Barua ya wazi kwa Samia kuhusu hali ilivyo sasa baada ya waraka wa wahashamu

Barua ya wazi kwa Samia kuhusu hali ilivyo sasa baada ya waraka wa wahashamu

Baadhi ya Waislamu wanamwona Mwarabu kama Mungu wao.
Nashangaa ni kwanini walimtimua Zanzibar.

Mkataba wa Bandari haulengi kushusha makontena bali kuitawala Tanganyika.

Inayumnikanaje unampa Mwarabu mamlaka ya kutawala Bandari zote za Tanganyika.
Bandari za Bahari, Maziwa, Mito yote milele.
Hivi sisi Waafrika ngozi nyeusi tumerogwa na nani.

Ni nchi gani duniani ilimilikisha Bandari zake zote kwa wageni...[emoji848]

Hivi tuko timamu kweli. Yaani vitukuu vyetu viambiwe havina mamlaka katika Bandari zote za nchi yao ya Tanganyika.

Ati Mamlala yote alipewaga Mwarabu.
This is the True ShitHoles.
 
Point ya samia kujisogeza KKKT wakiwa na hamu ya kupata Raisi iko wazi kabisa....

Samia kashashindwa kazi anaaza kugombanisha watu. ...maana hata mariziano na chadema yalishakufa ana ha ha kutafuta pa kufia

"If you can't convince them confuse them" nafikiri ndivyo walivyokubaliana kuwagawa wakristo
Hakuna Rais kutoka KKKT kama chifu h mama abdul kawaambia ivo kawadanganya
 
Wee Chura nimeipenda hii nickname mpya ya SSH as SASHA!!!.... Ina swagger....

linafaa kutrendishwa.... ila haliwezi kutrend....!

Hadi pale atakapoamua kurejesha amendment bungeni kutengua huu mkataba wa kinyonyaji!!!
 
TEC hawajapuyanga bwana mdogo...

TEC wako Proactive, hawajataka kusubiri sijui mpaka Christmass ndipo waje wazungumzie mambo ya mkataba wakati huenda ingekuwa too late...

TEC hawajaanza kutoa nyaraka leo kuhusu mambo mtambuka yahusuyo nchi yetu, ni wewe tu haujajipa muda wa kufuatilia mambo...
Waraka wa kupinga ushoga unatoka lini? au Ushoga sio jambo mtambuka ?
 
Baadhi ya Waislamu wanamwona Mwarabu kama Mungu wao.
Nashangaa ni kwanini walimtimua Zanzibar.

Mkataba wa Bandari haulengi kushusha makontena bali kuitawala Tanganyika.

Inayumnikanaje unampa Mwarabu mamlaka ya kutawala Bandari zote za Tanganyika.
Bandari za Bahari, Maziwa, Mito yote milele.
Hivi sisi Waafrika ngozi nyeusi tumerogwa na nani.

Ni nchi gani duniani ilimilikisha Bandari zake zote kwa wageni...[emoji848]

Hivi tuko timamu kweli. Yaani vitukuu vyetu viambiwe havina mamlaka katika Bandari zote za nchi yao ya Tanganyika.

Ati Mamlala yote alipewaga Mwarabu.
This is the True ShitHoles.
ungeweka na kapicha ka huo mkataba
 
Baadhi ya Waislamu wanamwona Mwarabu kama Mungu wao.
Nashangaa ni kwanini walimtimua Zanzibar.

Mkataba wa Bandari haulengi kushusha makontena bali kuitawala Tanganyika.

Inayumnikanaje unampa Mwarabu mamlaka ya kutawala Bandari zote za Tanganyika.
Bandari za Bahari, Maziwa, Mito yote milele.
Hivi sisi Waafrika ngozi nyeusi tumerogwa na nani.

Ni nchi gani duniani ilimilikisha Bandari zake zote kwa wageni...[emoji848]

Hivi tuko timamu kweli. Yaani vitukuu vyetu viambiwe havina mamlaka katika Bandari zote za nchi yao ya Tanganyika.

Ati Mamlala yote alipewaga Mwarabu.
This is the True ShitHoles.
ungeweka na kapicha ka huo mkataba
 
Mods tafadhari msiunganishe huu uzi/barua wala kuufuta haya ni maonyo ya wazi kwa rais wetu mpendwa SASHA.

Niende moja kwa moja kwenye dhima ntawasalimu baadae wakubwa.

Kama ilivyo desturi leo mida ya jionii nilienda kupata zangu gahawa na kashata mitaa ya Barakuda, kilichonishtua ni kwamba sasa hivi watu hawazungumzii tena ubovu au ubora wa mikataba bali wanafungama na aliyesema ni wa dini gani kama Mkatoliki akisema mkataba ni mzuri basi wakatoliki wanaunga mkono wale wengine wanapinga vivo hivyo kwa dini nyingine. Waislamu sasa wanautetea mkataba sababu Samia ni muislamu mwenzao haijailishi una vipengele tata au la. Kule nako wakatoliki wanaupinga mkataba sababu maaskofu wao wameukataa.

Rais Samia, hali imekua mbaya sana baada ya waraka wa TEC wasio wakatoliki wamechukia wanadhani kwamba Roma inajitia ubabe na kiherehere juu ya dini nyingine hivyo wanahoji "Who on earth is TEC ", LIKE WHO are they to decide on behalf of 60M + people?. Hii imewafanya hata waislamu wenzio walio kuwa wanaupinga mkataba awali waanze kuutetea sababu ikiwa wanahisi katoliki inakujumu sababu ww ni muislamu, Sasa hivi hawakusapoti sababu ya utendaji wako bali sababu ya dini yako. Watu wamegawanyika mpambano sasa ni dhidi ya kanisa katoliki hakuna tena hoja sa hivi ni kujitutumua isionekane dini moja ina pelekesha dini nyingine lakini je nikuulize walichokisema TEC kwenye waraka kina makosa?

Upande wa pili napo hakujapoa wakatoliki wanaamini wewe na mkataba wako mmeshapoteza legitimacy hivyo uchutame na kufuata maoni ya viongozi wao maana sauti ya kwao ni ya MUNGU hakuna namna utamshawishi mkatoliki sasa akubari mkataba wako na DP world wakati wahashamu wameukataa. Sa hivi watu hawazungumzii tena ubovu au ubora wa mikataba bali wanafungama na aliyesema ni wa dini gani kama Mktoliki akisema mkataba ni mzuri basi wakatoliki wanaunga mkono wale wengine wanapinga vivo hivyo kwa dini nyingine.Waislamu sasa wanautetea mkataba sababu Samia ni muislamu mwenzao haijaishi una vipengele tata au la.Kule nako wakatoliki wanaupinga mkataba sababu maaskofu wao wameukataa haijalishi una vipengele vizuri au la, ila kwa kua RUMI IKISEMA JAMBO LIMEISHA basi hawataki kuuiskia mkataba tena.
Rais kipenzi Samia badala ya kutafuta suluhu ya kitaifa wwe unatafuta uungwaji mkono na kanisa lenye wafuasi wengi baada ya katoliki, sasa umeanza kutafuta kuungwa mkono na KKKT, Rais kipenzi tunajua kiu ya wa KKKT ni kutoa Rais maana wao wamekuwa wanalia miaka yote kuwa chini ya kivuli cha waroma huenda kwa kiu yao hii ukawapata kwenye mtego wako wakakusapoti lakini je hii itaondoa uhalisia wa hoja za TEC kuhusu mkataba wako na DP world?

Rais kipenzi Samia usiharibu historia yako ya kuwa mwanamke wa kwanza Rais Tanzania aliyeziba uwezekano wa wanawake kuja kutawala tena nchii hii.

Niseme wazi TEC wamepuyanga wameingilia siasa ilihali wao ni watu wa dini lakini walichokiongea ndio maoni ya walio wengi.

Kabla hali haijawa mbaya zaidi nakushauri uwaite viongozi wakuu wote wa dini Mufti, Kardinali, Askofu mkuu Moravian, KKKT nk ujadiliane nao kisha ukubali compromise kama kuna ulazima ili wao wakatulize mizuka ya udini iiyoibuka tuishi kama zaman kiupendo.

Rais kipenzi chetu, jeuri haina mwisho mwema jana kwenye mimbari za KKKT nimekusikia ukisema wewe utanyamaza ila umewasikia maana yake umewapuuza kwa lugha nyepesi.Tena ukasema hakuna mwenye ubavu wa kuligawa taifa hili Rais wangu kipenzi kama kuigawa TZ basi utaigawa wewe kwa kung’ang’ania ambacho kimepingwa na wengi

Kwa kukuonyesha na wao si taasisi ya mchezo katoliki imeamua kuwa, itausoma ule waraka kwa jumapili sita mfululizo kama hiyo haitoshi wamesema kwamba utasomwa kwenye jumuia zao ile kila mkatoliki ajue kwamba Mkataba sio.

Rais wangu kipenz hili swala linaweza hata kukunyima uungwaji mkono na CCM wenzio 2025 usiwe mjeuri hakuna anayekuchukia sababu ya uanamke wako bali utendaji wako wa kimaamuzi katika hili la bandari umetia dosari


“Bwana akiukataa mji waulindao wafanya kazi bure”
Serikali ya Tanzania haina dini, ila raia wana dini zao ambazo hazina ubia katika serikali.
Hakuna dini inayompinga Rais wetu Samia, zote zinakubaliana naye kuongoza nchi bila maneno ya kujipendekeza kama baadhi ya wachache wanaofikiri atawasikia kwa maneno yao.
Tofauti ya fikra kwa wengine kupinga mkataba wa DP world kama ulivyo haina maana ya kumpinga Rais.
Kimsingi tunatakiwa kuangalia jambo hili katika kweli na haki kimantiki kwa mustakabali mwema wa taifa kwa ujumla.
 
Kwa hiyo Nyaraka za TEC huwa ni kwa ajili ya Miswaada tu? usilidogeshe kanisa kiasi hicho Mkuu
Ushoga umehalalishwa wapi hapa nchini mpaka TEC watoe waraka wa kukemea?

Mkuu unafikiria kwa kutumia ubongo kweli?

Ulitaka watoe tamko kwa kitu ambacho ni hewa?
 
Wale wanaopitishaga mizigo yao hapo bandarini bwereree wanajua kabisa mwarabu akikabidhiwa bandari hakuna tena bwereree
Nilifikiri tunapambana bandari kwa maslahi ya taifa kumbe wengine wanapambania kwa maslahi yao.
 
Hii ni ngoma ya wakubwa lazima ikeshe. Sijui kama mama ataelewa. Maana tumeandika hadi hatuchoki na vitisho vya akina chalamila.
 
Ila kweli kuwa kiongozi tena kama Rais wa nchi ni kazi. Samia anakazi kubwa sana katika hili.

Lakini pia maamuzi yoyote atakayofanya kama kuutupilia mbali au kuendelea au kurekebisha. Tayari ameshajitia doa sugu lisiwoweza kufutika.

Kwa ninavyofikiri mimi hapa alipo halali na watu wake wanatafuta easy way out na kama mmoja alivyosema huko juu njia moja wapo ni kuwagawa wakristu wenyewe kwa wenyewe na wakristu dhidi ya waislam.

Agenda imebadilika kutoka mkataba kuwa na terms zisizokuwa na uhalisia imehamia kwenye udini.
 
Point ya samia kujisogeza KKKT wakiwa na hamu ya kupata Raisi iko wazi kabisa....

Samia kashashindwa kazi anaaza kugombanisha watu. ...maana hata mariziano na chadema yalishakufa ana ha ha kutafuta pa kufia

"If you can't convince them confuse them" nafikiri ndivyo walivyokubaliana kuwagawa wakristo
Dini zitabaki na hakutakuwa na mtifuano wa kidini.
Haya yanayotokea yana mdhara kwa watawala na vyama hasa ccm.
Huu mkataba umegeuka mtakabwa. Wapo wameanza kukabwa.
 
Who is sasha...? We dont have and we could'nt have the president of that name
Who is JPM, JK, BM, JK Nyerere!? etc. Ni kifupi tu cha majina ya rais SAmia Suluhu HAsan (SASHA) kama ilivyokuwa kwa John Pombe Magufuri (JPM) au Benjamin Mkapa BM
 
Who is JPM, JK, BM, JK Nyerere!? etc. Ni kifupi tu cha majina ya rais SAmia Suluhu HAsan (SASHA) kama ilivyokuwa kwa John Pombe Magufuri (JPM) au Benjamin Mkapa BM
Bishoo anaelewa basi tu
 
Ila kweli kuwa kiongozi tena kama Rais wa nchi ni kazi. Samia anakazi kubwa sana katika hili.

Lakini pia maamuzi yoyote atakayofanya kama kuutupilia mbali au kuendelea au kurekebisha. Tayari ameshajitia doa sugu lisiwoweza kufutika.

Kwa ninavyofikiri mimi hapa alipo halali na watu wake wanatafuta easy way out na kama mmoja alivyosema huko juu njia moja wapo ni kuwagawa wakristu wenyewe kwa wenyewe na wakristu dhidi ya waislam.

Agenda imebadilika kutoka mkataba kuwa na terms zisizokuwa na uhalisia imehamia kwenye udini.
Tuzidi kusali
 
TEC hawajapuyanga bwana mdogo...

TEC wako Proactive, hawajataka kusubiri sijui mpaka Christmass ndipo waje wazungumzie mambo ya mkataba wakati huenda ingekuwa too late...

TEC hawajaanza kutoa nyaraka leo kuhusu mambo mtambuka yahusuyo nchi yetu, ni wewe tu haujajipa muda wa kufuatilia mambo...
TEC hao hao walimchanaga mkapa
Sembuse utawala huu

Ova
 
Back
Top Bottom