Barua ya wazi kwa Lissu juu ya yanayoendelea ndani ya CHADEMA

system ya tz wanapenda watu wajinga wajinga siyo
 
Best thread of the day, Hakuna cha Kuongeza, Hakuna cha Kupunguza!
 
Kama una akili vizuri,hujawa kuuguwa magonjwa ya safura,utapia mlo,kwashakoo,kipindipindu,kuharisha bila taarifa Lissu si chochote si lolote.

Ukiondoa migogoro Lissu hajui siasa hana busara amejaa papara.

Lissu hana shukrani amejaa uchimvi zaidi ya kupigwa risasi hana jipya.
 

Tulikuwa wote humu JF mwaka 2020 ulimuunga mkono kwenye kugombea urais. Sasa sijui ulikuwa unataka nchi iongozwe na mtu asiye na busara?
 
Tulikuwa wote humu JF mwaka 2020 ulimuunga mkono kwenye kugombea urais. Sasa sijui ulikuwa unataka nchi iongozwe na mtu asiye na busara?
Ni kweli nilimuunga mkono Lissu si kwa matamko tu.
Nilitoa hadi fedha zangu si kidogo si haba uongozi wa Kanda ulilitambua hilo

.Nimewahi kukaa naye vikao kadha baada ya kushindwa au kuporwa kura za uRais alionekana ni mtu mwenye uelewa mkubwa lakini baada ya kumsikia matamko yake ktk mikutano kadhaa nilianza kupoteza imani yangu kwake.

Uongozi ni umoja ukimwona kiongozi wa level yoyote anajitukuza binafsi na kuwaona wenzake si chochote unatakiwa kukaa mbali naye.
 

Kama uko team mwenyekiti siyo mbaya, ila mwenyekiti ambaye press conference yake show anasimamia Balile na Jukwaa la wahariri ambalo ni Pro Samia huku TBC wakitoa preference basi shtuka!,
 
Naona mnamdharau Mh. Mbowe ili kumkweza Tundu Lissu, niwaambie tu kwa nyie msie kuwa na records, ni Mh. Mbowe huyu huyu aliokoa maisha ya Mh. Tundu Lissu, na kumkimbiza Jijini Nairobi Kenya, hivyo muwa na adabu na heshima iwashike mnapomkejeli na kumdharau sana Mh. Mbowe ili Tundu Lissu aonekane anafaa sana, huko ni kukosa akili na kusahau makuu na mema yasiyolipika Mh. Mbowe aliyomfanyia Mh. Lissu. Tundu Lissu mwenyewe hadhubutu kumdharau Mbowe, nyie wafuasi wake mnatoa wapi confidence ya kumdharau Mbowe? Huko ni kukosa akili na hekima.

Niseme, adabu iwashike, kama mnampenda Mh. Lissu ni haki yenu na ni jukumu lenu kumpigia kura nyingi ashinde, ila muache kabisa kumchafua na kumdhalilisha Mh. Mbowe.

To my side, if i do all political calculations and conclusions, Mr. Mbowe is by far better than Tundu Lissu, wherever you go itakuwa hivyo, hata historia ya Vyama vya Upinzani nchi hii itaandikwa hivyo, naona mnamdharau sana Mbowe kisa tu kumpa Tundu Lissu credits za ajabu ajabu, sikatai mpeni maua yake Lissu, ila acheni kumchafua Mr. Mbowe, komeni kabisa.

Lastly, Mr. Mbowe ataendelea kuwa Mwenyekiti wa Chadema for next 5 years..!! Tumemaliza..!!
 
Vyama vinavyoanzishwa Nje ya system huwa vinajifia mapema!
 
Anzisha chako uone utakavyoenguliwa tangu na akina msajili,dola,policcm,na mamluki watakaojiunga kama wanachamq,na hapo ndio utafahamu kuwa kwa mifumo hii haifanyi kazi tena kwenye mazingira ya sasa,hivyo njia mpya zinahitajika.
Kama Mynmar(Burma)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…