Barua ya wazi Kwa wanawake: Usiolewe na mwanaume mpumbavu na mwoga!


Umeongea ukweli,angalizo wanaume ambao sio wapumbavu ni wachache sana
Kwasababu kama hii ilinichukua muda kuolewa,niliolewa late lakini nashukuru na mtu sahihi[emoji1374]
Nilikuwa natafuta mwanaume ambae anasimama kwenye nafasi yake kama baba na kichwa cha familia
 
Kwamaana kwamba wanwake hawapendi maisha ya slope? My friend unaishi sehemu za mijini au vijijini?
 
Pole kwa kuangukia kwa huyo/ hao wapumbavu!
 


Kutapika na kukojoa sio upumbavu Mkuu Kama umesoma vizuri.
 
Ni kweli kabisa, hao itambidi awe mke wa 2, 3, 4 ama nyumba ndogo
 
Basi bana,
Ila kuna watu huwa wanarogwa tangu siku wamezaliw,
Huendlea kukua wakionekan kuw watu wa hovyo kw kufany au kuhusishw na vitendo vibaya kama,
Ugomvi, hasira, mikosi ya kutofanikiw ktk biashara, masomo nk.
Lkn kw badae huja kustuka au kw uwezo wa Mungu nguvu za shetan huzidiw nguvu na hivyo mtu kurud kwenye hali yake OG,
Na hapo ndio mtu hubadilika na kuanza kufany mambo makuu yenye kushangaza watu,
Mfano alikuw hawez hata kumiliki baiskel ,
Leo hii anadrive, so mambo ni mengi.
Kikubw ni upendo wa dhati,
Tusihukumiane nk.
Mdada unaweza kumktalia kjn unayemuon maskin Leo kumbe ndio huyo wa kukuzalisha Rickross au mobeto wa kesho....
 


Ni upumbavu kuishi Kwa kukisia
 
Hii ndo kazi ya limbwata ukisha kulaaa unaropoka hovyo!!!...... kweli nina mjighorofa wangu eti mwanamke aondoke tu eti kisa leo nimelewa nimekojoa bafuni??? Mweee!! sasa huyo Mungu alisema tuvumiliane kwa taabu na raha wewe leo uni kimbie sababu za tabia zangu?? kweli??

halafu nyie mapolisi haya makanisa yenu haya yasiyo rasmi yaani ya Mahabusu yanawapoteza kweli......na tena huko kambini kwenu ni kufanyiana tuuuu warembo wenu!!...sasa wewe ngoja siku yakukute hapo kambini ndo utajua utamu wa risasi.

ukajipige risasi Lindoni ndo utajua mwanamke siyo mwenzio, make nyie hamnywagi sumu!! ni kujichapa tu shaba ya kooni!! na hapa ndo umejiroga kabisaaa!! ukipona basi wewe ni ke'' siyo kwa chuki hizi!! kwani me ni Malaika???? siyo! we subiri

km wewe ni mwanaume hii dhambi itakutafuna soon!!! hatudhihakiwi sisi!...ujinga wa mwanaume ni hekima kwa mwanamke!! umeuza uanaume!! wewe!! kajiunge Beijing,

sasa nimeamini wazi una kampasuko hapo kati kajikague!..... km sivyo unazo mbili!! km unabisha weka picha hapa utuondoe wasiwasi.......... hata mademu wanakushangaa ''huyu vepe? '' uongo wadada?
 
Duuh! Umefanya nikumbuke uzi mmoja juzi wa jamaa amepata kazi mshahara laki 8 lakini kazi yenyewe ni ya kuuza taulo za kike akaja kuomba ushauri jf afanyeje mana anaona aibu. 🀣
 
Duuh! Umefanya nikumbuke uzi mmoja juzi wa jamaa amepata kazi mshahara laki 8 lakini kazi yenyewe ni ya kuuza taulo za kike akaja kuomba ushauri jf afanyeje mana anaona aibu. 🀣


Maisha hayataki usiriasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…