Barua ya wazi kwa dada Halima Mdee

Barua ya wazi kwa dada Halima Mdee

Salaam wakuu

Niliwahi kuandika barua ya wazi kwa mheshimiwa halima Mdee kuhusu swala la kupeleka majina ya vitu maalum

Nashukuru mungu barua yangu amefanyia kazi na Sasa swala la viti maalum limeisha coz majina yameshakwenda.

Hatuwezi kujenga chadema kwa kugoma na kususa tu kila wakati, najua uwepo wenu bungeni utaleta changamoto flan hata kwa % ndogo

Bungu akubariki sana
Edit hiyo "Bungu" mkuu.
 
Acha mama zetu waende bwana wakajenge majina yao vizuri

Ni hivi hawaendi, na wakilogwa wakaenda na wao wajiandae kurejea ccm kwani ndio itakuwa mwisho wa wao kupata uungwaji wetu mkono. Na hili hatuwatishii bali ndio ukweli wenyewe.
 
Ni hivi hawaendi, na wakilogwa wakaenda na wao wajiandae kurejea ccm kwani ndio itakuwa mwisho wa wao kupata uungwaji wetu mkono. Na hili hatuwatishii bali ndio ukweli wenyewe.
Barua imeshasainiwa maneno yako hayana lolote,

Mbowe na ww Nani anauchumgu na chama?
 
Barua imeshasainiwa maneno yako hayana lolote,

Mbowe na ww Nani anauchumgu na chama?

Acha kusaini hiyo barua, akitaka hata awabebe hao wabunge kwenda nao huko bungeni akawabadhi kwa spika kabisa. Huyo Mbowe na Halima ule uchaguzi wa serikali za mitaa walienda kujiandikisha huku tukiwa tumegoma, wakapiga picha wakiwa vituoni wanajiandikisha na kutushawishi tujitokeze , mbona hatukujitokeza na tuliwapa ukweli wao kuwa waache viherehere?

Kuna wakati Mbowe na wenzake walikodi ndege kwenda mwanza kwenye sherehe za uhuru eti kutaka maridhiano, tuliwapa ukweli wao waziwazi kuwa hatuko tayari kufanya maridhiano na shetani. Na kwa taarifa yako hata uchaguzi huu hatukuwa na mpango wowote wa kujitokeza kupiga kura, ila ujio wa Lisu tu ndio ulitufanya kujitokeza kupiga kura. Ni hivi, cdm wapeleke viti maalum wajimalize wenyewe, au wabaki na sisi wafuasi wao tupambanie katiba mpya, na tume huru ya uchaguzi. Kitendo cha wao kwenda kwenye hilo bunge kibogoyo ni kutusaliti, na wataipata fresh.
 
Majina yako tayari
Ila sasa changamoto iko kwa wabunge waliokosa majimbo ndio hawataki na wanashawishi majina yasipelekwe

Katibu mkuu wa Chadema ndugu Mnyika ndie mwenye mamlaka ya kupeleka majina ya wabunge wa viti maalumu. Na ikumbukwe hakugombea ubunge hivyo hajakosa jimbo. Acheni chadema ifanye inaloona ni sahihi kwake.
 
Acha kusaini hiyo barua, akitaka hata awabebe hao wabunge kwenda nao huko bungeni akawabadhi kwa spika kabisa. Huyo Mbowe na Halima ule uchaguzi wa serikali za mitaa walienda kujiandikisha huku tukiwa tumegoma, wakapiga picha wakiwa vituoni wanajiandikisha na kutushawishi tujitokeze , mbona hatukujitokeza na tuliwapa ukweli wao kuwa waache viherehere?

Kuna wakati Mbowe na wenzake walikodi ndege kwenda mwanza kwenye sherehe za uhuru eti kutaka maridhiano, tuliwapa ukweli wao waziwazi kuwa hatuko tayari kufanya maridhiano na shetani. Na kwa taarifa yako hata uchaguzi huu hatukuwa na mpango wowote wa kujitokeza kupiga kura, ila ujio wa Lisu tu ndio ulitufanya kujitokeza kupiga kura. Ni hivi, cdm wapeleke viti maalum wajimalize wenyewe, au wabaki na sisi wafuasi wao tupambanie katiba mpya, na tume huru ya uchaguzi. Kitendo cha wao kwenda kwenye hilo bunge kibogoyo ni kutusaliti, na wataipata fresh.
Hahaha duh jamaa unaumia sana
 
Katibu mkuu wa Chadema ndugu Mnyika ndie mwenye mamlaka ya kupeleka majina ya wabunge wa viti maalumu. Na ikumbukwe hakugombea ubunge hivyo hajakosa jimbo. Acheni chadema ifanye inaloona ni sahihi kwake.
Na imeshafanya
 
Acha kusaini hiyo barua, akitaka hata awabebe hao wabunge kwenda nao huko bungeni akawabadhi kwa spika kabisa. Huyo Mbowe na Halima ule uchaguzi wa serikali za mitaa walienda kujiandikisha huku tukiwa tumegoma, wakapiga picha wakiwa vituoni wanajiandikisha na kutushawishi tujitokeze , mbona hatukujitokeza na tuliwapa ukweli wao kuwa waache viherehere?

Kuna wakati Mbowe na wenzake walikodi ndege kwenda mwanza kwenye sherehe za uhuru eti kutaka maridhiano, tuliwapa ukweli wao waziwazi kuwa hatuko tayari kufanya maridhiano na shetani. Na kwa taarifa yako hata uchaguzi huu hatukuwa na mpango wowote wa kujitokeza kupiga kura, ila ujio wa Lisu tu ndio ulitufanya kujitokeza kupiga kura. Ni hivi, cdm wapeleke viti maalum wajimalize wenyewe, au wabaki na sisi wafuasi wao tupambanie katiba mpya, na tume huru ya uchaguzi. Kitendo cha wao kwenda kwenye hilo bunge kibogoyo ni kutusaliti, na wataipata fresh.
Eventually sheitwani lzm ataangushwa tuu bila kujali njia itayotumika
 
Back
Top Bottom