Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Hujatoka hiyo misa ya pili, au unaendesha sunday school?Mkuu Nguruvi3 , kwa vile jf was meant for ma GT, na imetokea humu jf ma GT wa ukweli wanahesabika, na kwa vile wewe Mkuu Nguruvi3, ni mmoja wa GT wa ukweli humu ambao mko wachache, hoja zako zote nazichukulia very serious hivyo hizi hoja za post yako hii, nimeziweka in points format, nitazijibu moja baada ya nyingine, no stones will be left unturned!.
Saa hizi najiandaa kwenda misa ya pili, kisha nikitulia, nakurudia mdogo mdogo
P