Barua ya wazi Kwa wanawake: Usiolewe na mwanaume mpumbavu na mwoga!

Chizi huyo.
 
Umesahau moja, wasiolewe na wanaume waongeaji sana kama wewe, hawatatoboa.
 
Kama ana akili timamu na komavu, hata akipatwa na majanga hataweza kuedit chochote hapo kwasababu alichoandika ni ukweli mtupu, kumbuka "uongo unakupa ushindi kwa siku moja, ukweli unaishi milele moja kwa moja" Thanks Nako for this piece of wisdom!
 
Kama ana akili timamu na komavu, hata akipatwa na majanga hataweza kuedit chochote hapo kwasababu alichoandika ni ukweli mtupu, kumbuka "uongo unakupa ushindi kwa siku moja, ukweli unaishi milele moja kwa moja" Thanks Nako for this piece of wisdom!
Haya mkuu hata mimi naona ana ukomavu
 


Jenga nyumba kulingana na kipato chako.

Kama huna kipato Jenga pasipo na kipato.

Jenga nyumba ya matope, au piga tofali ezeka nyasi. Usifikiri kuna kuonewa huruma hapa.

Be a Man not like a man.

Akili na Afya ni zaidi ya kipato Mkuu
 
Kuna

Mpumbavu kama wewe zamani alikuwa akiamini kila aliyepo jela ni kibaka au jambazi.

Basi miaka ikaenda ikatokea short ofisini akajikuta Polisi, fasta mahakamani then gerezani keko.

Sina haja ya kuandika mengi nimekuonesha tu upumbavu wako.


Wapi nimesema kila aliyeko jela ni kibaka?
Mbona unanilisha maneno?
 
We unaongea nini, et hakuna mtu anapenda kuishia maisha ya kipumbavu, hivi kila siku tunavyosema kuna watu ni wavivu husikiagi au unadhani sio kweli, tunavyosema kuna watu ni wazembe unadhani hayo maneno yanatoka hewani, watu wanavyosema kuna watu wanachagua kazi unafikiri hayo maneno wanaropoka kama hayawani? Kuna vitu mtoa post kavisema na mimi nitaongezea kingine, watu wamekuwa na tabia za ubinafsi (narcissism) watu kama hawa wakishinikizwa na kukemewa it is possible kuondokana na hiyo shida, thanks God kuna religious leaders and motivational speakers hii tabia mtu akiondokana nayo familia lastly inaonja equality and equity. Watu tumekuwa na tabia ya kuridhika(satisfaction), mtu akioa akipata watoto akiweza kuleta chochote kinywani anaona it's enough lakini under pressure na kwa kutambua kuwa wakati fulan it's better and possible to fight for more tunaweza kuwa na maisha bora na yanayoweza kutukimu kwa kujitosheleza, remember poverty mostly causes sadness and distress so think of it the opposite way! Actually there is a lot of things humankind needs to change positively but with perseverance and hard endeavor to attain community and individual progress for the perfect world, we are having every resource at hand, time is now to take action. But in all these I strongly believe that knowledge is power!

It's not easy, but it's possible!
Let's take action, let's press on!
 
Huu ni ukweli japo ni mchungu lakin wanaume inatakiwa tupambane hakuna atakae pambana kwaajili ya maisha yako kama mwanaume unachagua kazi na hautaki kupambana tafuta mwanaume mwenzako akuoe ili apambane kwaajili yako ili wewe uendelee na tabia yako ya kuvaa soksi na malapa na earphones zako maskion

Hizi tabia za kujilegeza na kuchagua kazi ndo zinasababisha ushoga uongezeke mitaani, vijana hatutaki kazi za kuchafuka tunataka tule kiulaini, kama unataka kula kiulaini anza kuish kama hamisa mobetto.
 
Mleta Uzi na wewe pastory kimaryo .soon naomba niwaone mkiwa leval za dangote au bilgate
 
Cha msingi mimi naona hakuna sababu ya mwanaume unakuja kuandika hapa kwa kujihurumisha ili ionekane kwamba mambo ni magumu na hayawezekani, waafrika huko Misri miaka mingi B.C walijenga pyramids kubwa na hakukuwa na technology halafu mtu anakuja hapa anaanza kutetea kulalalala. Sikilizeni hakuna kitu ambacho hakiwezekani ila ni ngumu (it's not easy but it's possible), sasa chagueni mlale muishi kama mlivyozoea au tupige kazi afu tuishi kama wafalme, the choice is yours lakin mimi hata nikiwa kiwete nitasimamia ukweli kwa nguvu na akili zangu zote na wala sitaona aibu wala kujihurumia.
Cha msingi elimu ni kila kitu, elimu ni muhimu katika kurahisisha maisha (knowledge is power).
Mungu yupo, let's pray!
 
Kwa hyoo unategemea Mali za Baba yako mkubwa ?
Ngoja nikuwekee logic: baba angu mkubwa ana hela nyingi, no matter how hard I hustle i cannot attain even ⅛ of his wealth but I will have some, why the hustle then?
Remember, knowledge is power!
 
Nimekuelewa vizuri Mkuu...
Jambo moja ambalo nadhani hukulipa nafasi katika uzi wako ni kwa huyu mwanamke asisamehe mwanaume hata pale ambapo mwanaume ametafakari na kugundua kuwa amefanya makosa, na kuamua kubadili mwenendo wake...
Najaribu kuwaza hapa siku moja ambapo tulitoka na wife halafu baada ya kurudi home nikatapika sana...hivi angeniacha siku ile kwa sababu ya huo upumbavu...leo hii watoto wetu wangeishia wapi????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…