama chetu kwa kuzingatia ibara ya 9(3) ya katiba ya Zanzibar imeridhia chama kushiriki kwenye serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar na imeielekeza kamati ya uongozi ya chama chetu kupendekeza jina la mwanachama ataekuwa makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar na muhimu ieleweke katika kuhitimisha, kamati kuu ya chama chetu imefikia maamuzi haya baada ya kufanya tafakuri ya kina.
Huu sasa ndio uamuzi wa busara, sio kususa tuu bila mpango.
Asiyekubali kushindwa sio mshindani, if you can't get what you want, just take what you get!, and if you can't beat them, join them!.
Hatimaye ACT Wazalendo sasa wamekubali matokeo, sio tuu watapokea kidogo walichopata, bali pia wata wa join them kwenye kuunda SUK.
Hongera sana ACT, hizi ndio siasa za kweli.
P
 
Wanabodi,

Hii ni Barua yangu ya Wazi kwa Ndugu yangu mwana fani mwenzangu wa tasnia ya habari na mwanasheria Mwenzangu, Ally Saleh, ambaye kwenye mambo ya Zanzibar, tumetoka naye mbali, toka wakati akiwa reporter wa BBC kule Zanzibar na mimi nikiwa reporter wa DTV ya Dar.

Wakati wa vurugu za Zanzibar za January 2001 kufuatia uchaguzi mkuu wa mwaka 2000, mimi, mwandishi wa gazeti la Majira na Ally Saleh tulionja nae kidogo ladha ya Mwembe Madema kule Zanzibar ile January 2001!. Sijui ni waandishi wangapi wa habari wa bara na Visiwani wamewahi kuionja Mwembe Madema!. Na kwa vile hii ni issue ya Zanzibar, naomba nisizungumzie mambo ya Mwembe Madema, kwa wabara mnaweza msielewe, Mwembe Madema ni nini, ni wapi, na hiyo ladha ya Mwembe Madema tuliyoonja mimi, Ally Saleh na mpiga picha wa gazeti la Majira wa enzi hizo Khalfan Said ni ladha ya kitu gani, hilo tuwaachie wenyewe Wazanzibari ndio wanajua Mwembe Madema ni wapi na kuna nini.

Barua hii ya wazi kwa Ally Saleh ni kufuatia kuisoma barua yake kwa JPM kabla ya uchaguzi na leo nimesoma tena maoni yake kwa kilichotokea Zanzibar kwenye uchaguzi huu.


Kwanza pole sana ndugu yangu, kaka yangu na mwanafani mwenzangu Ally Saleh kwa juhudi zako binafsi kuepusha shari, na poleni ndugu zetu Wazanzibari kwa kilichotokea, ikiwemo kuugharimikia uchaguzi mkuu wenu kwa machozi, jasho na damu, maadam this time ushahidi wa picha na video zipo, I hope this time mtafanya the right thing na sio kuishia kupiga tuu kelele kama uchaguzi wa 2015 ambapo niliuliza

Kupitia matokeo ya NEC ya uchaguzi Mkuu wa 2015, yameonyesha mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hakushinda Zanzibar, aliyeongoza kwa kura za Wanzanzibari kwenye uchaguzi wa rais wa JMT, ni mgombea wa upinzani, Edward Lowassa, na wapiga kura ni wale wale, then by proxy, kama uchaguzi wa Zanzibar usingefutwa, then CCM ingeshindwa na mshindi angekuwa ni Maalim Seif Sharif Hamad

Kutokana na matokeo hayo, then kuna possibility siku zote huwa anashinda lakini hapewi, jee mliwahi kufanya utafiti kwanini mtu wenu huwa anashinda lakini hapewi, ili kabla hamjaingia kwenye uchaguzi mwingine tena, mjiridhishe kuwa hizo sababu sasa hazipo, hivyo this time akishinda atapewa?.

Mimi ni member wa mtandao maarufu wa Jamiiforums na japo nina chama, lakini naandika kama mchambuzi huru, hivyo kabla ya uchaguzi kule jf niliandika bandiko hili

Kwenye bandiko hilo, nilisema
" kama Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio inakwenda kushinda uchaguzi mkuu huu kwa a landslide victory ya ushindi wa kishindo, kwa pande zote mbili za Muungano!.

Ushindi huu ni kufuatia mimi mwana JF mwenzenu, Pasco Mayalla, nimesikia sauti ndani ya moyo wangu, yaani voices from within, kuwa katika uchaguzi huu, mshindi ni CCM!. Hii voices from within, is never wrong, maana ni sauti yake YEYE mwenyewe!

Kwa upande wa Tanzania Bara, CCM itashinda kwa kishindo kwasababu ya track record ya Magufuli, itaibeba CCM na kushinda kwa kishindo.

Kwa upande wa Zanzibar, kwa mujibu wa katiba, rais wa Zanzibar ni mjumbe wa cabinet ya JMT, Muundo wa serikali ya JMT, hatuna serikali ya mseto, ushindi ni by a simple majority, hata akishinda kwa kura moja, ni mshindi, and the winner takes it all. Hivyo mshindi wa Zanzibar lazima iwe ni CCM!"

Nilimaliza andiko langu kwa maneno haya
"Nawatakia maandalizi mema ya October 28, sio kwenda kuchagua, bali kwenda tuu kuthibisha kilichochaguliwa tayari kwa ajili tuu ya kukamilisha taratibu za mchakato wa kukamilisha uchaguzi, kama ni kuchagua, watu siku nyingi, wameisha chagua mioyoni mwao, tarehe 28 ni kukamilisha tuu taratibu".

Sasa kwa vile hayo yametokea na sio mapya, na uchaguzi umekwisha, uchaguzi mwingine ni 2025, na kwasababu hakuna kitu kingine chochote kinachoweza kufanyika sasa kubadili matokeo, nakushauri, washauri chama chako, hata kama mmedhulumiwa na hamjaridhika na matokeo, ili kuweza kuendelea na mapambano, tumieni kanuni ya " If you can't beat them,
join them", kanuni hii hutumika kwenye vita, ukiona unashindwa au anaelemewa, kuliko kuendelea ku fight and be wiped out, sometimes it's wise to retreat kwenda kujijenga upya, or to surrender and join them. Hivyo natoa wito kwako na chama chako, yaliyopita sii ndwele, kubalini matokeo, join them na kutoa ushirikiano, pelekeni jina la Makamu wa Kwanza wa rais, na majina 2 ya mawaziri kwenye serikali ya Umoja wa Kitaifa, muijenge Zanzibar yenu.

Kwa kuendelea kususa, you have everything to loose and nothing to gain, your will be wiped out completely and buried 6ft under!, hivyo there will be no one at all uchaguzi wa 2025, hivyo ni busara to join them for survival hadi 2025.

By joining them, you'll have everything to gain and nothing to loose, yaliyopita sii ndwele, gangeni yaliyopo na yajayo. The choice is yours.
I wish you all the best.

Your Media Comrade, and fellow Learned Brother
Paskali.
Pascal . Huwa unaandika mambo as if hakuna namna ya kufanya mambo kuwa sawa !!!.

Hivi Tanzania tumekuwa duni kiasi hicho ?!. Nimeona na bara mambo ya hovyo yakifanyika kwenye chaguzi zetu.

Pascal tafadhali !!
 
Pascal . Huwa unaandika mambo as if hakuna namna ya kufanya mambo kuwa sawa !!!.

Hivi Tanzania tumekuwa duni kiasi hicho ?!. Nimeona na bara mambo ya hovyo yakifanyika kwenye chaguzi zetu.

Pascal tafadhali !!
Mkuu Odhiambo cairo , mimi ni mkweli Daima, na haya ninayoandika ni ukweli mtupu. Sio hakuna namna ya kufanya mambo yetu kuwa sawa, bali kinachoendelea ndio namna yetu ya ufanyaji mambo.

Tanzania hatujakuwa duni kiasi hicho, hicho kiasi unachokiita duni ndio kiasi chetu, na hayo mambo unayosema ni ya hovyo na umeyaona, hayo ndio mambo yetu siku zote, ila tuu uchaguzi huu, yamekuwa too amplified!.

P
 
Pascal . Huwa unaandika mambo as if hakuna namna ya kufanya mambo kuwa sawa !!!.

Hivi Tanzania tumekuwa duni kiasi hicho ?!. Nimeona na bara mambo ya hovyo yakifanyika kwenye chaguzi zetu.

Pascal tafadhali !!
Mkuu Odhiambo cairo , mimi ni mkweli Daima, na haya ninayoandika ni ukweli mtupu. Sio hakuna namna ya kufanya mambo yetu kuwa sawa, bali kinachoendelea ndio namna yetu ya ufanyaji mambo.

Tanzania hatujakuwa duni kiasi hicho, hicho kiasi unachokiita duni ndio kiasi chetu, na hayo mambo unayosema ni ya hovyo na umeyaona, hayo ndio mambo yetu siku zote, ila tuu uchaguzi huu, yamekuwa tu just too much amplified!.

P
 
Mkuu Odhiambo cairo , mimi ni mkweli Daima, na haya ninayoandika ni ukweli mtupu. Sio hakuna namna ya kufanya mambo yetu kuwa sawa, bali kinachoendelea ndio namna yetu ya ufanyaji mambo.

Tanzania hatujakuwa duni kiasi hicho, hicho kiasi unachokiita duni ndio kiasi chetu, na hayo mambo unayosema ni ya hovyo na umeyaona, hayo ndio mambo yetu siku zote, ila tuu uchaguzi huu, yamekuwa too amplified!.

P
Kwamba Sisi ni wa hivi ndiyo style yetu ??!!. Umenifikirisha sana na kujiuliza tulipokosea ni wapi ?.

WaTz wasioamini ktk Ccm haki yao ya kuwaongoza waTz italetwa na nani ?!. Labda ile njia nyingine wasioipenda wengi, kwa sababu viongozi wengi wa ki Africa hawawezi kuona umuhimu wa wapinzani wao mpaka machafuko yatokee !!

Naona wivu sana mataifa kama Ghana, Malawi Senegal etc walivyojiwekea utaratibu mzuri wa wao kuchaguana. Na hata pale upande moja unapokuwa na mashaka na uendeshaji wa uchaguzi. Basi mahakama zipo kuondoa mtafaruku. Lakini nyumbani hapa, daahh !!. Kaijage akishatangaza tu ni dk 90
 
Wanabodi,

Hii ni Barua yangu ya Wazi kwa Ndugu yangu mwana fani mwenzangu wa tasnia ya habari na mwanasheria Mwenzangu, Ally Saleh, ambaye kwenye mambo ya Zanzibar, tumetoka naye mbali, toka wakati akiwa reporter wa BBC kule Zanzibar na mimi nikiwa reporter wa DTV ya Dar.

Wakati wa vurugu za Zanzibar za January 2001 kufuatia uchaguzi mkuu wa mwaka 2000, mimi, mwandishi wa gazeti la Majira na Ally Saleh tulionja nae kidogo ladha ya Mwembe Madema kule Zanzibar ile January 2001!. Sijui ni waandishi wangapi wa habari wa bara na Visiwani wamewahi kuionja Mwembe Madema!. Na kwa vile hii ni issue ya Zanzibar, naomba nisizungumzie mambo ya Mwembe Madema, kwa wabara mnaweza msielewe, Mwembe Madema ni nini, ni wapi, na hiyo ladha ya Mwembe Madema tuliyoonja mimi, Ally Saleh na mpiga picha wa gazeti la Majira wa enzi hizo Khalfan Said ni ladha ya kitu gani, hilo tuwaachie wenyewe Wazanzibari ndio wanajua Mwembe Madema ni wapi na kuna nini.

Barua hii ya wazi kwa Ally Saleh ni kufuatia kuisoma barua yake kwa JPM kabla ya uchaguzi na leo nimesoma tena maoni yake kwa kilichotokea Zanzibar kwenye uchaguzi huu.


Kwanza pole sana ndugu yangu, kaka yangu na mwanafani mwenzangu Ally Saleh kwa juhudi zako binafsi kuepusha shari, na poleni ndugu zetu Wazanzibari kwa kilichotokea, ikiwemo kuugharimikia uchaguzi mkuu wenu kwa machozi, jasho na damu, maadam this time ushahidi wa picha na video zipo, I hope this time mtafanya the right thing na sio kuishia kupiga tuu kelele kama uchaguzi wa 2015 ambapo niliuliza

Kupitia matokeo ya NEC ya uchaguzi Mkuu wa 2015, yameonyesha mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hakushinda Zanzibar, aliyeongoza kwa kura za Wanzanzibari kwenye uchaguzi wa rais wa JMT, ni mgombea wa upinzani, Edward Lowassa, na wapiga kura ni wale wale, then by proxy, kama uchaguzi wa Zanzibar usingefutwa, then CCM ingeshindwa na mshindi angekuwa ni Maalim Seif Sharif Hamad

Kutokana na matokeo hayo, then kuna possibility siku zote huwa anashinda lakini hapewi, jee mliwahi kufanya utafiti kwanini mtu wenu huwa anashinda lakini hapewi, ili kabla hamjaingia kwenye uchaguzi mwingine tena, mjiridhishe kuwa hizo sababu sasa hazipo, hivyo this time akishinda atapewa?.

Mimi ni member wa mtandao maarufu wa Jamiiforums na japo nina chama, lakini naandika kama mchambuzi huru, hivyo kabla ya uchaguzi kule jf niliandika bandiko hili

Kwenye bandiko hilo, nilisema
" kama Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio inakwenda kushinda uchaguzi mkuu huu kwa a landslide victory ya ushindi wa kishindo, kwa pande zote mbili za Muungano!.

Ushindi huu ni kufuatia mimi mwana JF mwenzenu, Pasco Mayalla, nimesikia sauti ndani ya moyo wangu, yaani voices from within, kuwa katika uchaguzi huu, mshindi ni CCM!. Hii voices from within, is never wrong, maana ni sauti yake YEYE mwenyewe!

Kwa upande wa Tanzania Bara, CCM itashinda kwa kishindo kwasababu ya track record ya Magufuli, itaibeba CCM na kushinda kwa kishindo.

Kwa upande wa Zanzibar, kwa mujibu wa katiba, rais wa Zanzibar ni mjumbe wa cabinet ya JMT, Muundo wa serikali ya JMT, hatuna serikali ya mseto, ushindi ni by a simple majority, hata akishinda kwa kura moja, ni mshindi, and the winner takes it all. Hivyo mshindi wa Zanzibar lazima iwe ni CCM!"

Nilimaliza andiko langu kwa maneno haya
"Nawatakia maandalizi mema ya October 28, sio kwenda kuchagua, bali kwenda tuu kuthibisha kilichochaguliwa tayari kwa ajili tuu ya kukamilisha taratibu za mchakato wa kukamilisha uchaguzi, kama ni kuchagua, watu siku nyingi, wameisha chagua mioyoni mwao, tarehe 28 ni kukamilisha tuu taratibu".

Sasa kwa vile hayo yametokea na sio mapya, na uchaguzi umekwisha, uchaguzi mwingine ni 2025, na kwasababu hakuna kitu kingine chochote kinachoweza kufanyika sasa kubadili matokeo, nakushauri, washauri chama chako, hata kama mmedhulumiwa na hamjaridhika na matokeo, ili kuweza kuendelea na mapambano, tumieni kanuni ya " If you can't beat them,
join them", kanuni hii hutumika kwenye vita, ukiona unashindwa au anaelemewa, kuliko kuendelea ku fight and be wiped out, sometimes it's wise to retreat kwenda kujijenga upya, or to surrender and join them. Hivyo natoa wito kwako na chama chako, yaliyopita sii ndwele, kubalini matokeo, join them na kutoa ushirikiano, pelekeni jina la Makamu wa Kwanza wa rais, na majina 2 ya mawaziri kwenye serikali ya Umoja wa Kitaifa, muijenge Zanzibar yenu.

Kwa kuendelea kususa, you have everything to loose and nothing to gain, your will be wiped out completely and buried 6ft under!, hivyo there will be no one at all uchaguzi wa 2025, hivyo ni busara to join them for survival hadi 2025.

By joining them, you'll have everything to gain and nothing to loose, yaliyopita sii ndwele, gangeni yaliyopo na yajayo. The choice is yours.
I wish you all the best.

Your Media Comrade, and fellow Learned Brother
Paskali.

Nashangaa pale ambako tuna support sana unyimaji wa haki na kupetesha. Je ni kwa faida ya nani? Wananchi au watu binafsi
 
Kwamba Sisi ni wa hivi ndiyo style yetu ??!!. Umenifikirisha sana na kujiuliza tulipokosea ni wapi ?.

WaTz wasioamini ktk Ccm haki yao ya kuwaongoza waTz italetwa na nani ?!. Labda ile njia nyingine wasioipenda wengi, kwa sababu viongozi wengi wa ki Africa hawawezi kuona umuhimu wa wapinzani wao mpaka machafuko yatokee !!

Naona wivu sana mataifa kama Ghana, Malawi Senegal etc walivyojiwekea utaratibu mzuri wa wao kuchaguana. Na hata pale upande moja unapokuwa na mashaka na uendeshaji wa uchaguzi. Basi mahakama zipo kuondoa mtafaruku. Lakini nyumbani hapa, daahh !!. Kaijage akishatangaza tu ni dk 90
Pole!. Huu ndio ukweli wenyewe wa mambo.
P
 
View attachment 1643490
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi amemteua Maalim Seif Shariff Hamad, kuwa Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar kuanzia leo Disemba 06, 2020.

=====

Taarifa kwa vyombo vya Habari

Kwa kuzingatia matakwa ya Kifungu cha 9(3) cha Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984,kinachosema kwamba “Muundo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar utakuwa na Umoja wa Kitaifa na utendaji wa kazi zake utafanywa katika utaratibu utakaohakikisha kuendelezwa kwa umoja nchini na lengo la kufikia demokrasia”.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi amemteua Mheshimiwa Maalim Seif Sharif Hamad kuwa Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.

Uteuzi huo umeanza leo tarehe 6 Disemba,2020
View attachment 1643495
Huu sasa ndio uamuzi wa busara, sio kususa tuu bila mpango.
Asiyekubali kushindwa sio mshindani, if you can't get what you want, just take what you get!, and if you can't beat them, join them!.
Hatimaye ACT Wazalendo sasa wamekubali matokeo, sio tuu watapokea kidogo walichopata, bali pia wata wa join them kwenye kuunda SUK.
Wana jf, tujifunze kuukubali ukweli jinsi ulivyo, hakuna mkate mgumu mbele ya chai!. Maalim Seif at 77, has everything to gain and nothing to lose.
Hongera Dr. Mwinyi kwa uteuzi huu.
Hongera Maalim Seif kwa kuitanguliza mbele Zanzibar.
Hongera sana ACT Wazalendo for doing the right thing na sasa hizi ndio siasa za kweli za maendeleo, na sio kususa susa bila manufaa yoyote.
P
 
Hii ni taarifa kutoka Zanzibar iliyotufikia hivi punde , kwamba Dr Hussein Mwinyi ameteua Ndugu Nassoro Mazrui ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo pamoja na Mwanasheria wa Chama hicho Omary Shaaban kuwa wajumbe wa baraza la Wawakilishi .

Huu ni muendelezo wa mambo ya SUK .

Tunawatakia kila la heri

====

Rais wa Zanzibar, Dkt Hussein Ali Mwinyi amemteua Naibu Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo, Nassor Ahmed Mazrui na mwanasheria mkuu wa chama hicho, Omar Said Shaaban kuwa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi.
View attachment 1644003
Hizi sasa ndio siasa za ukweli. Sio zile siasa za kususa susa. Wakati Chadema wanaendelea kushupaza shingo, wenzao, wamepiga bao la kisigino.
Naendelea kusisitiza, "if you can't get what you want, then what you get". Yaani usipopata kile kikubwa unachokitaka, pokea hata kidogo ulicho patina!.
Na kwenye mapambano ya kupigania kitu, "if you can't beat them, join them". ACT Wazalendo wameipambania Zanzibar kwa kupigana na CCM, they couldn't beat them, now they have joined them.

Hongera sana ACT Wazalendo kwa kujitambua, hongera sana rais wa Zanzibar, Dr. Hussein Mwinyi kwa kuwa muungwana kama baba yako.
Mungu Ibariki Zanzibar
Mungu Ibariki Tanzania..
P
 
Back
Top Bottom