Barua ya wazi kwa Mzee Jakaya Mrisho Kikwete: Hivi wakati unaweka ndani Masheikh wetu ulikuwa unafikiria nini?

Barua ya wazi kwa Mzee Jakaya Mrisho Kikwete: Hivi wakati unaweka ndani Masheikh wetu ulikuwa unafikiria nini?

Kupatikana Osama bin Laden ni mtoto mchunga kondoo? Wacheki kulisha watu matango pori kwa maslahi yenu:

View attachment 1986213

Manhunt for Osama bin Laden - Wikipedia

Ninakazia:

Pamoja na yote anaweza kulaumiwa JK pana watu wasiojulikana nyuma ya pazia. Hao ndiyo walio wachawi wetu:

Kama CCM siyo adui -- mchawi wetu ni nani?

Terms za reference ni mahsusi walipo.

Brother hicho ulicho highlight ni matokeo ya operations za chini kwa chini na inform za mchunga kondoo....kuna mtu pia yuko jela Guantamo anaitwa KSM alishawahi kuwadokeza wakapuuza, dogo akaja na taarifa hizo hizo na akimtaja KSM ( ambaye tayari wanaye) baada ya hapo surveilance ndio ikaanza pamoja na hayo uliyohighlight hapo....amini hivyo usipate taabu.
 
Mzee Jakaya!
Shikamoo mzee, Nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania

Naomba nikupe taarifa tu kuwa jela kuna Masheikh zaidi ya 150 Jela, na wengi wao waliwekwa ndani kipindi cha utawala wako. Hivi mzee ulikuwa unafikiria nini kwa mambo haya?

Ninafahamu kuwa wewe personally siyo mtu mbaya, na nimekuwa nikiamini sana kuwa una utu sana ndani yako. Na kwa kweli umetenda mambo mengi mazuri sana kwa nchi yetu, ikiwemo miundo mbinu, kuongezeka kwa udahili wa wanafunzi vyuo vikuu, masilahi ya watumishi, ajira na demokrasia na mambo mengi tu.

Lakini kuna jambo moja huwa linanitazi sana mzee wangu. nalo linahusu HAKI, Hivi wakati serikali yako inachukua uamuzi wa kuwaweka ndani waja hawa na watumishi wa "MUUMBA MBINGU NA NCHI" ulikuwa ukifikiria nini haswa?

Masheikh wa uamsho walikaa ndani kwa miaka zaidi ya saba, serikali yako ndiyo iliiyowaweka ndani kwa kesi ya Ugaidi, serikali yako ikashindwa kuthibitisha ugaidi wao mahakamani, na serikali zilizofuata nazo zikashindwa kuthibitisha ugaidi wao kwa muda wa miaka yote hiyo nane. Mwishowe DPP akafuta kesi bila kutoa sababu, yaani akasema hana nia ya kuendelea na kesi hiyo. Hivi Mzee wetu Jakaya, unafahamu vizuri kuhusu Mwenyezi Mungu anavyosema kwenye Qur'an juu ya watu wasiotenda haki katika ardhi?

Mheshimiwa Jakaya, Jana Sheikh Ponda amekwenda Magerezani kuonana na Masheikh wengine ambao walikamatwa mwaka 2013 wakati wewe ukiwa rais, na mpaka leo serikali haijathibitisha tuhuma zao za Ugaidi. Mzee wangu hivi kweli ulifanya fair kwa waja hawa wa Mwenyezi Mungu?.

Bila shaka umesomasoama masuala ya dini ya kiislamu, unajua vizuri kisa cha nabii Yusufu kuwekwa gerezani kwa kosa ambalo wala hakulifanya, Je umewahi kujiuliz Dhimma uliyo nayo mbele ya Mwenyezi Mungu kwa hili jambo la kuwaweka ndani Watumisha wa MWINGI WA REHMA bila haki?

Mzee naamini wewe ni mtu mwenye access na Rais Samia, nakuomba kwa heshima na taadhima tumia nafasi hii ya access uliyonayo kumuomba raii Samia afute kesi na awaachie huru masheikh hawa watumishi wa MWINGI WA REHMA.

Mzee Jakaya, ulichowafanyia waja hawa wa Mwenyezi Mungu siyo sawa, Nakuomba ufanye jitihada zako kurekebisha hili suala!

Nikukumbushe tu, miongoni mwa hawa uliowaweka ndani katika utawala wako bila ushahidi, miongoni mwao wamo waliokupigania sana kisiasa kwenye uchaguzi wa mwaka 2010, wakati huo ulikuwa na hali mbaya sana mbele ya Dr Slaa , mzee kumbuka hilo!

Wako katika Ujenzi wa Taifa
Missile of the Nation!
Mzee Jakaya!
Shikamoo mzee, Nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania

Naomba nikupe taarifa tu kuwa jela kuna Masheikh zaidi ya 150 Jela, na wengi wao waliwekwa ndani kipindi cha utawala wako. Hivi mzee ulikuwa unafikiria nini kwa mambo haya?

Ninafahamu kuwa wewe personally siyo mtu mbaya, na nimekuwa nikiamini sana kuwa una utu sana ndani yako. Na kwa kweli umetenda mambo mengi mazuri sana kwa nchi yetu, ikiwemo miundo mbinu, kuongezeka kwa udahili wa wanafunzi vyuo vikuu, masilahi ya watumishi, ajira na demokrasia na mambo mengi tu.

Lakini kuna jambo moja huwa linanitazi sana mzee wangu. nalo linahusu HAKI, Hivi wakati serikali yako inachukua uamuzi wa kuwaweka ndani waja hawa na watumishi wa "MUUMBA MBINGU NA NCHI" ulikuwa ukifikiria nini haswa?

Masheikh wa uamsho walikaa ndani kwa miaka zaidi ya saba, serikali yako ndiyo iliiyowaweka ndani kwa kesi ya Ugaidi, serikali yako ikashindwa kuthibitisha ugaidi wao mahakamani, na serikali zilizofuata nazo zikashindwa kuthibitisha ugaidi wao kwa muda wa miaka yote hiyo nane. Mwishowe DPP akafuta kesi bila kutoa sababu, yaani akasema hana nia ya kuendelea na kesi hiyo. Hivi Mzee wetu Jakaya, unafahamu vizuri kuhusu Mwenyezi Mungu anavyosema kwenye Qur'an juu ya watu wasiotenda haki katika ardhi?

Mheshimiwa Jakaya, Jana Sheikh Ponda amekwenda Magerezani kuonana na Masheikh wengine ambao walikamatwa mwaka 2013 wakati wewe ukiwa rais, na mpaka leo serikali haijathibitisha tuhuma zao za Ugaidi. Mzee wangu hivi kweli ulifanya fair kwa waja hawa wa Mwenyezi Mungu?.

Bila shaka umesomasoama masuala ya dini ya kiislamu, unajua vizuri kisa cha nabii Yusufu kuwekwa gerezani kwa kosa ambalo wala hakulifanya, Je umewahi kujiuliz Dhimma uliyo nayo mbele ya Mwenyezi Mungu kwa hili jambo la kuwaweka ndani Watumisha wa MWINGI WA REHMA bila haki?

Mzee naamini wewe ni mtu mwenye access na Rais Samia, nakuomba kwa heshima na taadhima tumia nafasi hii ya access uliyonayo kumuomba raii Samia afute kesi na awaachie huru masheikh hawa watumishi wa MWINGI WA REHMA.

Mzee Jakaya, ulichowafanyia waja hawa wa Mwenyezi Mungu siyo sawa, Nakuomba ufanye jitihada zako kurekebisha hili suala!

Nikukumbushe tu, miongoni mwa hawa uliowaweka ndani katika utawala wako bila ushahidi, miongoni mwao wamo waliokupigania sana kisiasa kwenye uchaguzi wa mwaka 2010, wakati huo ulikuwa na hali mbaya sana mbele ya Dr Slaa , mzee kumbuka hilo!

Wako katika Ujenzi wa Taifa
Missile of the Nation!
Allah amsamehe Mzee Jakaya Kikwete katika yale aliyokosea. Amejitahidi mno katika nafasi aliyopata. Binafsi nampa udhuru na kumdhania kheri kuwa alifanya mambo yale kwa nia njema na kwa maslahi ya Waislam. Wakati wa zile harakati zilizofanywa na baadhi ya Waislam wakati ule (2010-2013), kiukweli kwangu mimi naona walifanya makosa mengi.

Nakumbuka jinsi walivyomsumbua Kikwete, jinsi Kikwete alivyotukanwa na kusemwa vibaya hadharani na baadhi ya hawa wanaharakati, nakumbuka maandamano yasiyokwisha. Usisahau na jinsi alivyopigwa vita na baadhi ya wasio Waislam.

Alikuwa na wakati mgumu sana, wakati huo bado nilikuwa mdogo, ila sasa nikifikiria hilo nagundua kwamba Jakaya alipata shida sana.

Allah amsamehe makosa yake.
 
Brother hicho ulicho highlight ni matokeo ya operations za chini kwa chini na inform za mchunga kondoo....kuna mtu pia yuko jela Guantamo anaitwa KSM alishawahi kuwadokeza wakapuuza, dogo akaja na taarifa hizo hizo na akimtaja KSM ( ambaye tayari wanaye) baada ya hapo surveilance ndio ikaanza pamoja na hayo uliyohighlight hapo....amini hivyo usipate taabu.

Saga zima la kupatikana Osama bin Laden liko documented wazi wazi:

Manhunt for Osama bin Laden - Wikipedia

Mchunga kondoo?! Leta ushahidi.

Ninakazia mchawi siyo CCM, JK wala Samia. Mchawi wetu yuko hapa:

Kama CCM siyo adui -- mchawi wetu ni nani?
 
Mzee Jakaya!
Shikamoo mzee, Nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania

Naomba nikupe taarifa tu kuwa jela kuna Masheikh zaidi ya 150 Jela, na wengi wao waliwekwa ndani kipindi cha utawala wako. Hivi mzee ulikuwa unafikiria nini kwa mambo haya?

Ninafahamu kuwa wewe personally siyo mtu mbaya, na nimekuwa nikiamini sana kuwa una utu sana ndani yako. Na kwa kweli umetenda mambo mengi mazuri sana kwa nchi yetu, ikiwemo miundo mbinu, kuongezeka kwa udahili wa wanafunzi vyuo vikuu, masilahi ya watumishi, ajira na demokrasia na mambo mengi tu.

Lakini kuna jambo moja huwa linanitazi sana mzee wangu. nalo linahusu HAKI, Hivi wakati serikali yako inachukua uamuzi wa kuwaweka ndani waja hawa na watumishi wa "MUUMBA MBINGU NA NCHI" ulikuwa ukifikiria nini haswa?

Masheikh wa uamsho walikaa ndani kwa miaka zaidi ya saba, serikali yako ndiyo iliiyowaweka ndani kwa kesi ya Ugaidi, serikali yako ikashindwa kuthibitisha ugaidi wao mahakamani, na serikali zilizofuata nazo zikashindwa kuthibitisha ugaidi wao kwa muda wa miaka yote hiyo nane. Mwishowe DPP akafuta kesi bila kutoa sababu, yaani akasema hana nia ya kuendelea na kesi hiyo. Hivi Mzee wetu Jakaya, unafahamu vizuri kuhusu Mwenyezi Mungu anavyosema kwenye Qur'an juu ya watu wasiotenda haki katika ardhi?

Mheshimiwa Jakaya, Jana Sheikh Ponda amekwenda Magerezani kuonana na Masheikh wengine ambao walikamatwa mwaka 2013 wakati wewe ukiwa rais, na mpaka leo serikali haijathibitisha tuhuma zao za Ugaidi. Mzee wangu hivi kweli ulifanya fair kwa waja hawa wa Mwenyezi Mungu?.

Bila shaka umesomasoama masuala ya dini ya kiislamu, unajua vizuri kisa cha nabii Yusufu kuwekwa gerezani kwa kosa ambalo wala hakulifanya, Je umewahi kujiuliz Dhimma uliyo nayo mbele ya Mwenyezi Mungu kwa hili jambo la kuwaweka ndani Watumisha wa MWINGI WA REHMA bila haki?

Mzee naamini wewe ni mtu mwenye access na Rais Samia, nakuomba kwa heshima na taadhima tumia nafasi hii ya access uliyonayo kumuomba Rais Samia afute kesi na awaachie huru masheikh hawa watumishi wa MWINGI WA REHMA.

Mzee Jakaya, ulichowafanyia waja hawa wa Mwenyezi Mungu siyo sawa, Nakuomba ufanye jitihada zako kurekebisha hili suala!

Nikukumbushe tu, miongoni mwa hawa uliowaweka ndani katika utawala wako bila ushahidi, miongoni mwao wamo waliokupigania sana kisiasa kwenye uchaguzi wa mwaka 2010, wakati huo ulikuwa na hali mbaya sana mbele ya Dr Slaa , mzee kumbuka hilo!

Wako katika Ujenzi wa Taifa
Missile of the Nation!
Umesahau hao masheikh walivoleta mpasuko wa kidini na mihadhara ya chuki au? waache wakae kwa kutulia.
 
Nakumbuka Mzee Mohamed Said aliwahi kueleza namna sheikh Ponda na wenzake walivyozunguka nchi hii kumpigania JK mwaka 2010........hii nchi dini na siasa zimejaa wasanii.
Nchi hii ni kubwa na ni zaidi ya interest za dini moja. Inashangaza sana wakati ule watu wanavamia vituo vya polisi na kuua hakuna aliyekuwa anasema kwanini wanafanya vile. JK aliapa kuilinda katiba. Angeisaliti, sababu ya ujinga wa kikundi cha watu wachache, unafikiri angeficha wapi uso wake? Tumuache JK apumzike. Sheria zipo. Tufuate taratibu za kisheria kuliko kuongozwa na jazba au fyoko fyoko kwenda haya mambo nyeti ya usalama
 
Mzee Jakaya!
Shikamoo mzee, Nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania

Naomba nikupe taarifa tu kuwa jela kuna Masheikh zaidi ya 150 Jela, na wengi wao waliwekwa ndani kipindi cha utawala wako. Hivi mzee ulikuwa unafikiria nini kwa mambo haya?

Ninafahamu kuwa wewe personally siyo mtu mbaya, na nimekuwa nikiamini sana kuwa una utu sana ndani yako. Na kwa kweli umetenda mambo mengi mazuri sana kwa nchi yetu, ikiwemo miundo mbinu, kuongezeka kwa udahili wa wanafunzi vyuo vikuu, masilahi ya watumishi, ajira na demokrasia na mambo mengi tu.

Lakini kuna jambo moja huwa linanitazi sana mzee wangu. nalo linahusu HAKI, Hivi wakati serikali yako inachukua uamuzi wa kuwaweka ndani waja hawa na watumishi wa "MUUMBA MBINGU NA NCHI" ulikuwa ukifikiria nini haswa?

Masheikh wa uamsho walikaa ndani kwa miaka zaidi ya saba, serikali yako ndiyo iliiyowaweka ndani kwa kesi ya Ugaidi, serikali yako ikashindwa kuthibitisha ugaidi wao mahakamani, na serikali zilizofuata nazo zikashindwa kuthibitisha ugaidi wao kwa muda wa miaka yote hiyo nane. Mwishowe DPP akafuta kesi bila kutoa sababu, yaani akasema hana nia ya kuendelea na kesi hiyo. Hivi Mzee wetu Jakaya, unafahamu vizuri kuhusu Mwenyezi Mungu anavyosema kwenye Qur'an juu ya watu wasiotenda haki katika ardhi?

Mheshimiwa Jakaya, Jana Sheikh Ponda amekwenda Magerezani kuonana na Masheikh wengine ambao walikamatwa mwaka 2013 wakati wewe ukiwa rais, na mpaka leo serikali haijathibitisha tuhuma zao za Ugaidi. Mzee wangu hivi kweli ulifanya fair kwa waja hawa wa Mwenyezi Mungu?.

Bila shaka umesomasoama masuala ya dini ya kiislamu, unajua vizuri kisa cha nabii Yusufu kuwekwa gerezani kwa kosa ambalo wala hakulifanya, Je umewahi kujiuliz Dhimma uliyo nayo mbele ya Mwenyezi Mungu kwa hili jambo la kuwaweka ndani Watumisha wa MWINGI WA REHMA bila haki?

Mzee naamini wewe ni mtu mwenye access na Rais Samia, nakuomba kwa heshima na taadhima tumia nafasi hii ya access uliyonayo kumuomba Rais Samia afute kesi na awaachie huru masheikh hawa watumishi wa MWINGI WA REHMA.

Mzee Jakaya, ulichowafanyia waja hawa wa Mwenyezi Mungu siyo sawa, Nakuomba ufanye jitihada zako kurekebisha hili suala!

Nikukumbushe tu, miongoni mwa hawa uliowaweka ndani katika utawala wako bila ushahidi, miongoni mwao wamo waliokupigania sana kisiasa kwenye uchaguzi wa mwaka 2010, wakati huo ulikuwa na hali mbaya sana mbele ya Dr Slaa , mzee kumbuka hilo!

Wako katika Ujenzi wa Taifa
Missile of the Nation!
Kwa nini usiende kwa hao masheikh nao watakuambia kile walichokifanya hadi wamekaa ndani miaka zaidi ya 9.
Yaliyotokea MKIRU hayakuanzaia hewani.
 
Mzee Jakaya!
Shikamoo mzee, Nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania

Naomba nikupe taarifa tu kuwa jela kuna Masheikh zaidi ya 150 Jela, na wengi wao waliwekwa ndani kipindi cha utawala wako. Hivi mzee ulikuwa unafikiria nini kwa mambo haya?

Ninafahamu kuwa wewe personally siyo mtu mbaya, na nimekuwa nikiamini sana kuwa una utu sana ndani yako. Na kwa kweli umetenda mambo mengi mazuri sana kwa nchi yetu, ikiwemo miundo mbinu, kuongezeka kwa udahili wa wanafunzi vyuo vikuu, masilahi ya watumishi, ajira na demokrasia na mambo mengi tu.

Lakini kuna jambo moja huwa linanitazi sana mzee wangu. nalo linahusu HAKI, Hivi wakati serikali yako inachukua uamuzi wa kuwaweka ndani waja hawa na watumishi wa "MUUMBA MBINGU NA NCHI" ulikuwa ukifikiria nini haswa?

Masheikh wa uamsho walikaa ndani kwa miaka zaidi ya saba, serikali yako ndiyo iliiyowaweka ndani kwa kesi ya Ugaidi, serikali yako ikashindwa kuthibitisha ugaidi wao mahakamani, na serikali zilizofuata nazo zikashindwa kuthibitisha ugaidi wao kwa muda wa miaka yote hiyo nane. Mwishowe DPP akafuta kesi bila kutoa sababu, yaani akasema hana nia ya kuendelea na kesi hiyo. Hivi Mzee wetu Jakaya, unafahamu vizuri kuhusu Mwenyezi Mungu anavyosema kwenye Qur'an juu ya watu wasiotenda haki katika ardhi?

Mheshimiwa Jakaya, Jana Sheikh Ponda amekwenda Magerezani kuonana na Masheikh wengine ambao walikamatwa mwaka 2013 wakati wewe ukiwa rais, na mpaka leo serikali haijathibitisha tuhuma zao za Ugaidi. Mzee wangu hivi kweli ulifanya fair kwa waja hawa wa Mwenyezi Mungu?.

Bila shaka umesomasoama masuala ya dini ya kiislamu, unajua vizuri kisa cha nabii Yusufu kuwekwa gerezani kwa kosa ambalo wala hakulifanya, Je umewahi kujiuliz Dhimma uliyo nayo mbele ya Mwenyezi Mungu kwa hili jambo la kuwaweka ndani Watumisha wa MWINGI WA REHMA bila haki?

Mzee naamini wewe ni mtu mwenye access na Rais Samia, nakuomba kwa heshima na taadhima tumia nafasi hii ya access uliyonayo kumuomba Rais Samia afute kesi na awaachie huru masheikh hawa watumishi wa MWINGI WA REHMA.

Mzee Jakaya, ulichowafanyia waja hawa wa Mwenyezi Mungu siyo sawa, Nakuomba ufanye jitihada zako kurekebisha hili suala!

Nikukumbushe tu, miongoni mwa hawa uliowaweka ndani katika utawala wako bila ushahidi, miongoni mwao wamo waliokupigania sana kisiasa kwenye uchaguzi wa mwaka 2010, wakati huo ulikuwa na hali mbaya sana mbele ya Dr Slaa , mzee kumbuka hilo!

Wako katika Ujenzi wa Taifa
Missile of the Nation!
Jee wakati wakifanya kampeni za kidini na kuchafua amani ya nchi na kueneza Al khaida na Islamic nation wewe ulitaka afanyeje ?
 
Linapokuja suala kama hili wengi hapa JF huwa hawako sympathetic na Waislamu, sijui kwa nini!

Huwezi kuona hoja za Ulinzi na usalama zikiapply kwa kesi ya Mbowe, huwa tunaconclude kuwa Mbowe kaonewa. Ila kwa Masheikh huwa tunasema serikali "inalinda" nchi dhidi ya ugaidi
Hilo ni tatizo la dunia,dunia nzima inaamini kuna uhusiano kati ya uislam na ugaidi
 
bwana "Kombora la Taifa" labda nikwambie tu...kuna wakati mambo ya Dola na usalama wa nchi huwa ni magumu sana kuyaletea ushabiki....

Wangekuwa ni viongozi wa CDM tungesema.JK ni CCM anakandamiza CDM, wangekuwa ni wakristo tungesema JK muislamu anakandamiza Ukristo....wale ni masheikh wa kiislam na JK ni muislam naamini lipo jambo ambalo kuna wakati raia hatupaswi kuhoji bali kuamini tu Dola inatenda sawa kutulinda...

Wale wahuni wa mkulanga, Tanga na kule kibiti wengine informers wao na supplier + coordinators wao tulikuwa tunaishi nao mtaani kuwatarget na kuwatia mkononi ni kazi ya Dola kimyakimya..
Si ajabu leo hii ukiwekewa hadharani ya bwana mabunduki pale french embassy unaweza kustaajabu lakini inabaki kuwa taarifa za dola.

Kupatikana kwa Osama Bin laden na kuuwawa kulitokana na taarifa kutoka kwa mtoto mchunga kondoo kule tora bora wakati tena mambo yameshapoa....usmart wa akili wa wale USA uliwafanya kutomdharau yule dogo na baadaye kuishia kumtesa guatanamo kupata proper lead..
Sawa usalama wa nchi una oparate kwa ushahidi sio kwa hisia au chuki huwezi kufunga mtu miaka 10 bila kumtia hatiani, walete ushahidi kwamba alikua hatari sio hearsays, hao watu wana familia, ni watanzania wana haki kamiri. Sio poa kutumia tishio la usalama wa Taifa kutesa watu.......JK wakati wa utawala wake hakua na mamlaka kamiri na na ma suala ya usalama ali laumiwa sana kwamba ana walea Magaidi, unakumbuka ma bomu ya mbagala paka leo report haijatoka kwa nini? Mlipuka mara mbili tena kipindi cha JK, kulikua na jambo nyuma yake ambao paka leo alija semwa........tafakari sana hayo mambo.
 
Mzee Jakaya!

Shikamoo mzee, nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania

Naomba nikupe taarifa tu kuwa jela kuna Masheikh zaidi ya 150 Jela, na wengi wao waliwekwa ndani kipindi cha utawala wako. Hivi mzee ulikuwa unafikiria nini kwa mambo haya?

Ninafahamu kuwa wewe personally siyo mtu mbaya, na nimekuwa nikiamini sana kuwa una utu sana ndani yako. Na kwa kweli umetenda mambo mengi mazuri sana kwa nchi yetu, ikiwemo miundo mbinu, kuongezeka kwa udahili wa wanafunzi vyuo vikuu, masilahi ya watumishi, ajira na demokrasia na mambo mengi tu.

Lakini kuna jambo moja huwa linanitazi sana mzee wangu. nalo linahusu HAKI, Hivi wakati serikali yako inachukua uamuzi wa kuwaweka ndani waja hawa na watumishi wa "MUUMBA MBINGU NA NCHI" ulikuwa ukifikiria nini haswa?

Masheikh wa uamsho walikaa ndani kwa miaka zaidi ya saba, serikali yako ndiyo iliiyowaweka ndani kwa kesi ya Ugaidi, serikali yako ikashindwa kuthibitisha ugaidi wao mahakamani, na serikali zilizofuata nazo zikashindwa kuthibitisha ugaidi wao kwa muda wa miaka yote hiyo nane. Mwishowe DPP akafuta kesi bila kutoa sababu, yaani akasema hana nia ya kuendelea na kesi hiyo. Hivi Mzee wetu Jakaya, unafahamu vizuri kuhusu Mwenyezi Mungu anavyosema kwenye Qur'an juu ya watu wasiotenda haki katika ardhi?

Mheshimiwa Jakaya, Jana Sheikh Ponda amekwenda Magerezani kuonana na Masheikh wengine ambao walikamatwa mwaka 2013 wakati wewe ukiwa rais, na mpaka leo serikali haijathibitisha tuhuma zao za Ugaidi. Mzee wangu hivi kweli ulifanya fair kwa waja hawa wa Mwenyezi Mungu?.

Bila shaka umesomasoama masuala ya dini ya kiislamu, unajua vizuri kisa cha nabii Yusufu kuwekwa gerezani kwa kosa ambalo wala hakulifanya, Je umewahi kujiuliz Dhimma uliyo nayo mbele ya Mwenyezi Mungu kwa hili jambo la kuwaweka ndani Watumisha wa MWINGI WA REHMA bila haki?

Mzee naamini wewe ni mtu mwenye access na Rais Samia, nakuomba kwa heshima na taadhima tumia nafasi hii ya access uliyonayo kumuomba Rais Samia afute kesi na awaachie huru masheikh hawa watumishi wa MWINGI WA REHMA.

Mzee Jakaya, ulichowafanyia waja hawa wa Mwenyezi Mungu siyo sawa, Nakuomba ufanye jitihada zako kurekebisha hili suala!

Nikukumbushe tu, miongoni mwa hawa uliowaweka ndani katika utawala wako bila ushahidi, miongoni mwao wamo waliokupigania sana kisiasa kwenye uchaguzi wa mwaka 2010, wakati huo ulikuwa na hali mbaya sana mbele ya Dr Slaa , mzee kumbuka hilo!

Wako katika Ujenzi wa Taifa
Missile of the Nation!
Asipo kujibu jiulize na yale makanisa na mapadri nani alikua anawaua na kuyachoma pia kuua watalii?
Na kwa nini walipokamatwa mauaji yaliisha ma utulivu ukalejea.

Je hao waliokufa kwa vitendo hivyo walikufa kwa haki au kwa dhurma?
 
Mkuu umenena.
Mzee Jakaya!

Shikamoo mzee, nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania

Naomba nikupe taarifa tu kuwa jela kuna Masheikh zaidi ya 150 Jela, na wengi wao waliwekwa ndani kipindi cha utawala wako. Hivi mzee ulikuwa unafikiria nini kwa mambo haya?

Ninafahamu kuwa wewe personally siyo mtu mbaya, na nimekuwa nikiamini sana kuwa una utu sana ndani yako. Na kwa kweli umetenda mambo mengi mazuri sana kwa nchi yetu, ikiwemo miundo mbinu, kuongezeka kwa udahili wa wanafunzi vyuo vikuu, masilahi ya watumishi, ajira na demokrasia na mambo mengi tu.

Lakini kuna jambo moja huwa linanitazi sana mzee wangu. nalo linahusu HAKI, Hivi wakati serikali yako inachukua uamuzi wa kuwaweka ndani waja hawa na watumishi wa "MUUMBA MBINGU NA NCHI" ulikuwa ukifikiria nini haswa?

Masheikh wa uamsho walikaa ndani kwa miaka zaidi ya saba, serikali yako ndiyo iliiyowaweka ndani kwa kesi ya Ugaidi, serikali yako ikashindwa kuthibitisha ugaidi wao mahakamani, na serikali zilizofuata nazo zikashindwa kuthibitisha ugaidi wao kwa muda wa miaka yote hiyo nane. Mwishowe DPP akafuta kesi bila kutoa sababu, yaani akasema hana nia ya kuendelea na kesi hiyo. Hivi Mzee wetu Jakaya, unafahamu vizuri kuhusu Mwenyezi Mungu anavyosema kwenye Qur'an juu ya watu wasiotenda haki katika ardhi?

Mheshimiwa Jakaya, Jana Sheikh Ponda amekwenda Magerezani kuonana na Masheikh wengine ambao walikamatwa mwaka 2013 wakati wewe ukiwa rais, na mpaka leo serikali haijathibitisha tuhuma zao za Ugaidi. Mzee wangu hivi kweli ulifanya fair kwa waja hawa wa Mwenyezi Mungu?.

Bila shaka umesomasoama masuala ya dini ya kiislamu, unajua vizuri kisa cha nabii Yusufu kuwekwa gerezani kwa kosa ambalo wala hakulifanya, Je umewahi kujiuliz Dhimma uliyo nayo mbele ya Mwenyezi Mungu kwa hili jambo la kuwaweka ndani Watumisha wa MWINGI WA REHMA bila haki?

Mzee naamini wewe ni mtu mwenye access na Rais Samia, nakuomba kwa heshima na taadhima tumia nafasi hii ya access uliyonayo kumuomba Rais Samia afute kesi na awaachie huru masheikh hawa watumishi wa MWINGI WA REHMA.

Mzee Jakaya, ulichowafanyia waja hawa wa Mwenyezi Mungu siyo sawa, Nakuomba ufanye jitihada zako kurekebisha hili suala!

Nikukumbushe tu, miongoni mwa hawa uliowaweka ndani katika utawala wako bila ushahidi, miongoni mwao wamo waliokupigania sana kisiasa kwenye uchaguzi wa mwaka 2010, wakati huo ulikuwa na hali mbaya sana mbele ya Dr Slaa , mzee kumbuka hilo!

Wako katika Ujenzi wa Taifa
Missile of the Nation!
Mkuu umenena. Huyu bwana alijisahau kabisa 😡😡
 
Sawa usalama wa nchi una oparate kwa ushahidi sio kwa hisia au chuki huwezi kufunga mtu miaka 10 bila kumtia hatiani, walete ushahidi kwamba alikua hatari sio hearsays, hao watu wana familia, ni watanzania wana haki kamiri. Sio poa kutumia tishio la usalama wa Taifa kutesa watu.......JK wakati wa utawala wake hakua na mamlaka kamiri na na ma suala ya usalama ali laumiwa sana kwamba ana walea Magaidi, unakumbuka ma bomu ya mbagala paka leo report haijatoka kwa nini? Mlipuka mara mbili tena kipindi cha JK, kulikua na jambo nyuma yake ambao paka leo alija semwa........tafakari sana hayo mambo.
unaposema Jk hakuwa na Mamlaka kamili unakuwa unakusudia kumaanisha nini hasa?.

Ebu fafanua.
na yale mabomu ya mbagala unataka kusema yalilipuliwa makusudi kuua waislamu, ama?
 
Kuna mambo wengi ya kidhalimu Jakaya aliyafanya enzi ya utawala wake yakiwemo kuua watu, mfano ni jinsi alivyoamuru kuuliwa kwa mwandishi Mwangosi kule Iringa na baadae kumpandisha cheo Kiongozi wa operation ile! Watu wengi pia waliteswa kwa kusimamia HAKI akiwemo Dr. Ulimboka.

Huyu mkwere alikuwa Kiongozi dhalimu lakini mnafiki na aliwahadaa watu kwa kucheka Cheka!
Dr,Ulimboka alipata alichostahili hakuonewa hata chembe
 
Dr,Ulimboka alipata alichostahili hakuonewa hata chembe

Dr. Ulimboka alikuwa kiongozi wa madaktari waliokuwa wanadai haki ya kuongezewa stahili zao. Sasa mkwere kumtesa kwa kudai haki ndio stahili yake? Vasco Dagama has blood on his hands and he will live to pay up hapa hapa duniani!!
 
Dr. Ulimboka alikuwa kiongozi wa madaktari waliokuwa wanadai haki ya kuongezewa stahili zao. Sasa mkwere kumtesa kwa kudai haki ndio stahili yake? Vasco Dagama has blood on his hands and he will live to pay up hapa hapa duniani!!
Njia walioichagua kudai nyongeza ya marupurupu iligharimu maisha ya watu wengi sana wa kipato cha chini na ndio maana alipata alichostahili.
 
unaposema Jk hakuwa na Mamlaka kamili unakuwa unakusudia kumaanisha nini hasa?.

Ebu fafanua.
na yale mabomu ya mbagala unataka kusema yalilipuliwa makusudi kuua waislamu, ama?
Hapana sio hivyo sijaongelea wa Islamu, naomba utafari hili jambo kwa makini ondoa hisia.
 
Hapana sio hivyo sijaongelea wa Islamu, naomba utafari hili jambo kwa makini ondoa hisia.
Chief, angalia kuna alama za kuuliza katika koment yangu.
kwakuwa sijui ulikusudia kusema nini uliposema:, Jk hakuwa na mamlaka kamili", basi nifafanulie nini ulimaanisha.
 
Njia walioichagua kudai nyongeza ya marupurupu iligharimu maisha ya watu wengi sana wa kipato cha chini na ndio maana alipata alichostahili.

Hiyo ni sababu ya kujihami kwani Maisha ya watu hupotea kwa kukosa dawa na wadaktari wakiwepo!! Je baada ya hapo Kikwete aliongeza marurupu ya madaktari kama hiyo sababu unayotoa ina uhalisia? Wapi! Serikali haikuongeza kwasababu hela yote mkwere alikuwa anakomba kwa kusafiri na kuwahonga Wabunge!!!
 
Back
Top Bottom