Barua ya wazi kwa dada Halima Mdee

Barua ya wazi kwa dada Halima Mdee

Kwa hili bunge la Korea kaskazin hata warushe live watakuwa wanajisumbua tu , Leo nilikuwa naliangalia kwa mara ya mwisho nimemsikiliza KIM JUNG UN hakuna kipya
Sky naomba ni inbox Nina zawadi yako plse..nilikuahidi mwenyewe
 
Kwani hiyo Serikali inatoa Pesa zake kutoka Mifukoni mwake !?.Au dhana ya Serikali hauitambui maanake unavyo andika hapa ni kama vile Serikali inafanya hisani na una sahau kuwa hili ni takwa la Sheria.

Futeni Sheria zote mnazoona zina wakwaza ikibidi badilini huu mfumo uwe ni Chama kimoja, una changia kama mlevi wa matap tap hapa.
Kwani serikali ni nani?
 
Ni kweli Dada Halima, jifunze kufanya positive decision ili kujiweka in positive side kila wakati. Uchaguzi wa maisha mabaya ya kisiasa ni mtu mwenyewe huchagua. Lakini all in all siasa za kujiumiza binafsi sioni kama zina tija kipindi hiki. Peleka majina
Huu upendo kwa upinzani umeanza lini?Kuna kipindi mlikuwa mnafurahia wabunge wa upinzani wakitimuliwa bungeni au kufukuzwa ubunge!Leo ninyi ndio mnakuwa na upendo hivi?Kulikoni?
 
Kwani serikali ni nani?

Hakuna Serikali bila ya Wananchi ,Kodi zinazo fanya Serikali kuwa na Nguvu ya kuuwa Watu na wasiulizwe zina toka kwa Wananchi wote.Ajabu ya Serikali za Afrika zinapo timiza wajibu wake zinaona kuwa zimetoa fadhila kwa Raia wake.
 
Sasa basi jambo la msingi ni kufuta chama na kila mtu akafanye biashara yake

Chadema kuwa nje ya platform ya kuongea kwa miaka mitano ujui 2025 itakuwa ni kazi kubwa sana kishawishi watu?

But pia nikuulize swali je ni lini uchaguzi wa Tanzania ulikuwa huru na haki? Mbona hakuna chaguzi ambayo mligomea?

Tuache mfumo dume na ubinafsi wa kijinga
Hatuwataki chadema bungeni...kama ni platform wawatumie waandishi kufanya press conf..
 
Shida hapa sidhani kana kwamba iko kijinsia,,sababu kama ni kuwania hata ubunge jinsia zote mbil zilipata nafasi ya kusimama katika majimbo mbalimbal ila kwa hali ilivyo sasa imepelekea kuwa na mgogoro wa kimaamuz kulingana na hisia za mtu mmoja mmoja.

Na kuwa muwakilishi bungen sio kutetea chama bali n maendeleo ya wananch maana lengo kuu n maendeleo wala sio kuzozana bali n kukumbushana juu ya makakat mbalmbal iliyopangwa
 
Hoja hii ni nzuri sana, Halima aligombea Ubunge kawe Kwa ajili ya kutumikia wananchi wa kawe, kwenye Sandusky la Kura alishindwa, nafasi hiyo amepewa anataka nini tena? Apache ushamba wake nenda kawasemee watu wa kawe

Kawe wameshamchagua Askofu Rashid kuwawakilisha baada ya Halima “kushindwa” kazi. Keshakuwa gunzi; hawezi kupitisha moto toka ikulu kupitia kwa Rashid hadi jimboni. Atachelewesha maendeleo.
 
Sasa basi jambo la msingi ni kufuta chama na kila mtu akafanye biashara yake

Chadema kuwa nje ya platform ya kuongea kwa miaka mitano ujui 2025 itakuwa ni kazi kubwa sana kishawishi watu?

But pia nikuulize swali je ni lini uchaguzi wa Tanzania ulikuwa huru na haki? Mbona hakuna chaguzi ambayo mligomea?

Tuache mfumo dume na ubinafsi wa kijinga
Mi nilidhani unatania kumbe umekomaa kabisa!.
 
Yeah kabisa
Hapo wanaweka ugumu kwa sababu wao hawapo kwenye hiyo fursa

Ni aibu sana kuwa na Chama chenye mfumo dume

Myika na yule mzee wa kufuga madevu please acheni hizo mambo za kuweka ugumu kwenye mambo hayo

Kama vipi basi mkifute kabisa chama ili tujue kweli mmesusa
Mkuu ya CHADEMA waachie wenyewe!
 
Akili kama za Ndugai hizi. Unajua kuwa kama kura zingeheshimiwa pengine ushindi wa Chadema ungesababisha ipate viti maalumu sio chini ya 80?

Sasa kwa nini hao 19 wakubali wakati wenzao zaidi ya 60 wamedhulumiwa?
Kukubali jambo hilo sio ujinga ulio vuka mipaka?

Na je unadhani hao 19 wanalazimishwa waende kwa manufaa ya demokrasia na CHADEMA au kwa manufaa ya CCM kutambulika ina bunge la vyama vingi?
Da ningekuwemo. haya ma CCM haya kiboko Yao inakuja ICC.
 
Aende akapambane hamtaki viti maalumu na ruzuku msipokee ikiwezekana chama kifutwe ijulikane kilisusa moja kwa moja


Hata kikifutwa haitasaidia sababu wanasema Upinzani upo kwenye mioyo ya watu na siyo kwenye chama fulani.

Labda uwashauri waondoe sheria ya uwepo wa vyama vingi pengine itasaidia lakini kufuta chama au kukihujumu na namna moja au nyingine haitasaidia.

Nilikuja kuamini hayo baada ya chama cha CUF kuingiliwa na sintofahamu na kupelekea baadhi ya viongozi kuhama na ikawa haieleweki.

Wengi walijua upinzani umekwisha sasa hususa kwa Zanzibar n.k

Sasa angalia Campaign za Uchaguzi ulopita na Uchaguzi kwa ujumla waulize wanaoujua ukweli kama wataweza kusema!

Hizi ni nyakati nyingine dunia kuwa kijiji.

Watu wanajifunza na kuona mengi na kuanza kujitambua kwa namna mbalimbali.
 
Back
Top Bottom