Niumie mara mbili, ujumbe huu umefika sehemu sahihi. Hao cdm wanategemea ushawishi wetu, na sio ghiliba za ccm kwa faida ya muda mfupi. Kama wamefikia tamati ya kufanya siasa waingie kwenye hilo bunge kibogoyo kwenda kukinajisi hicho chama.Hahaha duh jamaa unaumia sana
Wameshaenda ndugu yangu coz viti maalum ni swala la kikatibaNiumie mara mbili, ujumbe huu umefika sehemu sahihi. Hao cdm wanategemea ushawishi wetu, na sio ghiliba za ccm kwa faida ya muda mfupi. Kama wamefikia tamati ya kufanya siasa waingie kwenye hilo bunge kibogoyo kwenda kukinajisi hicho chama.
Wameshaenda ndugu yangu coz viti maalum ni swala la kikatiba
Ila hivi viti maalum vingekuwa na wanaume wanaenda then hakuna mtu angesikiliza ushauri wako
John Pombe Magufuli,na kutokujali tumbo lake ameibadili Tanzania.
Na ile 1,5T ?John Pombe Magufuli,na kutokujali tumbo lake ameibadili Tanzania.
Sawa, mabadiliko yapo, ila ya hasi ni mengi kuliko chanya, hivyo kwa ujumla nchi imepiga hatua nyingi nyumaMtu mwenye akili timamu huwezi kuulizia tril 1.5, PAC walishamaliza.
Mabadiliko makubwa yamefanyika hapa Tz, halmashauri zilikuwa michwa, pesa za umma zilikuwa zinatafunwa kama njugu. Miundo mbinu na sekta ya afya imeimarika, japokuwa safari ni ndefu.
Wewe mhafidhina wa CHADEMA huwezi kukubali hata kama unaona mabadiliko.
Dogo, ndo mwisho wako kifikraPumbavu.
Mtu mwenye akili timamu huwezi kuulizia tril 1.5, PAC walishamaliza.
Mabadiliko makubwa yamefanyika hapa Tz, halmashauri zilikuwa michwa, pesa za umma zilikuwa zinatafunwa kama njugu. Miundo mbinu na sekta ya afya imeimarika, japokuwa safari ni ndefu.
Wewe mhafidhina wa CHADEMA huwezi kukubali hata kama unaona mabadiliko.
Sema kupata support yakoNasema hivi, ole wao hao wabunge waende kushiriki hilo bunge kibogoyo kwa kisingizio cha eti viko kikatiba. Huo ndio utakuwa mwisho wao kupata support yetu, maana sisi ndio tunawapa Kura. Waangalie faida ya muda mrefu na sio kulinda matumbo yao. Ingekuwa bunge lenyewe lina lolote la maana hapo sawa, sio hilo bunge kibogoyo. Kwenye hili hatutanii.
Unaishi maisha ya kweye mitandao, Haashauri zipige pesa hizi barabara zingejengwa? Miradi mingi ya halmashauri ilikuwa ni mali za wakurugenzi. Kuhusu huduma za afya ni mapungufu hata mimi nakubali yapo,na kwa nchi kama Tz ni ngumu kuyakabili.
Sema kupata support yako
Mh... Bro naona baada ya kichapo cha mbwa mwizi kwenye box la kura umedata. Hujui kuwa Tarura inafanya kazi na Halmashauri za miji? Any way Chadema is dead,what next?
Niliandika uzi humu Jf nilikuambia Cdm inakufa na haiwezi pata wabunge zaidi ya wawili. Ukaleta ubishi,sasa ni aibu tupu.