Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Hata angetumbua DAWASA yote bado aliyesababisha Dar kuwa na uhaba wa maji hadi sasa ni yeye. Ujenzi wa bwawa la Kidunda ulipaswa uwe umekamilika siku nyingi all plans were already done. Kwa roho mbaya yake mradi ukayeyuka.Naunga mkono hoja ni aibu kwa miaka zaidi ya 60 bado kuwe na uncertain ya maji safi kwa wananchi haswa mji kama dsm.
Waliopo dawasa viatu haviwatoshi wavivue. Angekuwepo JPM ungesikia mtu katumbuliwa ili kutuma meseji kwa mainjinia wa maji wanaosubiri posho na vikao ila hawabuni miradi endelevu ya upatikanaji maji