Barua ya wazi kwa maaskofu wa TEC: Baba zetu tuokoeni, nchi yetu inauzwa Uhuru wetu unamong'onyolewa

Unataka kubishana na msomi TL ambaye anajua historia ya nchi mikataba yote tangu mwaka 1929 unavamia ebu anzisha thread yako tuoneshe wapi TL wapi amepotosha
Kuna uzi ulishafunguliwa hapa. Upo page ya 12 utafute
 
Kwanza Nawasalimu kwa Jina la Kristu....
Hongereni sana kwa mjadala wa hekima ya Kina juu ya Mkataba wa Bandari yetu na DP WORLD.
Lkn hili la Bandari litumike kuwatoa usingizini maaskafu wetu wa Kikristu. Tunajua Ukristu na Unafiki ni mwiko lkn jiulizeni. Pamoja na Madhaifu yoooote ya Kiungozi yaliyopo mmewasikia Masheikhe wanavyo comment kuhusu Uongozi wa Nchi? Je Kuhusu Mkataba wa DP World? Je, Kuhusu haiba ya Mhe.Rais?
Mmesikia Maoni ya Sheikh Ponda kuhusu DP WORLD? Maaskofu mna kazi ya kufanya dhidi ya Waumini wenu wanaposhika Madaraka hasa URAIS.
Tumeona jinsi Viongozi wenzenu wanavyomlinda mfuasi wao kwa nguvu zote na kwa njia zote?
Maaskofu nyie tukirudi kwenu mlitumika sana kushambulia Kiongozi wa Nchi mfuasi wenu RIP JPM mkisoma takwimu za CORONA, Mkisoma Takwimu za Unyanysaji, mkisoma Idadi ya Uonevu wake. Bagonza, Mwamakula nk waligeuka kuwa mwiba kwa Mtawala Mfuasi wa Madhehebu yenu. Leo Mungu amejibu maombi yenu yule Mtawala mliyekesha mkiitisha Press Conference za Ubaya wake hayupo. Kawaletea mliyetaka na leo mnaendekeza Vilio vingine.
Bwana Awe Nanyi Viongozi wangu mnapaswa kukaa kimia tu maana mlipewa Upande wenu lkn mkageuka timu pinzani.
SALA YANGU IMEFIKA MWISHO..mimi Mkiristo nikiwa Kiongozi Askofu wangu anageuka Mpinzani wangu kwenye Madhabahu ya Bwana! Mjitafakari na Mtwambie Kiongozi wa BAKWATA hata mmoja tu anayekosoa Kiongozi wetu na Mikataba yake!
 
Samia achnanana huu mkataba Mara mojaa waambie ndugu zako kuwa tumegoma
 
Maneno kila mtu anaweza kuongea. Ushahidi ndo huna? wahi tu milembe
Sasa kama wewe mwanasheria unaona mkataba umenyooka nani aende milembe? Some nuts and bolts on your head must be off the line!
 
Bila shaka mnatumwa na wafanyabiashara pamoja na wadau mnaonufaika na wizi hapo bandarini zama zenu zimefika mwisho lazima mifumo yote isomane tupate pesa mlizowea wizi pumbavu sana.
 
Bakwata wana uwezo wa kuchambua mkataba?
 
HAUHTAJI TENA KUFANYIWA UPASUAJI ILI KUPONA BAWASRI..............

Kama Umekua Ukitamani Kufahamu Njia Rahisi Na Za Haraka za Kupona Bawasiri Bila Upasuaji Basi Nina Habari Njema Sana Kwako..

Tumekuandalia Mafunzo Ya Bure Kabisa Kupitia WHATSAPP Ambapo Utajifunza Bure Jinsi Ya Kumaliza Changamoto Ya Bawasiri Bila Upasuaji

Hivyo .. Utaweza Kumaliza Kabisa Changamoto Ya Bawasiri Ukiwa Nyumbani Kwako, Bila Upasuaji....

Na Hii Ina Maana kua Utaweza Kuokoa Pesa Na Gharama Kubwa Ya Kufanyiwa Upasuaji

Na Hatimae Utaweza Kufurahia Maisha Yako Kama Kawaida

[ Gusa Hapa Kujiunga ]



Mafunzo Haya Ya BUREE Yanahitaji Watu 200 tu na Mpaka Sasa Zaidi Ya Watu 100+ Wamesha Jiunga na Darasa.

Hivyo Kabla Nafasi Hazijaisha Basi Jiunge Kwa Kugusa Link Hapa Chini

 

CC Bishop Zacharia Kakobe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…