pole sana mkuu, heading yako ndio ilikuwa na impact...sijui kwanini wamebadilishaNdio
Heading yake ya mwanzo ilisomeka vipi mkuuSijafurahishwa na moderators kubadilisha heading
Sasa mmeifanya kuwa stori badala ya kuwa msaada
Nyie mods kuna jambo mnalificha
Hiii sio stori n msaada unaoombwa kwa vyombo vyote Sasa hii heading inaonesha n Kama jamaa anatusimulia habar tu ya maisha
UsHAURI TU ILE HEADING NDIYO ILIFANYA WATU TUUSOME HUU UZI NA KUYAJUA HAYA
Uko sahihi hakuna wa kufukuzwa kazi hapokwa Tanzania hii? Ili kutoshafua jina lao utashangaa Polisi wanampa jamaa mpaka kesi ya kuua. Hii nchi haijawahi kuwa na haki. Ni uonevu tu.
Mijitu kama hiyo dawa yao ni kuiroga iwe michizi yote, tena michizi mishoga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mama Samia sikia kilio cha huyu mtu.
Pole sana. Yani hao askari ningekuwa ndo wamenifanyia mimi hivi wangeanza kufa mmoja mmoja tena na familia zao. Na hivi nina fundi wangu jembe haswa sehemu, wasingeamini hakika.
Umeelewa nilichoandika lakini? Maana ulichojibu hapo hakina kushabihiana na nilichomshauri mleta mada.Kila mtu atakufa hata wewe utakufa. Hakuna atakaeishi milele. Huwezi kuacha kutetea haki yako kwasababu ya kifo.
Duuuuuh mlongo hebu tupe kisa kizima, nasubiri.Unawajua maaskari wewe? Hakuna watu waovu kwenye uso wa ardhi km hao watu ,hao tofauti ya na majambazi ni moja tu..
Askari ameruhusiwa kushika sihala kihalali lakini ni wahalifu mnooo!
Mahakamani asingepelekwa na angeleta ubishi angepewa kesi ya uhaini..
Nawajua askari vzr mnoo!
Kituo cha polisi Kizuani mbagala ntakuja kuandika uhalifu wao hapa!ngoja nitulie!
Mnajua kama kuna wahalifu hawapelekwi mahakamani wako locku up tu wanakaa ht miezi sita na kuendelea..
Dogo hii nchi kwio sana!
Police wa TZ ni hovyoo tyuuh.Vijijini ndio zaidi walinapa pesa kwa makosa ya kubakizwa na kutishiwa, wanawakamata vijana wanawasingizia wamebaka mwanafunzi kijana anakaa kituoni Hadi ndugu walipe pesa ndio atoke Chemba wachunguzwe, Hakuna siku niliumia baada ya tukio la Kijijini wakaja mjini Chang'ombe wakabeba kijana mwingine jirani yangu wakampeleka Chemba kwa kosa hilo hilo kijana wa watu hata Chemba hapajui. Sijajua tatizo nini labda mshahara hautoshi au?