Barua ya wazi kwa Mrisho Gambo, ufisadi wako tunautambua

Hivi haya yote serikali kuu hawayajui [emoji15][emoji15][emoji15] kuhusu Gambo
 
Umetaja story nyingi lakini hazina ushahidi,ni maneno tu,tuhuma tupu.
 
Jamani pelekeni haya yote benk kwa ajili 2025! Baba mwizi, Mama mwizi, Mtoto mwizi, Mjukuu mwizi, kitukuu mwizi - CCM kizazi cha wezi-
 
mjitafakari humu ndani na makundi yenu ya vyama.ni donda tete na mtaendelea kufukuana sana ndo maana nilisema hivi vyama kitu kinachowafanya kutofautiana ni njaa.kila chama kinataka kijaze matumbo ya vyama vyao.
 
Kuna id hapa jf ya kujiita Bia yetu alikuwa anawashwa sana,kila uzi lazima aihusishe CHADEMA nasikia siku hizi amejifungua,bado ww
hivi kwa nn mnatumia nguvu sana kuyanadi hayo mavyama yenu?kizuri chajiuza kibovu chajitembeza.tuache kuyanadi mavyama tuyaache yajinadi yenyewe au na sisi tuna maslahi ktk hayo mavyama?
 
Wewe vipi? Hiyo mimba ya Magufuli utajifungua lini?? Naona inakutesa sana! Mada haihusiani kabisa na Magufuli lakini kwa sababu una mimba yake umeibuka kama fisi aliyeibuliwa toka kwenye pango!! Hahaha..
 

Huu ndio upuuzi wa kutetea uchafu kwa kuibua uchafu wa mwingine
 
Mlikua wapi kutoa hizi tuhuma mpaka yeye kawawahi?
 
Pole sana, nadhani JPM alimba.ka mama yako, hakumpa kwa hiari na wewe akakushurutisha kumtanulia miguu.
 
Nimesoma mpaka mwisho ulichoandika, naomba nikusaidie machache :

1) Kuna kipindi tuliaminishwa kwamba kazi ya mbunge ni kupiga makofi na kukubali kila kitu, kitu hiki kimeathiri utendaji wa wabunge na kupelekea wabunge kuwa sehemu ya Serikali. Kazi kubwa ya wabunge ni uwakilishi wa wananchi na lolote lililo la kero kero ni kazi ya mbunge kunisaidia kunisemea. Gambo kafanya kile mbunge anatakiwa kufanya bila kujali historia yake.

2.) Tunajua kwamba Gambo na Kihongosi wana uadui na hii ilitokana na hulka za wote na kipindi Kihongosi akiwa DC wa Arusha huku Gambo ni RC wake akataka kufanya counter-attack ili awe RC Gambo alivyoona hivyo akakimbilia kwenye Ubunge. Kwa hiyo wote wamekutana kwa siasa chafu lakini hii haindoi ukweli kwamba Gambo akifichua uovu wa Kihongosi ni kutokana na uadui wao. Gambo sio mamlaka ya nidhamu ya Kihongosi kazi yake ni kuieleza mamlaka yake yanayofanywa na Kihongosi.

3.) Hili andiko lako linaonyesha ni chuki gani uliyonayo kwa Gambo na pengine umetumwa na Kihongosi. Haya yote uliyoyasema juu ya Gambo hayakuwepo kabla mpaka Kihongosi alipotajwa na Gambo?

Yote
 
Ni
Ni ELECTION fever inamsumbua, mwambieni TUMESTUKA, hatufanyi uchaguzi Hadi Tuandike KITABU kipya kwanza. Amen
 
mjitafakari humu ndani na makundi yenu ya vyama.ni donda tete na mtaendelea kufukuana sana ndo maana nilisema hivi vyama kitu kinachowafanya kutofautiana ni njaa.kila chama kinataka kijaze matumbo ya vyama vyao.
Tujitafakari wakina nani ndugu..........??

Uzalendo na njaa havikai pamoja......
 
Asante kwa taarifa .lazikini kwa nini usingeyasema haya kabla ya kazi nzuri ya PM? Dhambi ya unafiki inalitafuna taifa ndiyo maana hatusongi mbele!!watanzania tuache unafiki!! Makosa ya MTU yasemwe kabla ya jambo lengine kutokea.
 
Hapa kuna mawili inawezekana mleta mada ana masilahi toka kwa huyo mkurugenzi bwana PIMA ama kaamua tu kuzungumza, yote yanawezekana lakini halifuti ukweli kuwa GAMBO ni miyeyusho, sasa huwa mnakuwa wapi kuongea siku zote,mpaka mguswe kwenye maslahi yeenu, hapa mnakuwa nanyi hamna tofauti na hao mafisadi haya madudu mnayajua siku zoote ila hamsemi sababu hawajagusa ugali wenu.
 
Kuna kitu sijaelewa.
Unatska kusema hayo madudu yaliyoibuliwa na Majaliwa hayana ukweli?

Sijaelewa kusudi lako hasa ni nini?
Unataka Gambo aungsnishwe huko au unaona hakufaa kuwatuhumu sababu na yeye sio safi?
He should shut the fvck up sababu naye ni jizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…