Barua ya wazi kwa Sheikh Mziwanda na Dr. Sule: Acheni kutetea dhulma dhidi ya Watanzania wenzenu

W
Wapumbavu nyinyi

BAKWATA wote ni masufi, na ndio hao wapumbavu.

Usufi = ushirikina/uganga

Hamna sheikh wa BAKWATA asiye Mshirikina
 
Masheikh 80% wanà uelewa mdogo wa mambo yasiyokuwa ya dini....hawa wapo vyema kukariri tu Quran ila huku kwingine ni weupe mno
Huu utafiti wako ulifanya lini na wapi ?! Dini yetu ya uislamu imekamilika na mwenye kuijua na kuisoma vizuri uelewa wake utakuwa zaidi ya hao mapadri unawaona wanaakili kumbe hamna kitu.. mwenye akili hawezi kuabudu kinyago
 
Huu utafiti wako ulifanya lini na wapi ?! Dini yetu ya uislamu imekamilika na mwenye kuijua na kuisoma vizuri uelewa wake utakuwa zaidi ya hao mapadri unawaona wanaakili kumbe hamna kitu.. mwenye akili hawezi kuabudu kinyago
Nani kasoma dini vyema ya kiislam na ana akili kumzidi hata mtumikizi,nitajie😁😁😁
 
Huu utafiti wako ulifanya lini na wapi ?! Dini yetu ya uislamu imekamilika na mwenye kuijua na kuisoma vizuri uelewa wake utakuwa zaidi ya hao mapadri unawaona wanaakili kumbe hamna kitu.. mwenye akili hawezi kuabudu kinyago
Uelewa wa mambo yanayoendelea saivi duniani unaweza kuyajua kwa kukariri Quran tu? Kwanini bakhresa watoto wake hajawapeleka kusoma vituo vya kukariri Quran tu? Au wewe mbona watoto wako hauwapeleki wakakariri Quran tu? Swala la kuabudu sanamu siamini kama wakatoliki huwa wanafanya hivyo ila naona kama tu inafanana na mahujaji kumpiga mawe shetani na kulibusu jiwe kwa hisia kali sana huku wanalia
 
Asilimia 90% masheikh wetu wanaitwaga masheikh ubwabwa, wao wanawaza ngono na kula tu, na kias kikubwa watahubiri mambo ya majini na shirki, lakini kutoa ushauri wa maana kabisa sijawahi kuona,
Sheikh Ponda unamweka kundi gani?
 
Mimi ambaye bado mwanafunzi nawazidi hao Mwenye akili hawezi kuabudu sanamu
SIsi hatuabudu sanamu tunatumia kama uelekeo tu takbir
 

Attachments

  • Screenshot_20240908_111807_X.jpg
    624.8 KB · Views: 1
Njiwa kwenye 1/2
 

Attachments

  • Screenshot_20240908_111807_X.jpg
    624.8 KB · Views: 1

Kwanza Quran haikaririwi.. inasomeshwa! Kwa mwenye uwelewa mdogo ni ngumu kulielewa hilo ..

Kupiga jiwe na kubusu alkaaba hatuitakidi kwamba lilie jiwe Mungu kama wanavyoitakidi kafiroon .. kwamba kile kinyago Mungu.. wanakisujudia na kukivaa shingoni kabisa.... kumbe maskini ni Mzungu Actor , na anajulikana bado picha zake wanazo wanazibudu wakiitakidi ni mesaya ni Upumbavu Mkubwa sana alafu unasema hao watu wananakili kuliko masheikh zetu , la ,,Abadan ni wapumbavu kuliko sisi wanafunzi wa masheikh ...Quran tukufu ilishasema Sifa za Allah ni zipi (Hakuzaa wala hakuzaliwa na hana mfanano wa kitu chochote humu duniani)
 
Hawa masheikh wamesahau kuwa:
1. Aliyesweka ndani masheikh wa Zanzibar ni rais muislamu, na mwenyekiti wa CCM wa wakati huo
2. Aliyewapa masheikh kesi za ugaidi huko Arusha ni rais muislamu, tena alikuwa mwenyekiti wa CCM
3. Aliyempiga risasi sheikh Ponda ikamjeruhi almanusra imtoe uhai ni rais muislamu, na alikuwa mwenyekiti wa CCM

Na aliyekuwa akipaza Sauti kuwatetea wote hawa ni CHADEMA. Hata kampeni za Urais za CHADEMA zilijikita katika kuwatetea hawa masheikh!
 
Naam na Hao ndio Masheikh WANAFIKI na ni Masheikh UBWABWA wamejaa dhulma tupu ila wanasimama mbele ya Umma na kuongoza ibada

Wapo wengi sana Awamu hii wakijitahidi kujipendekeza kwa Rais huku wakifanya Unafiq na Dhulma
 
Na ndio tunapokuja kuona pia umuhimu wa elimu dunia ,maostaadhi wengi wana bomba mbili tu ( cha kuzaliwa na cha la saba) sasa lazima mtu wa hivyo uchanganuzi wa mambo uwe mdogo sana ,kwa kweli ukiwasikiliza baadhi narudia baadhi ya mashekhe nje ya kisomo cha dini ni weupe peeeeh kichwani
 
Ukiishasomeshwa Quran ukaielewa ndio unafanya hivi???
 

Attachments

  • Screenshot_20240908_111807_X.jpg
    624.8 KB · Views: 1
Sijaelewa nini kinafanyika hapo ..
Huwezi elewa sababu huijui vyema imani yako,unachojua ni kuelezea za watu ambazo pia huzijui.

Hapo ni battle la kushika jiwe ili dhambi zisamehewe na Allah,sekunde 1 unafia hapo hapo.
Huyo unayemwona hapo juu ni mbaba wa makamo ambaye pia anaamini akiswali tu kwa Allah dhambi zinasamehewa,ila kaamua apandie wenzie mabegani aguse jiwe,nasisitiza hiyo sio ibada kwa mujibu wa akili za kiislam.
 
Kwa hiyo kafiri anafundisha Dini yangu ati siijui..hahaha 🤣 nimekuuliza unazifahamu nguzo za Hija?! Je kubusu na kushika jiwe ni Moja wapo ?; kama Hujui sema ukomeshwe bwana mdogo
 
Kwa hiyo kafiri anafundisha Dini yangu ati siijui..hahaha 🤣 nimekuuliza unazifahamu nguzo za Hija?! Je kubusu na kushika jiwe ni Moja wapo ?; kama Hujui sema ukomeshwe bwana mdogo
Wewe unifundishe uislam mimi???
kachukue zulia la msikitini ufue😁😁,nguzo ya hija ni moja kati ya nguzo 5 za uislam na imeweka sharti kwa mwenye uwezo wa kwenda huko mecca.

Labda hujui na dhumuni lake ni nini,ndio maaa nikakuandikia kule juu,kwamba mdogo wako pale juu na mbavu zake anajua pia kwamba akiswali tu Allah anamsamehe ila kaamua atoke jasho la kwapa makusudi kabisa🤣🤣🤣
 
W

Wapumbavu nyinyi

BAKWATA wote ni masufi, na ndio hao wapumbavu.

Usufi = ushirikina/uganga

Hamna sheikh wa BAKWATA asiye Mshirikina
Wewe utakua gaidi salafi....kazi yenu ni kujilipua na kuwaua mpaka SISIMIZI.....nyinyi ni TUKANO katika ardhi......

Rejea :Fitnatul wahabiyya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…