Uchaguzi 2020 Barua ya Wazi kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuhusu Mwenendo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu (2020) za Mheshimiwa Tundu Lissu

Point hapo ni " Uchaguzi wa huru a haki". Ikitokea umeona hujatendewa haki basi Kuna njia za kisheria za kufuata na sio kumwaga damu ya wananchi
Uraisi wa JMT na SMZ hupingwi mahakaman wala popote ndio maana 2015 Jecha alifanya take
Safari hii tunawaambia ninyi watu wa system hatuwaachi salama
Njia pekee ya kupinga uraisi wa jiwe ni kuingia barabaran na mawe
Ninyi njooni na risasi mungu atakuwa kwetu tutawashinda
 
Tundu Lissu ni shida anaushawishi mpaka kwako wewe mleta habari, ukienda kumsikiliza mara ya pili kura yako anayo !!!
Kura au Kula maana kama ni kura tayari moja Kwa moja inafahamika atapigiwa Dkt Magufuli so Lissu maybe apate kula kwake
 
Katiba ni maridhiano ya pande zote. Kama upinzani wamekataa isingekuwa katiba bora Rais Magufuli ametumia busara kuiweka kapuni
 
Kwakuwa mmejiandaa Kwa namna hii inaonesha ni Kwa namna gani hamna uwezo wa kushinda na tayari mmejiandaa kushindwa
 
"Tupeleke nguvu kijijini" kwasababu ndiko kwenye kura za bure
Binti Kiziwi tusiwe wabaguzi. Ubaguzi huo wa kubagua watanzania waishio vijijini ndio moja ya sababu za nyie kukosa kura za watanzania waishio vijijini
 
Kwa kweli kampeni zake zinapandikiza chuki,woga na kuchochea vita.ni bahati mbaya kuwa na mgombea wa namna hii.sijui taifa litafanyeje kuunganisha wananchi ambao amewatawanya kwa kiwajaza chuki zisizo na msingi.
ZALEMDA
Huyu adhabu yake Ni moja tuu, kumpa Rais Magufuli kura zote, kuwachagua wagombea wa CCM kwenye nafasi za ubunge na udiwani. Hapo watajifunza kuacha michezo michafu na kufanya siasa safi
 
Katiba ni maridhiano ya pande zote. Kama upinzani wamekataa isingekuwa katiba bora Rais Magufuli ametumia busara kuiweka kapuni

Kama alikuwa na nia njema angefanya marekebisho ya tume ya uchaguzi, na sheria zinazolalamikiwa mpaka sasa, maana malalamiko hayo yako wazi mno. Ila kwakuwa hasa yeye na chama chake ni wafaidika wa huo udhaifu wa tume ya uchaguzi, yuko kimya kabisa. Uzoefu unaonyesha ni nadra vyama vilivyoko madarakani kukubali mabadiliko ya mifumo inayowafanya wakae madarakani bila machafuko na hata mauji.
 
Karibu kunakucha
 
ZALEMDA
Huyu adhabu yake Ni moja tuu, kumpa Rais Magufuli kura zote, kuwachagua wagombea wa CCM kwenye nafasi za ubunge na udiwani. Hapo watajifunza kuacha michezo michafu na kufanya siasa safi
Mnajitekenya na kucheka wenyewe
 
Kisukuma hakitasaidia hata kwa dawa
 
Wizi mkubwa ni kwenye kura za urais, njia za kisheria baada ya kuibiwa ni zipi? Bila machafuko sioni mabadiliko ya maeneo yanayolalamikiwa.
Hapa inaendelea kuthibitishwa kuwa Lissu anawachochea wananchi kuvunja amani.
Ndugu Tindo hapa ametupa ushahidi huo
 
Unajitishia nyau we mwenyewe
 
Uhuni unaofanywa na ccm kwa kushirikiana na tume kuwaengua wapinzani kienyeji haivurugi amani ya nchi?
 
Hapa inaendelea kuthibitishwa kuwa Lissu anawachochea wananchi kuvunja amani.
Ndugu Tindo hapa ametupa ushahidi huo

Narudia tena, bila machafuko sioni mabadiliko, Afrika hakuna mabadiliko ya kunyimwa haki bila machafuko. Vinginevyo isingewezekana kilio cha tume huru ya uchaguzi na matokeo ya urais kuhojiwa mahakamani kizidi 25yrs bila kurekebishwa kwa amani. Kwa taarifa yako kukitokea machafuko, tume ya uchaguzi ndio itakuwa ya kwanza kufanyiwa marekebisho. Amani haiji ila kwa ncha ya upanga fullstop.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…