Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Unataka kubishana na msomi TL ambaye anajua historia ya nchi mikataba yote tangu mwaka 1929 unavamia ebu anzisha thread yako tuoneshe wapi TL wapi amepotoshaHaya yote umeandika wakati kwa kumsikiliza Lissu ambae amepotosha. Hata mkataba hujausoma
Wizi gani? wameiba nini?Wizi wa mchana kweupe! Hatutakubali
Kuna uzi ulishafunguliwa hapa. Upo page ya 12 utafuteUnataka kubishana na msomi TL ambaye anajua historia ya nchi mikataba yote tangu mwaka 1929 unavamia ebu anzisha thread yako tuoneshe wapi TL wapi amepotosha
Wewe unaona huo mkataba uko sawa kabisa na hakuna chochote cha kurekebisha??Haya yote umeandika wakati kwa kumsikiliza Lissu ambae amepotosha. Hata mkataba hujausoma
Wewe tumeshamalizana kule! Huu mkataba tumeukataa, simple and clear.Wizi gani? wameiba nini?
Ndiyo. Kwangu mimi mkataba uko sawa kabisa na nimeongea kama mwanasheriaWewe unaona huo mkataba uko sawa kabisa na hakuna chochote cha kurekebisha??
Huo ndo ushahidi wako wa wizi? mkiambiwa mna matatizo ya afya ya akili mnakuwa wakaliWewe tumeshamalizana kule! Huu mkataba tumeukataa, simple and clear.
Mnataka kutupiga mchana kweupe tena kwa endorsement ya bunge! Never!Huo ndo ushahidi wako wa wizi? mkiambiwa mna matatizo ya afya ya akili mnakuwa wakali
Maneno kila mtu anaweza kuongea. Ushahidi ndo huna? wahi tu milembeMnataka kutupiga mchana kweupe tena kwa endorsement ya bunge! Never!
Mkataba unatekelezwa na hakuna kitu utafanya. wafikishie salamu hapo NairobiSamia achnanana huu mkataba Mara mojaa waambie ndugu zako kuwa tumegoma
Unaweza kuwa mwanasheria lakini hujui economics metrics na business modelling kwa mikataba yenye key national interest.Ndiyo. Kwangu mimi mkataba uko sawa kabisa na nimeongea kama mwanasheria
Sasa kama wewe mwanasheria unaona mkataba umenyooka nani aende milembe? Some nuts and bolts on your head must be off the line!Maneno kila mtu anaweza kuongea. Ushahidi ndo huna? wahi tu milembe
Bakwata wana uwezo wa kuchambua mkataba?Umekosea ku-mention TEC peke yao ingeleta maana zaidi kama ungewajumuisha na BAKWATA.
Ukweli ni kwamba sisi kama nchi kuongozwa na mwanamke tena kutoka ng'ambo ya pili ni kosa la karne hakuna siku kama taifa tutaacha kulalamikia hata akiwa hayupo madarakani athari zake zitatuandama.
Wewe ulieusoma tuambie,,, je mda upi mkataba utadumu?Haya yote umeandika wakati kwa kumsikiliza Lissu ambae amepotosha. Hata mkataba hujausoma
Kwenu baba zetu maaskofu.
Nawaandikieni nikiwa na hisia nzito iliyojaa huzuni kubwa juu ya mustakbali wangu na Taifa langu na vizazi vijavyo.
Baba zetu.
Siku zote Taifa letu linapokuwa katika mtanzuko mzito, hamjawahi kusita kusimama thabiti na kutoa muelekeo wenye kuponya ili kuwasaidia kondoo zenu.
Wakati, Utawala ulipokana Uwepo wa ugonjwa wa maangamizi wa Covid mlisimama kidete kuuambia wazi utawala kuwa Haiwezekani useme ugonjwa haupo, wakati watawa wenu wanafariki kwa ugonjwa huo.
Wakati utawala uliopita ulipominya Demokrasia, mlitoa waraka wa Kwaresma kukemea uminywahi huo wa haki.
Sasa leo mababa askofu, Bandari yetu, lango letu kuu la uchumi linapewa watu wa nje kwa mkataba ambao ni dhahiri siyo mzuri. Mkataba huu una mapungufu mengi sana ikiwemo:
1. Hauna ukomo.
2. Scope yake ni kubwa hadi kugusa bandari za kwenye maziwa yetu.
3. Mkataba hauelezei Share zetu zisipungue ngapi.
4. Mkataba hauelezi tunaweza kujitoaje pindi mwekezaji asipokidhi masilahi yetu.
5. Mkataba huu unavunja sheria ya bandari ya mwaka 2004 na ya rasilimali ya mwaka 2017 na hata katiba ya nchi kwenye suala la bandari maana bandari ni jambo la muungano.
6. Mkataba unatishia suala la muungano wetu maana ni bandari za upande mmoja tu wa muungano ndo zinaguswa ila za upande mwingine haziguswi. Hii inaibua hisia mbaya dhidi ya muungano.
7. Mkataba hauelezei chochote juu ya matakwa ya mwekezaji kulinda haki za binadamu.
8. Mkataba Unampa veto mwekezaji juu ya masuala yetu ya uwekezaji kwenye mambo ya bandari, maana yake Sovereignity yetu remote tumempa mgeni
Kwa hoja hizo hapo juu mababa askofu, mimi binafsi sina amani, nina wasiwasi na uhuru wangu na watoto wangu na watoto wa nchi hii. Kwa hivyo nakuombeni mababa zetu maaskofu.
1. Tusaidieni kuwaambia watawala kwa waraka mzito kuwa mnakataa vipengele vibaya katika mkataba huu na kwamba watawala wakae na mwekezaji wavirekebishe.
2. Nyie kama wachungaji wema Tunawaomba mfikishe ujumbe wa tahadhari kwa waumini wenu wote nchi hii ili wajue hatari ya mkataba huu.
3. Tunawaomba ikibidi muandae hata matembezi na makongamano ya amani ili kujenga awareness ya umma juu ya suala hili.
Asanteni sana.
Muda utawekwa kwenye mikataba inayohusu specific projects. Inaitwa Host Government Agreements ( HGA). Una swali lingine?Wewe ulieusoma tuambie,,, je mda upi mkataba utadumu?