Barua ya wazi kwa Mrisho Gambo, ufisadi wako tunautambua

Umesahau kumueleza na jinsi alivyo tumia mamlaka yake kuwalazimisha wasichana wa NMB bank kufanya nao mapenzi kwa kutumia magari ya serikali
 

Kama nimekuelewa vizuri ni kwamba unakili huyu mkurugenzi aliyetumbuliwa ni kweli amepiga pesa lakini Gambo upigaji huo haukumnufaisha binafsi. Kama ni hivyo basi case closed nilifikiri una hoja za kuwatetea walitumbuliwa kuwa hawana hatia.
 
Kwani haya yote uliyoyaandika umeyajua leo?? Kama ni kweli mbona hukuyaripoti panapohusika mapema!! Hapo ndipo hoja yako inapokosa nguvu!! Haya mambo ya ukimwaga mboga namwaga ugali yanakuondolea kuaminika!!
 
Acha uzushi ulikuwa wapi cku zote. Majaliwa kaunda tume na PCCB ndani wapelekee kama ushahidi wako ni madhubuti

Ole wako ni kibumba utakuwa haurudi watakugangania mpk jela ikuhusu. Wee nengeneka kwa kuchuuzwa na hiyo PIMA wenu anayewatuma kumsemea. Imekwisha hiyooooo!
 
hakuna mtu mbaya 100%! kuna mazuri Magu kafanya mnyonge mnyongeni haki yake mpeni! kujenga miundombinu versus kubana uhuru wa kuongea na demokrasia ya vyama vingi.
 
nani wa kumfunga paka kengele? Takukuru Arusha wapo? mbona dili tayari hapa! tuhuma zote hizo bado mpo likizo? au ni papa mnamuogopa atawasomea Albadr pale Masjid yake ya Bondeni!!

Stori upande wa pili ambayo haijasemwa hapa ni kuwa jamaa ni mtu wa dini sana na ni mtu mwema!
 
Hii inaitwa mwaga mboga nimwage ugali !! Hii nchi inahujumiwa sana ! Ndio maana miaka 60 ya Uhuru bado tunazungumzia madawati na maji safi !!
Kwa nini uyaseme haya leo?
 
Kiukweli nami limenishangaza, ko Gambo kuibua wizi ndo mtu unakuja kumuanika na wewe as if alichokiibua Gambo hakustahili kisa nae alikuwa anafanya wizi. Kwa hyo mwizi haruhusiwi kufichua waovu kisa nae ni mwizi. 😀😀
Hapo Takukuru wamerahisishiwa kazi !! Watapiga ndege wawili kwa jiwe moja !!
 
hakuna mtu mbaya 100%! kuna mazuri Magu kafanya mnyonge mnyongeni haki yake mpeni! kujenga miundombinu versus kubana uhuru wa kuongea na demokrasia ya vyama vingi.
Kujenga miundombinu ni majukumu ya Rais kwa kodi zetu na hakuna Rais ambaye hakujenga miundombinu. Lakini hawakuua watu Wala kubana drmokrasia kama huyo HAYAWANI wa Chato
 
Barua hii haina chuki binafsi kweli? Maana kwa tuhuma hizo nzito nilitegemea kuwe na attachment
 
Rais angeunda tu tume ya uchunguzi dhidi ya upigaji na mali walizonazo kina Gambo, Makonda na Sabaya pamoja na kutumia madaraka vibaya.... Ungeshangaa. Lakini ndio hivyo tena nchi ya upigaji na laana!
 
Rais angeunda tu tume ya uchunguzi dhidi ya upigaji na mali walizonazo kina Gambo, Makonda na Sabaya pamoja na kutumia madaraka vibaya.... Ungeshangaa. Lakini ndio hivyo tena nchi ya upigaji na laana!
Ongeza Mnyeti, Jerry Muro, Ally Happy
 
Jamaa yupi Sasa?
 
Umesahau kumueleza na jinsi alivyo tumia mamlaka yake kuwalazimisha wasichana wa NMB bank kufanya nao mapenzi kwa kutumia magari ya serikali
Hii Kali Haina maji, daktari Pima ndio aliwalazimisha wadada wa NMB?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…