Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bora kufa kwa kutetea unacho kiamini mkuu kuliko kufa kwa malaria by the way kila mtu alipozaliwa tiyari kifo chake kilisha pangwa ni mazingira gani utapia kufa so lazima alima utetee kile unachokiamin never give up mkuu , ila nikili kwenye hayo magroup yako mi simo mkuuBARUA YA WAZI KWA TUNDU LISU
Na, Robert Heriel
Taikon wa Fasihi,
S.L.P 9977, JIBI,
Kutoka Nyota ya Tibeli.
30, 07. 2020.
YAH: KUKUONYA DHIDI YA KUTETEA MASIKINI NA WAPUMBAVU.
Ndugu Mhe Lisu, Kichwa cha habari hapo juu cha husika.
Ninafuraha kubwa kukuandikia barua hii ya wazi ambapo najua watu wengi wataisoma nawe itakufikia. Utanisamehe ikiwa njia hii niliyoitumia pengine isikufurahishe lakini ni katika hali ya kukupa ujumbe wenye manufaa wewe na wale wote wenye tabia kama zako, mimi nikiwa mmoja wao.
Mhe. Lisu, nimekufuatilia kwa miaka saba sasa, sisemi nakufahamu lakini angalau ninachakusema kidogo kukuhusu. Umejipambanua kama mtu apendaye haki, mtu apendaye utawala wa sheria, mtu apendaye demokrasia. Lisu umekuwa mstari wa mbele kukemea maonevu uyaonayo ndani ya nchi yako, umejigeuza kama msemaji wa wanaoonewa, kutetea wanyonge wanaonyimwa haki zao. Upo sawa, lakini umekosea jambo moja; nalo ni kushindwa kujua unatetea watu wa aina gani. Hilo ndilo kosa lako kuu.
Huwezi tetea haki za masikini ukabaki salama, huwezi tetea haki za wapumbavu ukabaki salama. Huwezi tetea watu wasiojielewa, huwezi tetea watu wasiojua unapigania nini kwao, huko ni kujitafutia matatizo makubwa ambayo hao unaowatetea hawatakusaidia kitu kwa sababu wao ni wapumbavu na masikini.
Kikawaida masikini ni watu wasiojithamini, watu wasio na shukrani, watu wasiojitambua, wengi wao ni wachawi, wanga, watu wasio na fadhila, masikini ukimsaidia huyo huyo ndio atakuja kukusema unajidai, ukimtetea masikini au mpumbavu huyo huyo ndio atakuambia unakihere here. Kamwe nakusihi acha mara moja kuhangaika na masikini.
Masikini unachoweza kuwasaidia ni kuwadhulumu hata kile kidogo walichonacho, kuwabagua, kuwatenga, kuwadharau, hicho ndicho wakipendacho masikini. Lakini ukijifanya unawapenda, unawajali nakuhakikishia unajiingiza mkenge, utaumia, utasagika na hakika utamalizika.
Nikukumbushe Ndugu Mhe. Lisu, hakuna aliyewahi kuwatetea masikini, na kuwapigania masikini akabaki salama. Wote waliojiingiza katika harakati hizo walikufa vifo vibaya, wengine walipewa adhabu kali za kuliwa na mamba, kuliwa na simba, kuchomwa moto, wakapotea na kuangamia.
Katika Dini, wapo Manabii walikuja kutetea haki za wanyonge, haki za masikini lakini wote waliuawa, tena wakazomewa na hao hao masikini. Nakupa mifano ya watu katika dini waliokuwa wanaharakati kama wewe, Musa, ndiye yule Mlawi aliyewatoa waisrael Misri, naye aliwapigania watumwa wale na kutaka kuwa uhuru wao. walichomlipa wote tunajua, walianza kulalamika kuwa bora warudishwe utumwani Misri kuliko kuwa huru Kanaani katika nchi yao. Mungu alitaka kuwaua lakini Kihere here cha Musa akawatetea, siku zilizofuata wakataka kumuua Musa wasijue huyo ndiye aliwatetea wasiuawe na Mungu. Musa alipowashtaki kwa Mungu, Mungu akamuambia, wewe si uliwatetea hao masikini, watumwa, wapumbavu wasiojielewa. Acha wakuue ili uwe na akili. Musa akabaki katumbua macho. Biblia inasema, Mungu aliwafyeka wote njiani, akambakiza Joshua na Kalebu. Huwezi kukomboa masikini, huwezi komboa watumwa, huwezi komboa wapumbavu ukabaki salama. Kuwatetea wapumbavu ni kutaka kutofika kanaani, usishangae kwa nini Musa hakufika Kanaani, aliwaendekeza wapumbavu wale.
Yesu naye walimuua, wakamsulubisha, na kumtemea mate. Na wale aliokuwa anawatetea ndio hao hao waliomtukana, walioimba asulubiwe. Huwezi Mkomboa masikini hata siku moja. Huwezi komboa mtu mpumbavu ukasalimika.
Hata kwenye maisha ya kawaida, wale unaowasaidia ndio hao hao watakaogeuka maadui zako. Hao hao ndio watakao kuteta.
Mhe Lisu, naomba nikuonye, na ikikupendeza fuata ushauri wangu. Acha kutetea haki za wapumbavu, haki za masikini, haki za wanyonge sijui upuuzi gani. Mungu mwenyewe atahangaika na watu wake. Ikiwa yeye kaacha watu waonewe wewe unakuja kuwatetea huoni unatafuta maneno.
Masikini ni kama swala au digidigi mbugani, huwezi mgeuza digidigi akawa simba alafu ukabaki salama. Ili mbuga iwe na amani ni lazima swala aliwe, kumtetea swala ni kuchafua amani ya mbugani.
Nature inataka dunia iende hivyo, wote waliojifanya kutetea tabaka la chini walipotezwa, na uhakika ni kuwa watazidi kupotezwa.
Nakushauri; tetea watu wenye akili, watu matajiri, watu wenye nguvu, hao utapata ulinzi, hao hawana unafiki, hao utapata cheo, na utaishi kwa amani.
Matajiri ukiwatetea wanajua thamani ya kile unachokifanya, hivyo nawe watakutetea siku yakikukuta yako. Lakini masikini ukiwatetea kwanza wao wenyewe hawajui thamani yao iweje wajue thamani ya kile ukifanyacho, zaidi sana watakutelekeza siku yakikupata kisha watakuambia ulikuwa unakihere here.
Watu wenye akili ukiwatetea watakulinda, kwa maana wanajali kile ukifanyacho, watakulipa hisani na fadhila. Lakini wapumbavu ukiwatetea hao hao watakuwa wakwanza kukusnitch na kukuuza kwa bei ya kutupwa, mwisho utauawa na kuangamizwa.
Wenye nguvu ukipendekeza kwao, watakulinda. Wao wanajua na kuthamini mchango wako kwao. Lakini sio kwa watu wanyonge na fukara. Wanyonge wataishia kukusengenya na kukuloga, ukiwa mbele yao wanakushangilia ukitoka wanakusema. Wataachaje kukusema ikiwa hawana kazi, kazi yao ni kusengenya watu vijiweni.
Mhe. Lisu, acha kupoteza muda wako. Hutapata zawadi popote pale iwe huku duniani au kwa yule aliyeiumba hii dunia.
Aliyeumba hii dunia ndiye anataka dunia iwe hivi ilivyo, wapumbavu wahenyeke, wenye hekima wale bata. Masikini wachapike, matajiri wale upepo mwanana.
Namna bora ya kumsaidia masikini ni kumdhulumu na kumuonea. Namna bora ya kumsaidia mpumbavu ni kumfundisha upumbavu,.
Kufikia hapa Mhe, Lisu niseme ni matumaini yangu barua hii utakuwa umeielewa. Na utaifanyia kazi.
Wako katika majukumu
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
robertheriel99@gmail.com
Nakala moja kwa
1. Tundu Anthipas Lisu
2. Wanaharakati wote
3. Wanamageuzi
Nakala nyingine nitabaki nayo.
....Wacha kusifia 'upumbavu' wewe.Na wanafikiri pia hataki awasaidie hao alio wataja. Phylosophical article, mwandishi yuko very smart.
Mkuu matusi ya nini, mbona mimi sijakutukana.....Wacha kusifia 'upumbavu' wewe.
Wewe mpumbavu mmoja, hizi 'xalama, xalmin na kumpotoxha' ndo nini?Et awatete matajiri ndio atakua xalam.Mbon huyo jiwe yy anawabambikia kexi hao matajiri na yupo xalama xalmin acha kumpotoxha kamanda wetty
Hii ni mojawapo ya hekima kubwa iliyowahi kuwakilishwa vyema hapa jukwaani kuhusiana na wale wenye kutambulika kama wanyonge ndani ya taifa letu. Hii ni sura halisi ya watu hao, na hata kuweza kuthibitika wazi ktk maisha yetu ya kila siku.BARUA YA WAZI KWA TUNDU LISU
Na, Robert Heriel
Taikon wa Fasihi,
S.L.P 9977, JIBI,
Kutoka Nyota ya Tibeli.
30, 07. 2020.
YAH: KUKUONYA DHIDI YA KUTETEA MASIKINI NA WAPUMBAVU.
Ndugu Mhe Lisu, Kichwa cha habari hapo juu cha husika.
Ninafuraha kubwa kukuandikia barua hii ya wazi ambapo najua watu wengi wataisoma nawe itakufikia. Utanisamehe ikiwa njia hii niliyoitumia pengine isikufurahishe lakini ni katika hali ya kukupa ujumbe wenye manufaa wewe na wale wote wenye tabia kama zako, mimi nikiwa mmoja wao.
Mhe. Lisu, nimekufuatilia kwa miaka saba sasa, sisemi nakufahamu lakini angalau ninachakusema kidogo kukuhusu. Umejipambanua kama mtu apendaye haki, mtu apendaye utawala wa sheria, mtu apendaye demokrasia. Lisu umekuwa mstari wa mbele kukemea maonevu uyaonayo ndani ya nchi yako, umejigeuza kama msemaji wa wanaoonewa, kutetea wanyonge wanaonyimwa haki zao. Upo sawa, lakini umekosea jambo moja; nalo ni kushindwa kujua unatetea watu wa aina gani. Hilo ndilo kosa lako kuu.
Huwezi tetea haki za masikini ukabaki salama, huwezi tetea haki za wapumbavu ukabaki salama. Huwezi tetea watu wasiojielewa, huwezi tetea watu wasiojua unapigania nini kwao, huko ni kujitafutia matatizo makubwa ambayo hao unaowatetea hawatakusaidia kitu kwa sababu wao ni wapumbavu na masikini.
Kikawaida masikini ni watu wasiojithamini, watu wasio na shukrani, watu wasiojitambua, wengi wao ni wachawi, wanga, watu wasio na fadhila, masikini ukimsaidia huyo huyo ndio atakuja kukusema unajidai, ukimtetea masikini au mpumbavu huyo huyo ndio atakuambia unakihere here. Kamwe nakusihi acha mara moja kuhangaika na masikini.
Masikini unachoweza kuwasaidia ni kuwadhulumu hata kile kidogo walichonacho, kuwabagua, kuwatenga, kuwadharau, hicho ndicho wakipendacho masikini. Lakini ukijifanya unawapenda, unawajali nakuhakikishia unajiingiza mkenge, utaumia, utasagika na hakika utamalizika.
Nikukumbushe Ndugu Mhe. Lisu, hakuna aliyewahi kuwatetea masikini, na kuwapigania masikini akabaki salama. Wote waliojiingiza katika harakati hizo walikufa vifo vibaya, wengine walipewa adhabu kali za kuliwa na mamba, kuliwa na simba, kuchomwa moto, wakapotea na kuangamia.
Katika Dini, wapo Manabii walikuja kutetea haki za wanyonge, haki za masikini lakini wote waliuawa, tena wakazomewa na hao hao masikini. Nakupa mifano ya watu katika dini waliokuwa wanaharakati kama wewe, Musa, ndiye yule Mlawi aliyewatoa waisrael Misri, naye aliwapigania watumwa wale na kutaka kuwa uhuru wao. walichomlipa wote tunajua, walianza kulalamika kuwa bora warudishwe utumwani Misri kuliko kuwa huru Kanaani katika nchi yao. Mungu alitaka kuwaua lakini Kihere here cha Musa akawatetea, siku zilizofuata wakataka kumuua Musa wasijue huyo ndiye aliwatetea wasiuawe na Mungu. Musa alipowashtaki kwa Mungu, Mungu akamuambia, wewe si uliwatetea hao masikini, watumwa, wapumbavu wasiojielewa. Acha wakuue ili uwe na akili. Musa akabaki katumbua macho. Biblia inasema, Mungu aliwafyeka wote njiani, akambakiza Joshua na Kalebu. Huwezi kukomboa masikini, huwezi komboa watumwa, huwezi komboa wapumbavu ukabaki salama. Kuwatetea wapumbavu ni kutaka kutofika kanaani, usishangae kwa nini Musa hakufika Kanaani, aliwaendekeza wapumbavu wale.
Yesu naye walimuua, wakamsulubisha, na kumtemea mate. Na wale aliokuwa anawatetea ndio hao hao waliomtukana, walioimba asulubiwe. Huwezi Mkomboa masikini hata siku moja. Huwezi komboa mtu mpumbavu ukasalimika.
Hata kwenye maisha ya kawaida, wale unaowasaidia ndio hao hao watakaogeuka maadui zako. Hao hao ndio watakao kuteta.
Mhe Lisu, naomba nikuonye, na ikikupendeza fuata ushauri wangu. Acha kutetea haki za wapumbavu, haki za masikini, haki za wanyonge sijui upuuzi gani. Mungu mwenyewe atahangaika na watu wake. Ikiwa yeye kaacha watu waonewe wewe unakuja kuwatetea huoni unatafuta maneno.
Masikini ni kama swala au digidigi mbugani, huwezi mgeuza digidigi akawa simba alafu ukabaki salama. Ili mbuga iwe na amani ni lazima swala aliwe, kumtetea swala ni kuchafua amani ya mbugani.
Nature inataka dunia iende hivyo, wote waliojifanya kutetea tabaka la chini walipotezwa, na uhakika ni kuwa watazidi kupotezwa.
Nakushauri; tetea watu wenye akili, watu matajiri, watu wenye nguvu, hao utapata ulinzi, hao hawana unafiki, hao utapata cheo, na utaishi kwa amani.
Matajiri ukiwatetea wanajua thamani ya kile unachokifanya, hivyo nawe watakutetea siku yakikukuta yako. Lakini masikini ukiwatetea kwanza wao wenyewe hawajui thamani yao iweje wajue thamani ya kile ukifanyacho, zaidi sana watakutelekeza siku yakikupata kisha watakuambia ulikuwa unakihere here.
Watu wenye akili ukiwatetea watakulinda, kwa maana wanajali kile ukifanyacho, watakulipa hisani na fadhila. Lakini wapumbavu ukiwatetea hao hao watakuwa wakwanza kukusnitch na kukuuza kwa bei ya kutupwa, mwisho utauawa na kuangamizwa.
Wenye nguvu ukipendekeza kwao, watakulinda. Wao wanajua na kuthamini mchango wako kwao. Lakini sio kwa watu wanyonge na fukara. Wanyonge wataishia kukusengenya na kukuloga, ukiwa mbele yao wanakushangilia ukitoka wanakusema. Wataachaje kukusema ikiwa hawana kazi, kazi yao ni kusengenya watu vijiweni.
Mhe. Lisu, acha kupoteza muda wako. Hutapata zawadi popote pale iwe huku duniani au kwa yule aliyeiumba hii dunia.
Aliyeumba hii dunia ndiye anataka dunia iwe hivi ilivyo, wapumbavu wahenyeke, wenye hekima wale bata. Masikini wachapike, matajiri wale upepo mwanana.
Namna bora ya kumsaidia masikini ni kumdhulumu na kumuonea. Namna bora ya kumsaidia mpumbavu ni kumfundisha upumbavu,.
Kufikia hapa Mhe, Lisu niseme ni matumaini yangu barua hii utakuwa umeielewa. Na utaifanyia kazi.
Wako katika majukumu
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
robertheriel99@gmail.com
Nakala moja kwa
1. Tundu Anthipas Lisu
2. Wanaharakati wote
3. Wanamageuzi
Nakala nyingine nitabaki nayo.
Neno ambalo Bwana ayaambia mataifa.Mwenye masikio asikie
Niliyemwandikia kaelewa, na wale wenye tabia kama zake pia wataelewa. Wewe kama haikuhusu sio lazima uelewe
Huu ni mtazamo kwa wanyama porini ambapo mwenye nguvu ndio anaishi (survival for the fittest). Ukitaka wanadamu waishi hivyo ni kuwataka waishi kama wanyama pori. Sina uhakika kama unafurahia kuona mtu akiibiwa au kudhulumiwa na mwenye nguvu zaidi. Siku za kuishi mawazo yako ni zama za kale kabla hata watu hawajavumbua moto. Mwanadamu amebadilika sana na anaendelea kupata hekima ya juu zaidi. Mambo mengi sana yamebadilika kuhusu haki na ustaarabu, hata mimi kijana nimeshuhudia mengi mno yakibadilika kijijini kwangu ukilinganisha na miaka ya tisini. Tundu Lissu anafanya kazi adhimu kabisa ya kuwatetea wanyonge ili wasidhulumiwe na wadhalimu. Hili ni jambo la juu sana na linawahusu wenye fikra na upeo mkubwa na ndio maana wengi hawawezi. Ni rahisi kutetea matumbo na hisia binafsi. Tundu Lissu anayafanya ya akina Yesu, Nyerere, Mandela, n.k na hata akifa, angali bado anaishi. Akina Idd Amin, Mobutu, Bokassa na wengine wamekufa na wamekufa kweli.BARUA YA WAZI KWA TUNDU LISU
Na, Robert Heriel
Taikon wa Fasihi,
S.L.P 9977, JIBI,
Kutoka Nyota ya Tibeli.
30, 07. 2020.
YAH: KUKUONYA DHIDI YA KUTETEA MASIKINI NA WAPUMBAVU.
Ndugu Mhe Lisu, Kichwa cha habari hapo juu cha husika.
Ninafuraha kubwa kukuandikia barua hii ya wazi ambapo najua watu wengi wataisoma nawe itakufikia. Utanisamehe ikiwa njia hii niliyoitumia pengine isikufurahishe lakini ni katika hali ya kukupa ujumbe wenye manufaa wewe na wale wote wenye tabia kama zako, mimi nikiwa mmoja wao.
Mhe. Lisu, nimekufuatilia kwa miaka saba sasa, sisemi nakufahamu lakini angalau ninachakusema kidogo kukuhusu. Umejipambanua kama mtu apendaye haki, mtu apendaye utawala wa sheria, mtu apendaye demokrasia. Lisu umekuwa mstari wa mbele kukemea maonevu uyaonayo ndani ya nchi yako, umejigeuza kama msemaji wa wanaoonewa, kutetea wanyonge wanaonyimwa haki zao. Upo sawa, lakini umekosea jambo moja; nalo ni kushindwa kujua unatetea watu wa aina gani. Hilo ndilo kosa lako kuu.
Huwezi tetea haki za masikini ukabaki salama, huwezi tetea haki za wapumbavu ukabaki salama. Huwezi tetea watu wasiojielewa, huwezi tetea watu wasiojua unapigania nini kwao, huko ni kujitafutia matatizo makubwa ambayo hao unaowatetea hawatakusaidia kitu kwa sababu wao ni wapumbavu na masikini.
Kikawaida masikini ni watu wasiojithamini, watu wasio na shukrani, watu wasiojitambua, wengi wao ni wachawi, wanga, watu wasio na fadhila, masikini ukimsaidia huyo huyo ndio atakuja kukusema unajidai, ukimtetea masikini au mpumbavu huyo huyo ndio atakuambia unakihere here. Kamwe nakusihi acha mara moja kuhangaika na masikini.
Masikini unachoweza kuwasaidia ni kuwadhulumu hata kile kidogo walichonacho, kuwabagua, kuwatenga, kuwadharau, hicho ndicho wakipendacho masikini. Lakini ukijifanya unawapenda, unawajali nakuhakikishia unajiingiza mkenge, utaumia, utasagika na hakika utamalizika.
Nikukumbushe Ndugu Mhe. Lisu, hakuna aliyewahi kuwatetea masikini, na kuwapigania masikini akabaki salama. Wote waliojiingiza katika harakati hizo walikufa vifo vibaya, wengine walipewa adhabu kali za kuliwa na mamba, kuliwa na simba, kuchomwa moto, wakapotea na kuangamia.
Katika Dini, wapo Manabii walikuja kutetea haki za wanyonge, haki za masikini lakini wote waliuawa, tena wakazomewa na hao hao masikini. Nakupa mifano ya watu katika dini waliokuwa wanaharakati kama wewe, Musa, ndiye yule Mlawi aliyewatoa waisrael Misri, naye aliwapigania watumwa wale na kutaka kuwa uhuru wao. walichomlipa wote tunajua, walianza kulalamika kuwa bora warudishwe utumwani Misri kuliko kuwa huru Kanaani katika nchi yao. Mungu alitaka kuwaua lakini Kihere here cha Musa akawatetea, siku zilizofuata wakataka kumuua Musa wasijue huyo ndiye aliwatetea wasiuawe na Mungu. Musa alipowashtaki kwa Mungu, Mungu akamuambia, wewe si uliwatetea hao masikini, watumwa, wapumbavu wasiojielewa. Acha wakuue ili uwe na akili. Musa akabaki katumbua macho. Biblia inasema, Mungu aliwafyeka wote njiani, akambakiza Joshua na Kalebu. Huwezi kukomboa masikini, huwezi komboa watumwa, huwezi komboa wapumbavu ukabaki salama. Kuwatetea wapumbavu ni kutaka kutofika kanaani, usishangae kwa nini Musa hakufika Kanaani, aliwaendekeza wapumbavu wale.
Yesu naye walimuua, wakamsulubisha, na kumtemea mate. Na wale aliokuwa anawatetea ndio hao hao waliomtukana, walioimba asulubiwe. Huwezi Mkomboa masikini hata siku moja. Huwezi komboa mtu mpumbavu ukasalimika.
Hata kwenye maisha ya kawaida, wale unaowasaidia ndio hao hao watakaogeuka maadui zako. Hao hao ndio watakao kuteta.
Mhe Lisu, naomba nikuonye, na ikikupendeza fuata ushauri wangu. Acha kutetea haki za wapumbavu, haki za masikini, haki za wanyonge sijui upuuzi gani. Mungu mwenyewe atahangaika na watu wake. Ikiwa yeye kaacha watu waonewe wewe unakuja kuwatetea huoni unatafuta maneno.
Masikini ni kama swala au digidigi mbugani, huwezi mgeuza digidigi akawa simba alafu ukabaki salama. Ili mbuga iwe na amani ni lazima swala aliwe, kumtetea swala ni kuchafua amani ya mbugani.
Nature inataka dunia iende hivyo, wote waliojifanya kutetea tabaka la chini walipotezwa, na uhakika ni kuwa watazidi kupotezwa.
Nakushauri; tetea watu wenye akili, watu matajiri, watu wenye nguvu, hao utapata ulinzi, hao hawana unafiki, hao utapata cheo, na utaishi kwa amani.
Matajiri ukiwatetea wanajua thamani ya kile unachokifanya, hivyo nawe watakutetea siku yakikukuta yako. Lakini masikini ukiwatetea kwanza wao wenyewe hawajui thamani yao iweje wajue thamani ya kile ukifanyacho, zaidi sana watakutelekeza siku yakikupata kisha watakuambia ulikuwa unakihere here.
Watu wenye akili ukiwatetea watakulinda, kwa maana wanajali kile ukifanyacho, watakulipa hisani na fadhila. Lakini wapumbavu ukiwatetea hao hao watakuwa wakwanza kukusnitch na kukuuza kwa bei ya kutupwa, mwisho utauawa na kuangamizwa.
Wenye nguvu ukipendekeza kwao, watakulinda. Wao wanajua na kuthamini mchango wako kwao. Lakini sio kwa watu wanyonge na fukara. Wanyonge wataishia kukusengenya na kukuloga, ukiwa mbele yao wanakushangilia ukitoka wanakusema. Wataachaje kukusema ikiwa hawana kazi, kazi yao ni kusengenya watu vijiweni.
Mhe. Lisu, acha kupoteza muda wako. Hutapata zawadi popote pale iwe huku duniani au kwa yule aliyeiumba hii dunia.
Aliyeumba hii dunia ndiye anataka dunia iwe hivi ilivyo, wapumbavu wahenyeke, wenye hekima wale bata. Masikini wachapike, matajiri wale upepo mwanana.
Namna bora ya kumsaidia masikini ni kumdhulumu na kumuonea. Namna bora ya kumsaidia mpumbavu ni kumfundisha upumbavu,.
Kufikia hapa Mhe, Lisu niseme ni matumaini yangu barua hii utakuwa umeielewa. Na utaifanyia kazi.
Wako katika majukumu
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
robertheriel99@gmail.com
Nakala moja kwa
1. Tundu Anthipas Lisu
2. Wanaharakati wote
3. Wanamageuzi
Nakala nyingine nitabaki nayo.
Ni kweli Mkuu ila hii issue iko subjective maana humohumo wameandika katka 3Yohana 1:2Kwani mkuu, hujawahi kusoma "aliyenacho ataongezewa na asiyenacho atanyang' anywa" jamaa kaongea ukweli unaochomachoma!
Ndio maana Mkapa aliwaita wapinzani marofa na wapumbavu, Lisu huyu alikuwa anawatetea mabwenyenye akina accacia Kwa vitisho vikali, mala tutanyorewa kipara bila maji, ho, madini yote sio yetu, mala tutaperekwa miga mchi ifirisiwe,. Hiyo tuwaache mabwenyenye waendelee kutuibia, harafu huyu ndiye anataka nchi hawatetee masikini. Kawadanganye marofa wenzio hukoUmeongea ukweli unaochoma
Kweli hujijuiNaunga mkono hoja.
Kitambo tulishaandika humu... ngumu sana "malofa na wapumbavu" wenzetu kuelewa PUNDA YAKE FIMBO NA MZIGO!!Nmesoma nmegundua tunahitaji ukomboz wa kifikra sio hela wala Uhuru Bali Amani...
Hongera kwa mtazamo wako uko sahihi pia,ila naona vyema zaid kama utaongezea kusema MASKINI ANAHITAJI KUKOMBOLEWA KIFIKRA (KUJITAMBUA NA KUWATAMBUA NAFASI YA KILA MTU KTK JAMII) ,Baada ya kujitambua ndio APATIWE amani ili AZIONE FURSA ZA KIUCHUMI kujiendeleza...
-ELIMU ELIMU ELIMU-
:director: piiii piiiii, tupulize vuvuzelaa, pi piii HAMUELEWANI, ninyi si wamoja. na ilisemwa wa mbili havai moja na kinyume chake. Sishangai kabisa kwa maana hamjui kipi mnakitaka na kipi hamkitaki. Fugueni fikra zenu, amkeni toka usingizini, HAKIKA PANAHITAJIKA MAPINDUZI YA KIFIKRA KWA WATANZANIA. LA SIVYO TUTANDELEA KUCHEZA NGOMA ISIYOJULIKANA:nono::sad:
Nilipoandika hayo nilitarajia tungeshinikiza KATIBA MPYA KUPITIA VYAMA VYETU AU MAHAKAMA... TUNACHOWAZA SISI SIO WAWAZACHO WAO...Wanasiasa wachache wenye maslahi yao wataendelea kuwatumia wapumbavu wachache ili kutimiza malengo yao ya kijinga, ninawaambia pamoja na kujiambia mwenyewe hapa ndugu zangu:
TUSIMWAMINI MWANASIASA YEYOTE AWAE HATA KAMA NI NDUGU AMA MZAZI WETU.
Kila mmoja anapigania ama kulinda maslahi yake, uchafu mtupu. (leo watu wanashawishiwa kuandamana huku na kule bila kuwapo malengo maalum)
Wenzenu huko duniani wanajua wakiandamana matokeo yakiwa tofauti watafanya nini? Leo Mtanzania anaandamana achilia mbali pasi ya kusafiria NAULI yenyewe hana, Akiumia hana bima itakayomlipa wala hana hata shekeli ya kununulia dawa, na mwisho wa yote atakwenda kutibiwa kwenye hospitali ya serikali anayoipinga! Akifika kule ataulizwa hati ya polisi namba tatu (PF.3) hapo ndio atasindikizwa na pingu kurudi hospitali kama majibu yake hayakujitosheleza. (mhanga wa maandamano - tungelimuita mhanga wa demokrasia) Na pia tujiulize tena "Je katika kuandamana kwetu magari na nyumba zinazopigwa mawe huwa zimefanya makosa gani?"
Gari la bwana Materu ambae si shabiki wa siasa na haki tunayoidai vinahusiana nini hata aadhibiwe?
Je ni kwanini Mpitanjia ambaye hayuko katika maandamano apigwe na polisi kwa kuhusishwa ya yasiomhusu?
Tunahitaji mabadiliko makubwa ya kifikra na pia tunahitaji tujiongezee busara katika maamuzi yetu, je Tanzania tuitakayo ama ijayo itakuwa ya kutotii mamlaka na utawala wa kisheria? (tuwe wakweli na tusimamie ukweli huo) Kama ni kuutafuta madaraka, umaarufu juu ya vilema na maiti za Watanzania wenzetu haya na iwe...
Yawezekana kabisa ikawa kweli tunayoyataka hatuwezi kuyapata bila shinikizo, lakini pia tuangalie sarafu yetu upande wa pili nani ataathirika zaidi na shinikizo hilo WAO au SISI?
Siioni picha njema hata kidogo. Wapo wanaodhani kwamba yanayofanyika ni sahihi (narudia tena - Wahanga wa matokeo ya upinzani wa serikali si wahusika pekee bali wengi wao ni walio nje ya wakusudiwa)
Hivyo basi kabla hatujafanya tunayotaka kufanya; Tuwafikirie watoto wetu na wazee wetu kwanza waliomo majumbani.
Tufikirie mbali zaidi ya hapo ndugu zanguni, ili tuijenge Tanzania tuitakayo. Tanzania yenye neema, demokrasia ya kweli na amani. Na hayo yote hayawezi kupatikana bila kuwa na KATIBA inayoruhusu. Lakini kabla ya katiba kupatikana tungelipaswa kuwa wapole vinginevyo tutakula virungu vya kutosha na wapo watakaokufa pia bila kujulikana.
Narudia tena ndugu zangu watanzania...
TUTAHITAJI MAPINDUZI YA KIFIKRA KWANZA, NA TUNAPASWA KUJUA TUNATAKA NINI KWA TANZANIA IJAYO.
😠
Hiki ni kiswahili au kikabila?Ndio maana Mkapa aliwaita wapinzani marofa na wapumbavu, Lisu huyu alikuwa anawatetea mabwenyenye akina accacia Kwa vitisho vikali, mala tutanyorewa kipara bila maji, ho, madini yote sio yetu, mala tutaperekwa miga mchi ifirisiwe,. Hiyo tuwaache mabwenyenye waendelee kutuibia, harafu huyu ndiye anataka nchi hawatetee masikini. Kawadanganye marofa wenzio huko