Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Niumie mara mbili, ujumbe huu umefika sehemu sahihi. Hao cdm wanategemea ushawishi wetu, na sio ghiliba za ccm kwa faida ya muda mfupi. Kama wamefikia tamati ya kufanya siasa waingie kwenye hilo bunge kibogoyo kwenda kukinajisi hicho chama.Hahaha duh jamaa unaumia sana