Barua ya wazi kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Waziri wa TAMISEMI na IGP

Barua ya wazi kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Waziri wa TAMISEMI na IGP

Hii ni kesi ya pili inaletwa humu.Hivi ni kweli polisi wamegeuka vibaka hivi?Ni njaa sana zimewakaba mpk kukakamata raia?Hii ni aibu sana kwa Jeshi la polisi,watu ambao wanatakiwa wawalinde raia ndio wanaowadhuru.Jeshi la polisi huwa halifuatiliii nyendo za hawa vijana wao na matokeo ndio kama haya.Mtumishi wa watu anaenda kwa OCD takukuru nk ila hamna msaada anaopata. Ni aibu kubwa sana jmn.Kama kuna viongozi mnapita humu msaidieni huyu kijana apate haki yake.Huu ni unyama na udhalilishaji kitu ambacho ni aibu sana kwa jeshi la polisi.Binafsi nimesikitika sana!
 
Halafu utasikia wakisema wao ni walinda amani..HAKI itendeke.
 
Andika barua kuanzia kwa balozi mkit, diwani, mbunge, DSO, DC, DAS, RPC, IGP, WAZIRI, Mkuu wa majeshi na amirijeshi mkuu
 
Du! Kuna muda raia mwema hugeuka kua tishio katika nchi..! MTU kama huyu anatendewa unyama na vyombo vya usalama atashitaki wapi? Zaidi anaweza fanya kisasi kibaya ambacho kitaligarimu taifa kabisa.. Anyway viongozi msaidieni huyu jamaa
 
Ok hela umeshatoa imeisha hiyo siku nyingine usitoe
 
Inauma sana asee, Cha kufanya kama una uwezo wa kupata hela zaidi ya walizochukua basi achana nao tu fanya mpango hama karibu nao uishi mahali pengine mbali nao.
 
Sijafurahishwa na moderators kubadilisha heading

Sasa mmeifanya kuwa stori badala ya kuwa msaada

Nyie mods kuna jambo mnalificha


Hiii sio stori n msaada unaoombwa kwa vyombo vyote Sasa hii heading inaonesha n Kama jamaa anatusimulia habar tu ya maisha


UsHAURI TU ILE HEADING NDIYO ILIFANYA WATU TUUSOME HUU UZI NA KUYAJUA HAYA
Heading yake ya mwanzo ilisomeka vipi mkuu
 
kwa Tanzania hii? Ili kutoshafua jina lao utashangaa Polisi wanampa jamaa mpaka kesi ya kuua. Hii nchi haijawahi kuwa na haki. Ni uonevu tu.
Mijitu kama hiyo dawa yao ni kuiroga iwe michizi yote, tena michizi mishoga.
Uko sahihi hakuna wa kufukuzwa kazi hapo
 
Ukweli mchungu
Hakuna msaada utaupata, hiyo imetoka.
Ila rudi kwa Mungu Kuna Jambo litawatokea, ukisubiri msaada wa kiserikali hutaupata
 
Daah inauma sana hao ikibidi wasomewe dua mbaya wakaangamie huko
 
Mama Samia sikia kilio cha huyu mtu.



Pole sana. Yani hao askari ningekuwa ndo wamenifanyia mimi hivi wangeanza kufa mmoja mmoja tena na familia zao. Na hivi nina fundi wangu jembe haswa sehemu, wasingeamini hakika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kila mtu atakufa hata wewe utakufa. Hakuna atakaeishi milele. Huwezi kuacha kutetea haki yako kwasababu ya kifo.
Umeelewa nilichoandika lakini? Maana ulichojibu hapo hakina kushabihiana na nilichomshauri mleta mada.

Sijasema asitafute haki yake, sijasema atakufa na sijasema sitakufa yaani kimsingi haya uliyoandika sijui umeyatoa wapi.

Nakushauri usome Tena kwa umakini au ipotezee tu sio lazima uonyeshe umahiri wako wa kujibu out of context.
 
Unawajua maaskari wewe? Hakuna watu waovu kwenye uso wa ardhi km hao watu ,hao tofauti ya na majambazi ni moja tu..
Askari ameruhusiwa kushika sihala kihalali lakini ni wahalifu mnooo!
Mahakamani asingepelekwa na angeleta ubishi angepewa kesi ya uhaini..
Nawajua askari vzr mnoo!

Kituo cha polisi Kizuani mbagala ntakuja kuandika uhalifu wao hapa!ngoja nitulie!

Mnajua kama kuna wahalifu hawapelekwi mahakamani wako locku up tu wanakaa ht miezi sita na kuendelea..

Dogo hii nchi kwio sana!
Duuuuuh mlongo hebu tupe kisa kizima, nasubiri.
 
Vijijini ndio zaidi walinapa pesa kwa makosa ya kubakizwa na kutishiwa, wanawakamata vijana wanawasingizia wamebaka mwanafunzi kijana anakaa kituoni Hadi ndugu walipe pesa ndio atoke Chemba wachunguzwe, Hakuna siku niliumia baada ya tukio la Kijijini wakaja mjini Chang'ombe wakabeba kijana mwingine jirani yangu wakampeleka Chemba kwa kosa hilo hilo kijana wa watu hata Chemba hapajui. Sijajua tatizo nini labda mshahara hautoshi au?
Police wa TZ ni hovyoo tyuuh.
 
Back
Top Bottom