Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Yakikukuta uje ucoment tena huu utopoloMjomba jikite kweye kazi zako kutwa kujiongelesha hakuna mwenye kazi na wewe wamekupuuza!
Yapi unayotaka wewe yakukute!Yakikukuta uje ucoment tena huu utopolo
Wewe ni kichaa siyo bure!!Baada ya kupata taarifa kupitia msamaria mwema kwamba Rais @SuluhuSamia anawinda roho yangu kupitia vikosi kazi vya utekaji, nilifanya kikao na wakili wangu. Wakili ameshauri niandike barua na kuweka public. Nimeshaandika barua na nimewapa ndugu wote ni zamu yenu kusoma barua hii.
Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu
View attachment 3100501
Siku ukitekwa hicho kipara kitaota nywele na ndio utajua utekaji ni mzuri au mbaya.Mjomba jikite kweye kazi zako kutwa kujiongelesha hakuna mwenye kazi na wewe wamekupuuza!
Vyuma vimekaza🤣🤣Kazi kuunga vyuma!
Najua humu Jf Kuna ma great thinkers wengi Sanaa watakusaidia kukuweka sawa
Nilifanya kautafiti kadogo na Mara zote nimegundua yafuatayo kuhusu mdude chadema.
*Mdude huwa ana tumia lugha ngumu (matusi) kukosoa watawala .
*Serikali Mara zote zimekua na ziliamua kumpuuza period japo amewai kupewa kashi kashi kidogo
Mapendekezo.
*Mdude chadema anaweza kua mtu mzuri na mzalendo Sana asikilizwe na apewe nafasi mfano atafutiwe position mfano. Kuwa msimamizi wa projects hata moja mfano kilimo au ufugaji au mradi wowote wa serikali ikiwezekana apewe hata u DC nguvu anazozitumia huku na nguvu anazo tumia huku akazitumie huko kwenye hio kazi tuonee
*Kama mdude chadema haku uwawa kipindi Cha JK,JPM na Sasa mama Samia wampuuze maana debe tupu haliachi kuvuma.
WasWassa
Tumemuonya sana aache kutukana ajikite kwenye kumwaga sera za chama chake, lakini wapi. Yeye kila kukicha ni kutukana tu. Sasa anataka sisi tumwonee huruma ya nini? Anadhani tutakosa marusi yake?Huwa huna cha kufanya ,tangu 2014 wewe ni kutukana watu hata walikuuwa sisi hatuna tulichobakisha kwenye kuonya na kushauri.
Umemtukana ana Samia leo unalialia tena na huyu Samia alijutia jela
USSR
Sanasana unatafuta tu kiki.Huna lolote la maana katika nchi hii mpaka Rais samia akufuatilie.Baada ya kupata taarifa kupitia msamaria mwema kwamba Rais @SuluhuSamia anawinda roho yangu kupitia vikosi kazi vya utekaji, nilifanya kikao na wakili wangu. Wakili ameshauri niandike barua na kuweka public. Nimeshaandika barua na nimewapa ndugu wote ni zamu yenu kusoma barua hii.
Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu
View attachment 3100501
Kwani hakuna sheria ya kumshitaki mpaka awekwe? Basi muvilaza nyote huko ccm.Huwa huna cha kufanya ,tangu 2014 wewe ni kutukana watu hata walikuuwa sisi hatuna tulichobakisha kwenye kuonya na kushauri.
Umemtukana ana Samia leo unalialia tena na huyu Samia alijutia jela
USSR
Kwani hakuna sheria ya kumshitaki kama ametukana mpaka mumteke? Basi muvilaza sana huko ccm.Tumemuonya sana aache kutukana ajikite kwenye kumwaga sera za chama chake, lakini wapi. Yeye kila kukicha ni kutukana tu. Sasa anataka sisi tumwonee huruma ya nini? Anadhani tutakosa marusi yake?
We si ungekaa kimya kama haya kuhusuMjomba jikite kweye kazi zako kutwa kujiongelesha hakuna mwenye kazi na wewe wamekupuuza!
Ben saa8 ilikuwaje????Wewe domokeka hebu acha siasa za kishamba ambazo zishapitwa na wakati. Mtu anaetafuta kukuua hawezi kukupa taarifa na kitisho. Bali atasubiri uingie kwenye 18 zake/ zao ili wakupoteze kimya kimya bila ushahidi wa barua wala sim.
Uliwahi kuona au kusikia kitisho chochote kwa mzee Ali Kibao?
Mapinzani ya bongo kama mavichaa tuMjomba jikite kweye kazi zako kutwa kujiongelesha hakuna mwenye kazi na wewe wamekupuuza!
Unaishi wapi wewe hadi useme "yeye tuu"? Hujui kwamba watu wametekwa na wengine kuuawa?Hajui kwamba itafika mahala watu wanakuchoka? Hajiulizi Kwa nini yeye tuu?
Nani wa kumpa taarifa huyo?Hivi ulisikiliza ile hotuba amesema kachomeza mashushushu wanaompa taarifa? Sasa wale wale mashushushu wanaochukua taarifa wengine kwa huruma zao binafsi wametoboa mkeka akili kichwani
Copy ya barua umeshawapelekea na wazungu ??Baada ya kupata taarifa kupitia msamaria mwema kwamba Rais @SuluhuSamia anawinda roho yangu kupitia vikosi kazi vya utekaji, nilifanya kikao na wakili wangu. Wakili ameshauri niandike barua na kuweka public. Nimeshaandika barua na nimewapa ndugu wote ni zamu yenu kusoma barua hii.
Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu
View attachment 3100501