Barua ya wazi Kwa wanawake: Usiolewe na mwanaume mpumbavu na mwoga!

Hiyo kazi yako ya upolisi hapana, bora niishi msela, tena Mbezi ndiyo kabisa huniambii kitu hata Mungu anawaona.
 
Bandiko zuri sana tatizo ni aina ya uwasilishaji wako

Tatizo ni lugha yako, hilo tu mengine yote safi kabisa
 
Kweli mods uzi wa kutusi watu including baba yake ni wa kufuta, hakuna namna haubebeki!
 
Mada yako ni nzuri ila hapo kwenye tahadhari umekosea hili jukwa nilawana jamii kwahiyo kupinga ama kukejeli isiwe kesi tuvumiliane kaka
 
kudadadeki laiti nije kukujua nakushusha kishipa aisee, umedhalilisha sana wanaume wenzako
 
Nimekuelewa mkuu.
Naona wazee wa nduki washajijengea madhabahu ya ndoa kwenye hii post.

Taikoni wa Fasihi umegusa pagumu leo
 
Huyo si mwanaume. Ni kijana wa IFM huyo.

Anajitolea majibu kama anaumwa tumbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…