Barua ya wazi kwa maaskofu wa TEC: Baba zetu tuokoeni, nchi yetu inauzwa Uhuru wetu unamong'onyolewa

Barua ya wazi kwa maaskofu wa TEC: Baba zetu tuokoeni, nchi yetu inauzwa Uhuru wetu unamong'onyolewa

Kwenu baba zetu maaskofu.

Nawaandikieni nikiwa na hisia nzito iliyojaa huzuni kubwa juu ya mustakbali wangu na Taifa langu na vizazi vijavyo.

Baba zetu.
Siku zote Taifa letu linapokuwa katika mtanzuko mzito, hamjawahi kusita kusimama thabiti na kutoa muelekeo wenye kuponya ili kuwasaidia kondoo zenu.

Wakati, Utawala ulipokana Uwepo wa ugonjwa wa maangamizi wa Covid mlisimama kidete kuuambia wazi utawala kuwa Haiwezekani useme ugonjwa haupo, wakati watawa wenu wanafariki kwa ugonjwa huo.

Wakati utawala uliopita ulipominya Demokrasia, mlitoa waraka wa Kwaresma kukemea uminywahi huo wa haki.

Sasa leo mababa askofu, Bandari yetu, lango letu kuu la uchumi linapewa watu wa nje kwa mkataba ambao ni dhahiri siyo mzuri. Mkataba huu una mapungufu mengi sana ikiwemo:

1. Hauna ukomo.

2. Scope yake ni kubwa hadi kugusa bandari za kwenye maziwa yetu.

3. Mkataba hauelezei Share zetu zisipungue ngapi.

4. Mkataba hauelezi tunaweza kujitoaje pindi mwekezaji asipokidhi masilahi yetu.

5. Mkataba huu unavunja sheria ya bandari ya mwaka 2004 na ya rasilimali ya mwaka 2017 na hata katiba ya nchi kwenye suala la bandari maana bandari ni jambo la muungano.

6. Mkataba unatishia suala la muungano wetu maana ni bandari za upande mmoja tu wa muungano ndo zinaguswa ila za upande mwingine haziguswi. Hii inaibua hisia mbaya dhidi ya muungano.

7. Mkataba hauelezei chochote juu ya matakwa ya mwekezaji kulinda haki za binadamu.

8. Mkataba Unampa veto mwekezaji juu ya masuala yetu ya uwekezaji kwenye mambo ya bandari, maana yake Sovereignity yetu remote tumempa mgeni

Kwa hoja hizo hapo juu mababa askofu, mimi binafsi sina amani, nina wasiwasi na uhuru wangu na watoto wangu na watoto wa nchi hii. Kwa hivyo nakuombeni mababa zetu maaskofu.

1. Tusaidieni kuwaambia watawala kwa waraka mzito kuwa mnakataa vipengele vibaya katika mkataba huu na kwamba watawala wakae na mwekezaji wavirekebishe.

2. Nyie kama wachungaji wema Tunawaomba mfikishe ujumbe wa tahadhari kwa waumini wenu wote nchi hii ili wajue hatari ya mkataba huu.

3. Tunawaomba ikibidi muandae hata matembezi na makongamano ya amani ili kujenga awareness ya umma juu ya suala hili.

Asanteni sana.
Hilo la mkataba andikeni maumivu, mtalalamika mpaka siku mnakwenda kaburini, mchezo ndio umeshatoka tena hakuna atakayerudi nyuma.

Badala ya kuumiza vichwa katika kufikiria namna za kufaidika kibiashara ndio kwanza akili ya kimaskini inawaza juu ya siasa nyepesi za uanaharakati!.

Tuna ujinga mwingi sana vichwani mwetu.
 
UTanzania wa huyu kiongozi ni wa 'maslahi' tu; nafsi yake inamweka nje ya nchi hii. Huyu ni Mwarabu, hana uTanzania wowote.
Wakati Salim Ahmed anazongwa na akina Kikwete, tena mtu aliyekuwa kalitumikia taifa lake kwa heshima kubwa sana, hao hao akina Kikwete wakaenda kumwokota Mwarabu halisi na kumweka atawale taifa letu!
Chuki hizi mtakwenda nazo kaburini, Hakuna mwenye dawa ya kuponya nafsi zenu.

SSH hajawaleta yeye kama yeye hawa DPW, wameletwa na ilani ya CCM inayotaka uwepo ushirikiano wa kibiashara kati ya serikali na waendeshaji binafsi wenye uwezo.

Kuna wapumbavu wakikusoma wanakuunga mkono kwa kufuata hoja za chuki ulizonazo, hawawezi kuangalia mbali zaidi ya rangi za SSH, Mungu anatulinda lakini.
 
Umekosea ku-mention TEC peke yao ingeleta maana zaidi kama ungewajumuisha na BAKWATA.

Ukweli ni kwamba sisi kama nchi kuongozwa na mwanamke tena kutoka ng'ambo ya pili ni kosa la karne hakuna siku kama taifa tutaacha kulalamikia hata akiwa hayupo madarakani athari zake zitatuandama.
Mungu ndiye anayepanga nani awe rais na nani asiwe. Ukiandika kwa kufikiria sana juu ya mapenzi ya Mungu unakuwa unamkufuru Muumba huyo huyo.

Wakati wewe unalialia humu jukwaani huko mikoani watanzania wengi tu wanakula matunda ya huyu huyu mwanamke. Chunga mdomo wako.
 
Kwenu baba zetu maaskofu.

Nawaandikieni nikiwa na hisia nzito iliyojaa huzuni kubwa juu ya mustakbali wangu na Taifa langu na vizazi vijavyo.

Baba zetu.
Siku zote Taifa letu linapokuwa katika mtanzuko mzito, hamjawahi kusita kusimama thabiti na kutoa muelekeo wenye kuponya ili kuwasaidia kondoo zenu.

Wakati, Utawala ulipokana Uwepo wa ugonjwa wa maangamizi wa Covid mlisimama kidete kuuambia wazi utawala kuwa Haiwezekani useme ugonjwa haupo, wakati watawa wenu wanafariki kwa ugonjwa huo.

Wakati utawala uliopita ulipominya Demokrasia, mlitoa waraka wa Kwaresma kukemea uminywahi huo wa haki.

Sasa leo mababa askofu, Bandari yetu, lango letu kuu la uchumi linapewa watu wa nje kwa mkataba ambao ni dhahiri siyo mzuri. Mkataba huu una mapungufu mengi sana ikiwemo:

1. Hauna ukomo.

2. Scope yake ni kubwa hadi kugusa bandari za kwenye maziwa yetu.

3. Mkataba hauelezei Share zetu zisipungue ngapi.

4. Mkataba hauelezi tunaweza kujitoaje pindi mwekezaji asipokidhi masilahi yetu.

5. Mkataba huu unavunja sheria ya bandari ya mwaka 2004 na ya rasilimali ya mwaka 2017 na hata katiba ya nchi kwenye suala la bandari maana bandari ni jambo la muungano.

6. Mkataba unatishia suala la muungano wetu maana ni bandari za upande mmoja tu wa muungano ndo zinaguswa ila za upande mwingine haziguswi. Hii inaibua hisia mbaya dhidi ya muungano.

7. Mkataba hauelezei chochote juu ya matakwa ya mwekezaji kulinda haki za binadamu.

8. Mkataba Unampa veto mwekezaji juu ya masuala yetu ya uwekezaji kwenye mambo ya bandari, maana yake Sovereignity yetu remote tumempa mgeni

Kwa hoja hizo hapo juu mababa askofu, mimi binafsi sina amani, nina wasiwasi na uhuru wangu na watoto wangu na watoto wa nchi hii. Kwa hivyo nakuombeni mababa zetu maaskofu.

1. Tusaidieni kuwaambia watawala kwa waraka mzito kuwa mnakataa vipengele vibaya katika mkataba huu na kwamba watawala wakae na mwekezaji wavirekebishe.

2. Nyie kama wachungaji wema Tunawaomba mfikishe ujumbe wa tahadhari kwa waumini wenu wote nchi hii ili wajue hatari ya mkataba huu.

3. Tunawaomba ikibidi muandae hata matembezi na makongamano ya amani ili kujenga awareness ya umma juu ya suala hili.

Asanteni sana.
Swali moja lenye mantiki ndani yake, Ni vipi bandari hiyo hiyo iliyouza nchi kwa mkataba huu wa DP World inaweza kutangaza tender nyingine kadhaa za uendeshaji wa bandari zetu nyingine?.

Kama ni kweli tumejifunga kupitia hiyo IGA, imewezekana vipi kwa mamlaka hiyo hiyo ya TPA kutangaza tender za uendeshaji wa bandari ikiwemo hiyo hiyo ambayo DP World wataendesha magati namba nne mpaka namba saba?.

Utawapata wajinga wachache wenye upeo mdogo.
 
Kwanza Nawasalimu kwa Jina la Kristu....
Hongereni sana kwa mjadala wa hekima ya Kina juu ya Mkataba wa Bandari yetu na DP WORLD.
Lkn hili la Bandari litumike kuwatoa usingizini maaskafu wetu wa Kikristu. Tunajua Ukristu na Unafiki ni mwiko lkn jiulizeni. Pamoja na Madhaifu yoooote ya Kiungozi yaliyopo mmewasikia Masheikhe wanavyo comment kuhusu Uongozi wa Nchi? Je Kuhusu Mkataba wa DP World? Je, Kuhusu haiba ya Mhe.Rais?
Mmesikia Maoni ya Sheikh Ponda kuhusu DP WORLD? Maaskofu mna kazi ya kufanya dhidi ya Waumini wenu wanaposhika Madaraka hasa URAIS.
Tumeona jinsi Viongozi wenzenu wanavyomlinda mfuasi wao kwa nguvu zote na kwa njia zote?
Maaskofu nyie tukirudi kwenu mlitumika sana kushambulia Kiongozi wa Nchi mfuasi wenu RIP JPM mkisoma takwimu za CORONA, Mkisoma Takwimu za Unyanysaji, mkisoma Idadi ya Uonevu wake. Bagonza, Mwamakula nk waligeuka kuwa mwiba kwa Mtawala Mfuasi wa Madhehebu yenu. Leo Mungu amejibu maombi yenu yule Mtawala mliyekesha mkiitisha Press Conference za Ubaya wake hayupo. Kawaletea mliyetaka na leo mnaendekeza Vilio vingine.
Bwana Awe Nanyi Viongozi wangu mnapaswa kukaa kimia tu maana mlipewa Upande wenu lkn mkageuka timu pinzani.
SALA YANGU IMEFIKA MWISHO..mimi Mkiristo nikiwa Kiongozi Askofu wangu anageuka Mpinzani wangu kwenye Madhabahu ya Bwana! Mjitafakari na Mtwambie Kiongozi wa BAKWATA hata mmoja tu anayekosoa Kiongozi wetu na Mikataba yake!
Tatizo la ujinga wetu ni kuliweka suala la DP World katika mitazamo duni ya kidini wakati ni suala la kiuchum lenye kufuata misingi yote ya uchumi. Huku ni kufilisika vichwani.

DPW anakwenda kufungua hoteli kule Njombe, itakuwa ni ya kitalii, anakwenda kuifungua Iringa kwani kuna uwanja wa ndege pale wenye kukidhi viwango vya kimataifa. Tujiulize hoteli ile inakwenda kusaidia wangapi kwa maana ya wakristo wenzetu, tujiulize mzunguko wa pesa wa mkoa ule utakuwa katika hali gani.

Tujifunze kuitazama dunia katika mitazamo chanya sio kila kitu tuwe tunakijadili kwa kuchangia mawazo hasi tu, mawazo ya kupinga hata kile ambacho hatukifahamu vizuri.
 
Chuki hizi mtakwenda nazo kaburini, Hakuna mwenye dawa ya kuponya nafsi zenu.

SSH hajawaleta yeye kama yeye hawa DPW, wameletwa na ilani ya CCM inayotaka uwepo ushirikiano wa kibiashara kati ya serikali na waendeshaji binafsi wenye uwezo.

Kuna wapumbavu wakikusoma wanakuunga mkono kwa kufuata hoja za chuki ulizonazo, hawawezi kuangalia mbali zaidi ya rangi za SSH, Mungu anatulinda lakini.
Haya yote nilisha kueleza; lakini kwa vile una kichwa cha panzi huwezi kuelewa.

"Chuki", kama ni chuki juu ya nchi yetu kunajisiwa na watu wa hovyo kama nyinyi, hiyo chuki siijutii hata mara moja, na Mungu ataona roho yangu juu ya hili.
Kwa hiyo, nikueleze kwa mara ya mwisho, chuki ya kuchukia anayoifanyia Tanzania Samia na genge lote lililomshikilia, hii chuki nitakuwa nayo sana, na nitawahimiza waTanzania wenzangu wote wenye mapenzi na nchi yao kuwa na chuki juu yenu nyote.

Unajionyesha kuwa mtu wa hovyo kabisa asiye elewa chochote, kwa kudai kuwa "...DPW wameletwa na ilani ya CCM..." Ni wapi Ilani ya CCM imewataja DPW kwa jina, na ni lini iliagiza pawepo na IGA ya kijinga aina ile.
Kuwepo kwa ilani ya CCM ikitaka pawepo na ushindani, haina maana ya Samia kuichukulia kuwa nafasi ya kwenda kuhujumu nchi anayoiongoza na kwa kweli kushiriki katika uhaini wa nchi.
Kama akili yako haiwezi kutofautisha haya, ni kwamba nyote kwenye hilo genge, akiwemo na Samia mwenyewe akili zenu hazifanyi kazi vizuri. Mnaliangamiza taifa letu.

Mwisho, Mungu kamwe hawezi kulinda watu wenye nia mbaya kwa waTanzania kama nyinyi. Tutawakabiri tu.
 
Mkumbuke mwarabu huyu huyu ameshapewa Uwanja wa ndege wa Kia, misitu yetu yote, shirika la posta, loliondo.

Sultani anarudishwa kidogo kidogo.
Mpaka anarudishwa sisi tumeshindwa vipi kuiendesha KIA?. Tuna wepesi mwingi sana wa kuja kulia mitandaoni, tunafanya kipi cha maana katika kujitafutia maendeleo?.

Kuna wengi huko mitaani wanaitazama dunia halisi na wanapambana nayo kila kukicha, wapumbavu wachache wa humu JF kazi yao ni kudhani kuwa mchawi wa jitihada zao ni mtu mwingine wanayemuona. Adui yako ni yule unayemuona kila unapojitazama kwenye kioo.
 
Swali moja lenye mantiki ndani yake, Ni vipi bandari hiyo hiyo iliyouza nchi kwa mkataba huu wa DP World inaweza kutangaza tender nyingine kadhaa za uendeshaji wa bandari zetu nyingine?.

Kama ni kweli tumejifunga kupitia hiyo IGA, imewezekana vipi kwa mamlaka hiyo hiyo ya TPA kutangaza tender za uendeshaji wa bandari ikiwemo hiyo hiyo ambayo DP World wataendesha magati namba nne mpaka namba saba?.
Kila mara ninakueleza juu ya hili, na bado akili yako imelala.
Mikataba hii haitangazwi chini ya mpango wenu huo wa kifisadi wa IGA; lakini wewe umekomalia IGA IGA, IGA. IGA ilikufa kifo cha kibudu.

Hizi shughuli zote zinazoendelea hazina uhusiano wowote na ile GA yenu.
 
Mpaka anarudishwa sisi tumeshindwa vipi kuiendesha KIA?. Tuna wepesi mwingi sana wa kuja kulia mitandaoni, tunafanya kipi cha maana katika kujitafutia maendeleo?.

Kuna wengi huko mitaani wanaitazama dunia halisi na wanapambana nayo kila kukicha, wapumbavu wachache wa humu JF kazi yao ni kudhani kuwa mchawi wa jitihada zao ni mtu mwingine wanayemuona. Adui yako ni yule unayemuona kila unapojitazama kwenye kioo.
Jibu la kipumbavu kabisa hili.
Hiyo mistari miwili ya mwanzo, huoni uhusika wa hao viongozi, kama huyo SSH katika kushindwa kwao kuwa viongozi wa wananchi na kusimamia shughuli za wananch hao? Badala yake unakimbilia kulaumu wasiohusika!

Halafu unasema "kuna wengi huko mitaani wanaotazama dunia halisi..." dunia halisi kwa maoni yako ni kutawanya na kugawa mali za taifa kwa mataifa mengine, bila ya kuhakikisha zinaleta manufaa kwa wananchi?

Sasa ni dhahiri kabisa adui wa nchi hii hasa ni nani. Ni watu kama nyinyi, na SSH mnaotafuta kuturudisha tena katika utmwa mambo leo. Hili kamwe hatutalikubali.
 
Jibu la kipumbavu kabisa hili.
Hiyo mistari miwili ya mwanzo, huoni uhusika wa hao viongozi, kama huyo SSH katika kushindwa kwao kuwa viongozi wa wananchi na kusimamia shughuli za wananch hao? Badala yake unakimbilia kulaumu wasiohusika!

Halafu unasema "kuna wengi huko mitaani wanaotazama dunia halisi..." dunia halisi kwa maoni yako ni kutawanya na kugawa mali za taifa kwa mataifa mengine, bila ya kuhakikisha zinaleta manufaa kwa wananchi?

Sasa ni dhahiri kabisa adui wa nchi hii hasa ni nani. Ni watu kama nyinyi, na SSH mnaotafuta kuturudisha tena katika utmwa mambo leo. Hili kamwe hatutalikubali.
Mpuuzi tu wewe dada. Samia kila anapokwenda huko nje ni kwa faida ya kutafuta pesa zinazojenga zahanati na utanuzi wa barabara, Kwa kifupi huwezi kukwepa uwekezaji.

Haipo namna ambayo Tanzania inaweza kuishi ikifanana na kisiwa fulani, binadamu tumeumbwa ili tutegemeane, ni akili na mawazo ya kijamaa siku zote pale tunapodhani kwamba ni sisi tu tunaoibiwa utajiri wetu!. Mawazo ya kichoyo na kishamba sana haya.

Mwekezaji kaja ili tija ya bandari iongezeke, ikishaongezeka maana yake pato la nchi limeongezeka, na linapokuwa limeongezeka maana yake pesa za kuhudumia sekta za afya, maji, umeme na zenyewe zinaongezeka.

Tujitahidi tuwe na maono hayo, sio kubakia na akili za kudhani tunaibiwa sisi tu siku zote, pathetic mindsets.
 
Kila mara ninakueleza juu ya hili, na bado akili yako imelala.
Mikataba hii haitangazwi chini ya mpango wenu huo wa kifisadi wa IGA; lakini wewe umekomalia IGA IGA, IGA. IGA ilikufa kifo cha kibudu.

Hizi shughuli zote zinazoendelea hazina uhusiano wowote na ile GA yenu.
Hujui unaloliandika na kwanini hujui hilo jibu unalo mwenyewe. Kinachofanyika bandarini muda huu kimezaliwa kutokana na IGA iliyopita bungeni ndio imezaa hizi commercial agreements zilizosainiwa mbele ya rais pale Ikulu Dodoma.

Sitachoka kukuelimisha kuhusiana na hilo.
 
Haya yote nilisha kueleza; lakini kwa vile una kichwa cha panzi huwezi kuelewa.

"Chuki", kama ni chuki juu ya nchi yetu kunajisiwa na watu wa hovyo kama nyinyi, hiyo chuki siijutii hata mara moja, na Mungu ataona roho yangu juu ya hili.
Kwa hiyo, nikueleze kwa mara ya mwisho, chuki ya kuchukia anayoifanyia Tanzania Samia na genge lote lililomshikilia, hii chuki nitakuwa nayo sana, na nitawahimiza waTanzania wenzangu wote wenye mapenzi na nchi yao kuwa na chuki juu yenu nyote.

Unajionyesha kuwa mtu wa hovyo kabisa asiye elewa chochote, kwa kudai kuwa "...DPW wameletwa na ilani ya CCM..." Ni wapi Ilani ya CCM imewataja DPW kwa jina, na ni lini iliagiza pawepo na IGA ya kijinga aina ile.
Kuwepo kwa ilani ya CCM ikitaka pawepo na ushindani, haina maana ya Samia kuichukulia kuwa nafasi ya kwenda kuhujumu nchi anayoiongoza na kwa kweli kushiriki katika uhaini wa nchi.
Kama akili yako haiwezi kutofautisha haya, ni kwamba nyote kwenye hilo genge, akiwemo na Samia mwenyewe akili zenu hazifanyi kazi vizuri. Mnaliangamiza taifa letu.

Mwisho, Mungu kamwe hawezi kulinda watu wenye nia mbaya kwa waTanzania kama nyinyi. Tutawakabiri tu.
Uhujumu na uhaini upi alioufanya Samia kwenye mradi wa DP World?.

Unajua kwamba bandari ilimshinda marehemu JPM kuiendesha?. Makelele mengi kutoka kwa TEC na kwa wengine ni baada ya kugundua kuwa mirija yao inakwenda kukatwa mazima.

DP World amekuja kwa vigezo vinavyotokana na ilani ya CCM kukubaliana na biashara ya ubia kati ya serikali na waendeshaji mahiri na wenye mitaji na uzoefu wa mashirika ya kimataifa.
 
Mpuuzi tu wewe dada. Samia kila anapokwenda huko nje ni kwa faida ya kutafuta pesa zinazojenga zahanati na utanuzi wa barabara, Kwa kifupi huwezi kukwepa uwekezaji.
Ninaposema upeo wako ni mdogo sana, usifikiri natania au nina bahatisha.

Anakwenda nje ya nchi kutafuta wawekezaji wa kutujengea Zahanati? Hivi kweli unazo akili timamu wewe na unaelewa unacho kiandika humu?
Hatuna hata uwezo wa kujenga Zahanati, hadi Samia aende huko nje kutafuta wawekezaji?

Hatuwezi kujenga barabara zetu, hadi wawekezaji anao watafuta Samia wapatikane? Hivi hii nchi mnaoinaje nyinyi watu? Hivi miaka yote hii mlikuwa mmejificha wapi, na mara hii kuibuka na mambo ya ajabu namna hii?

Hiyo nyumba unamo lala wewe na familia yako, kakujengea nani? Ulikwenda kutafuta mwekezaji?

Mnataka kutufanya waTanzania kuwa vijakazi tu wa ndugu zenu mnao waleta hapa watutawale tena?
Hilo sahau, halitatokea tena.
 
Mpuuzi tu wewe dada. Samia kila anapokwenda huko nje ni kwa faida ya kutafuta pesa zinazojenga zahanati na utanuzi wa barabara, Kwa kifupi huwezi kukwepa uwekezaji.

Haipo namna ambayo Tanzania inaweza kuishi ikifanana na kisiwa fulani, binadamu tumeumbwa ili tutegemeane, ni akili na mawazo ya kijamaa siku zote pale tunapodhani kwamba ni sisi tu tunaoibiwa utajiri wetu!. Mawazo ya kichoyo na kishamba sana haya.

Mwekezaji kaja ili tija ya bandari iongezeke, ikishaongezeka maana yake pato la nchi limeongezeka, na linapokuwa limeongezeka maana yake pesa za kuhudumia sekta za afya, maji, umeme na zenyewe zinaongezeka.

Tujitahidi tuwe na maono hayo, sio kubakia na akili za kudhani tunaibiwa sisi tu siku zote, pathetic mindsets.
Kila mara unakimbia swala husika, toka mwanzo. Ni mara ngapi umeambiwa humu tatizo siyo uwekezaji, tatizo ni nyinyi mawakala mnaotumia uwekezaji huo kuwa mbaya kwa mikataba mibaya kama huo wa IGA.

Unarukia mambo yasiyo husika. Nani kakwambia hataki Tanzania ishirikiane na mataifa mengine.
Kushirikiana na mataifa mengine au kuleta uwekezaji haina maana ya kutojitahidinasi tuwe na uwezo kama hao wanaokuja kuwekeza hapa.

Hao DP World, hawakuwepo, na hawakuwa na lolote kabla ya 1999. Kwani wao kufanikiwa hadi kuwa walivyo sasa katika miaka hii michache, walisubiri watu wengine wawafanyie kazi, ndipo wapate mafanikio ya kuwafikisha hapo walipo?

Ninakueleza yote haya, lakini ni kama namueleza tu mbuzi asiye kuwa na utambuzi wa lolote.

Weka maslahi yako pembeni kwanza, yatazame maslahi ya nchi hii kwa upana wake.

Ukweli ni kuwa mnaudhi sana watu wa aina yako na huyo mama yako.
 
Hujui unaloliandika na kwanini hujui hilo jibu unalo mwenyewe. Kinachofanyika bandarini muda huu kimezaliwa kutokana na IGA iliyopita bungeni ndio imezaa hizi commercial agreements zilizosainiwa mbele ya rais pale Ikulu Dodoma.

Sitachoka kukuelimisha kuhusiana na hilo.
Sasa ni dhahiri kabisa uliitegemea sana hiyo IGA katika mipango yenu ovu kwa nchi hii. IGA haihusiki na chochote kinacho fanyika sasa hivi.
Mlitaka kubadili sheria zinazolinda mali zetu ili huo uovu wenu kwenye hiyo IGA utimie. Hapo mkakwaa kisiki.
Lakini nia ya uovu wenu kwa nchi yetu umekwisha jifunua, lililobaki ni kuwafurumsha tu. Subiri yanayo kuja.
 
Uhujumu na uhaini upi alioufanya Samia kwenye mradi wa DP World?.
Kutaka kutuingiza katika mkataba ule wa kitumwa, IGA, tena akijua wazi na kushiriki moja kwa moja katika hujuma hiyo.

Hakuna kiongozi yeyote anaye ipenda nchi yake anayo iongoza anaweza kudiriki na kutaka kuiingiza nchi yake katika utumwa ule uliowekwa ndani ya ile IGA.
 
Unajua kwamba bandari ilimshinda marehemu JPM kuiendesha?. Makelele mengi kutoka kwa TEC na kwa wengine ni baada ya kugundua kuwa mirija yao inakwenda kukatwa mazima.
Angalia usivyokuwa na akili timamu. Maslahi gani wanayo TEC katika lile swala la bandari?
Halafu hata hukumbuki uliyo kwish andika mwenyewe humu!
Umeandika mara kadhaa kuwa huo mpango wa DP World ulikuwepo toka enzi za Magufuli, na kwamba hiyo DP World walishawekwa ndani ya ilani ya CCM, halafu sasa hivi unapiga mengine kivyako, ujuavyo mwenyewe!

Hii kazi ya uwakala wa kuiuza nchi yetu msidhani inaweza kuwaacha salama.
 
UTanzania wa huyu kiongozi ni wa 'maslahi' tu; nafsi yake inamweka nje ya nchi hii. Huyu ni Mwarabu, hana uTanzania wowote.
Wakati Salim Ahmed anazongwa na akina Kikwete, tena mtu aliyekuwa kalitumikia taifa lake kwa heshima kubwa sana, hao hao akina Kikwete wakaenda kumwokota Mwarabu halisi na kumweka atawale taifa letu!
Sasahiv anaitwa mama wa taifa.
 
Sasahiv anaitwa mama wa taifa.
Hao wanaoimba hizo nyimbo ni unafiki tu na uchawa. Atakapo enguliwa hapo utawasikia hao hao wanamwimbia nyimbo huyo atakayekuwepo kwenye nafasi hiyo. Makundi ya aina hii huwa hayana uzito wowote.

Hawa siyo wafuasi, hawa ni watafuta fursa tu basi!
 
Back
Top Bottom