Barua ya wazi kwa ndugu, jamaa na watanzania kwa ujumla baada ya kupata vitisho vya kuniteka, kuniuwa na kunipoteza

Barua ya wazi kwa ndugu, jamaa na watanzania kwa ujumla baada ya kupata vitisho vya kuniteka, kuniuwa na kunipoteza

Baada ya kupata taarifa kupitia msamaria mwema kwamba Rais @SuluhuSamia anawinda roho yangu kupitia vikosi kazi vya utekaji, nilifanya kikao na wakili wangu. Wakili ameshauri niandike barua na kuweka public. Nimeshaandika barua na nimewapa ndugu wote ni zamu yenu kusoma barua hii.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu

View attachment 3100501
Wewe ni kichaa siyo bure!!
 
Shemu
Najua humu Jf Kuna ma great thinkers wengi Sanaa watakusaidia kukuweka sawa

Nilifanya kautafiti kadogo na Mara zote nimegundua yafuatayo kuhusu mdude chadema.

*Mdude huwa ana tumia lugha ngumu (matusi) kukosoa watawala .
*Serikali Mara zote zimekua na ziliamua kumpuuza period japo amewai kupewa kashi kashi kidogo

Mapendekezo.
*Mdude chadema anaweza kua mtu mzuri na mzalendo Sana asikilizwe na apewe nafasi mfano atafutiwe position mfano. Kuwa msimamizi wa projects hata moja mfano kilimo au ufugaji au mradi wowote wa serikali ikiwezekana apewe hata u DC nguvu anazozitumia huku na nguvu anazo tumia huku akazitumie huko kwenye hio kazi tuonee
*Kama mdude chadema haku uwawa kipindi Cha JK,JPM na Sasa mama Samia wampuuze maana debe tupu haliachi kuvuma.
WasWassa
 
Sehemu salama ya mtu kama huyu ni kukamatwa na kuwekwa ndani mpaka huyo msamalia mwema aliyemtonya amtaje na adhibutishe tuhuma hizi. Mnachafua nchi aisee. Hivi nchi ikichafuka watoto wenu, wajomba, nk wataishi wapi? Hamuoni yanayotokea gaza, ukraine, lebaboni?? Common
 
Huyu mwanaharakati sijui ni kiongozi gani mweka kwake. Utawala bora upi anautaka wakati mana kawapa kika kitu ikiwemi uuhuru wa kufanya siasa wao wanaishia kutukana, kugomba na kulalamika. Tunahitaji wanaharakati walio na uchungu na nchi na sio vyama vyao.
 
Huwa huna cha kufanya ,tangu 2014 wewe ni kutukana watu hata walikuuwa sisi hatuna tulichobakisha kwenye kuonya na kushauri.

Umemtukana ana Samia leo unalialia tena na huyu Samia alijutia jela

USSR
Tumemuonya sana aache kutukana ajikite kwenye kumwaga sera za chama chake, lakini wapi. Yeye kila kukicha ni kutukana tu. Sasa anataka sisi tumwonee huruma ya nini? Anadhani tutakosa marusi yake?
 
Baada ya kupata taarifa kupitia msamaria mwema kwamba Rais @SuluhuSamia anawinda roho yangu kupitia vikosi kazi vya utekaji, nilifanya kikao na wakili wangu. Wakili ameshauri niandike barua na kuweka public. Nimeshaandika barua na nimewapa ndugu wote ni zamu yenu kusoma barua hii.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu

View attachment 3100501
Sanasana unatafuta tu kiki.Huna lolote la maana katika nchi hii mpaka Rais samia akufuatilie.
 
Huwa huna cha kufanya ,tangu 2014 wewe ni kutukana watu hata walikuuwa sisi hatuna tulichobakisha kwenye kuonya na kushauri.

Umemtukana ana Samia leo unalialia tena na huyu Samia alijutia jela

USSR
Kwani hakuna sheria ya kumshitaki mpaka awekwe? Basi muvilaza nyote huko ccm.
 
Tumemuonya sana aache kutukana ajikite kwenye kumwaga sera za chama chake, lakini wapi. Yeye kila kukicha ni kutukana tu. Sasa anataka sisi tumwonee huruma ya nini? Anadhani tutakosa marusi yake?
Kwani hakuna sheria ya kumshitaki kama ametukana mpaka mumteke? Basi muvilaza sana huko ccm.
 
Wewe domokeka hebu acha siasa za kishamba ambazo zishapitwa na wakati. Mtu anaetafuta kukuua hawezi kukupa taarifa na kitisho. Bali atasubiri uingie kwenye 18 zake/ zao ili wakupoteze kimya kimya bila ushahidi wa barua wala sim.

Uliwahi kuona au kusikia kitisho chochote kwa mzee Ali Kibao?
Ben saa8 ilikuwaje????
Nae alikuwa anaongea hivi hivi kuwa anatishwa.
So mwache mdude achukue tahadhari.
 
Hajui kwamba itafika mahala watu wanakuchoka? Hajiulizi Kwa nini yeye tuu?
Unaishi wapi wewe hadi useme "yeye tuu"? Hujui kwamba watu wametekwa na wengine kuuawa?

Mdude kisha jiwekea tahadhari. Akipotea tu, itajulikana ni kazi ya hao alio wataja; hata kama watakuwa siyo wenyewe wahusika.
 
Hivi ulisikiliza ile hotuba amesema kachomeza mashushushu wanaompa taarifa? Sasa wale wale mashushushu wanaochukua taarifa wengine kwa huruma zao binafsi wametoboa mkeka akili kichwani
Nani wa kumpa taarifa huyo?
 
Baada ya kupata taarifa kupitia msamaria mwema kwamba Rais @SuluhuSamia anawinda roho yangu kupitia vikosi kazi vya utekaji, nilifanya kikao na wakili wangu. Wakili ameshauri niandike barua na kuweka public. Nimeshaandika barua na nimewapa ndugu wote ni zamu yenu kusoma barua hii.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu

View attachment 3100501
Copy ya barua umeshawapelekea na wazungu ??
 
Back
Top Bottom