Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Nimesikitika sana babeKm yule babu wa kigamboni yeye hataki kuacha uchoko ndo kwanza anashinda kwenye free WiFi kkoo atongoze wazungu wampeleke Paris 😥😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesikitika sana babeKm yule babu wa kigamboni yeye hataki kuacha uchoko ndo kwanza anashinda kwenye free WiFi kkoo atongoze wazungu wampeleke Paris 😥😹
NipigieDaddie.....
HILI LIMENILIZA SANA.Km yule babu wa kigamboni yeye hataki kuacha uchoko ndo kwanza anashinda kwenye free WiFi kkoo atongoze wazungu wampeleke Paris 😥😹
😹😹😹 Auntie Vee anateseka sana kajikatia tamaa maskini 😥😹Nimesikitika sana babe
Familia i get itMonetary doctor njoo kaushuhudie ukweli mtupu.
Awamu hii umeumia sana 😹😹HILI LIMENILIZA SANA.
System ya wenzetu imewaandalia vijana mfumo wa elimu bora na hata wanapomaliza elimu wengi huendelea na ngazi za juu zaidi (masters & Phds) na ikitokea kwa mtu hajaendelea mbele zaidi bado nafasi za kazi si changamoto sana unless otherwise uchague a highly paid job. Kitu kingine wenzetu hawana tegemezi, mtoto anasomeshwa ili aje kujitegemea maisha yake na sio kuja kusaidia familia yake, na ndio maana ni rahisi kuona binti au kijana wa rika la 20's anafanya kazi miaka miwili anasave na kuja kutembea afrika. Hawana pressure kiufupi.namaanisha wazawa wa hapo deutschland
Tumsifu Yesu Kristo.......HILI LIMENILIZA SANA.
😁😁😁😁 Mungu wangu nisaidie 🧐🧐🧐Awamu hii umeumia sana 😹😹
Milele Amina.......Tumsifu Yesu Kristo.......
Kesho ni zamu yenu kutoa vipaji na kusoma masomo....
Nzuri sana mtumishi!Milele Amina.......
Tumeshaandaa watumikizi watasoma neno la kwanza na la pili 🤩🤩
Matunzo jamanii, hela ya matumizi 🤩🤩🤩Nzuri sana mtumishi!
Sasa kwann unaomba hela 😂
dah! dunia ya 3 tuna safari ndefu kiufupi kufika walipofika ni almost, almost improbable kama sio impossibleSystem ya wenzetu imewaandalia vijana mfumo wa elimu bora na hata wanapomaliza elimu wengi huendelea na ngazi za juu zaidi (masters & Phds) na ikitokea kwa mtu hajaendelea mbele zaidi bado nafasi za kazi si changamoto sana unless otherwise uchague a highly paid job. Kitu kingine wenzetu hawana tegemezi, mtoto anasomeshwa ili aje kujitegemea maisha yake na sio kuja kusaidia familia yake, na ndio maana ni rahisi kuona binti au kijana wa rika la 20's anafanya kazi miaka miwili anasave na kuja kutembea afrika. Hawana pressure kiufupi.
Avumilie tuu 😂😹😹😹 Auntie Vee anateseka sana kajikatia tamaa maskini 😥😹
Hahahaha kumbe Ila unazinguaMatunzo jamanii, hela ya matumizi 🤩🤩🤩
kuna ile vijana ni taifa la kesho [emoji849]Andiko zuri. Ila pia viongozi waache kauli chafu dhidi ya vijana.
Nazingua wapi mtumishi 🤩🤩🤩Hahahaha kumbe Ila unazingua