Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Mheshimiwa Zitto:
Siku hizi Nchi inakopa na sehemu kubwa ya mikopo(Kiuwiano) inakwenda Zanzibar.
Nchi ya watu chini ya milioni mbili inapewa zaidi ya 25% ya mikopo ambayo Jamhuri ya muungano wa Tanzania inakopa.
Na tunajua sehemu kubwa ya hilo deni itakuja kulipwa na Watanganyika kwa sababu kiukweli uchumi wa Zanzibar hauna uwezo wa kuhimili hilo deni.
Sisi Watanganyika hatuna shida na Wazanzibar kunufaika na mikopo lakini tunachosema ni mambo mawili
1. Kama mkopo ni wa Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania, basi siyo haki nchi ya watu milion 1.5 wapewe 25% ya pesa, halafu watu milion 50 waliobaki wapewe kilichobaki wakati at the end of the day mkopo wote kwa kiasi kikubwa utalipwa na watu hawa milioni 50
2. Lakini kama Mkopo unaokwenda Zanzibar ni mkopo makhsusi uliokopwa na SMZ ila tu kwa kupitia udhamini wa JMT ni jambo la kheri isipokuwa tunaamini kabisa Zanzibar haina uwezo wa kiuchumi wa kulipa mikopo hiyo mikubwa sana relative na pato lao, kwa hiyo hapa napo ni dhahiri haya madeni tutayabeba sisi Watanganyika.
Ndugu Zitto :
Sisi tunajua, ACT ni pro Zanzibar, maana huwa inazungumzia maslahi ya Zanzibar kuliko Tanganyika katika muungano, lakini tunataka muelewe kuwa huu ukimya wetu sisi Watanganyika msiuchukulie kama uzuzu.
1. Tunajua 21% ya ajira za Muungano zinaenda kwa Wazanzibar(at least kwenye makubaliano) na tuliona waziri aliyekuwa na dhamana na utumiashi aliyebadilishwa ndugu Mchegerwa akilisimamia hilo
2. Tunajua kodi zote zinazokusanywa huko Zanzibar hata za TRA zinabaki hukohuko Zanzibar.
3. Tunajua kuwa Watanganyika mara kibao wamefinance uendeshaji wa serikali ya SMZ ikiwemo kulipa mishahara
Lakini at the same time wazanzibar wanaendelea kucomplain na kucomplain tu, Sasa ndugu Zitto Kiongozi wa chama, unatueleza nini sisi Watanganyika katika hili suala?
Wakati wa Magufuli mlipiga kelele sana alivyokuwa anaipendelea Chato, Sasa mbona mko kimya kwa namna Samia anavyoipendelea Zanzibar waziwazi?
Ninajua kuwa kuna hoja kuwa Zanzibar inaidai Serikali ya muungano pesa nyingi, well hata kama ni kweli, lakini hii haijustify upendeleo huu wa kimikopo, lazima itafutwe arrangement ya kusolve hiyo issue lakini siyo arrangement hii ya kuumiza upande mmoja.
Ndugu Zitto, sisi Watanganyika unatusemeaje na unatusemea wapi manung'uniko yetu?
Siku hizi Nchi inakopa na sehemu kubwa ya mikopo(Kiuwiano) inakwenda Zanzibar.
Nchi ya watu chini ya milioni mbili inapewa zaidi ya 25% ya mikopo ambayo Jamhuri ya muungano wa Tanzania inakopa.
Na tunajua sehemu kubwa ya hilo deni itakuja kulipwa na Watanganyika kwa sababu kiukweli uchumi wa Zanzibar hauna uwezo wa kuhimili hilo deni.
Sisi Watanganyika hatuna shida na Wazanzibar kunufaika na mikopo lakini tunachosema ni mambo mawili
1. Kama mkopo ni wa Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania, basi siyo haki nchi ya watu milion 1.5 wapewe 25% ya pesa, halafu watu milion 50 waliobaki wapewe kilichobaki wakati at the end of the day mkopo wote kwa kiasi kikubwa utalipwa na watu hawa milioni 50
2. Lakini kama Mkopo unaokwenda Zanzibar ni mkopo makhsusi uliokopwa na SMZ ila tu kwa kupitia udhamini wa JMT ni jambo la kheri isipokuwa tunaamini kabisa Zanzibar haina uwezo wa kiuchumi wa kulipa mikopo hiyo mikubwa sana relative na pato lao, kwa hiyo hapa napo ni dhahiri haya madeni tutayabeba sisi Watanganyika.
Ndugu Zitto :
Sisi tunajua, ACT ni pro Zanzibar, maana huwa inazungumzia maslahi ya Zanzibar kuliko Tanganyika katika muungano, lakini tunataka muelewe kuwa huu ukimya wetu sisi Watanganyika msiuchukulie kama uzuzu.
1. Tunajua 21% ya ajira za Muungano zinaenda kwa Wazanzibar(at least kwenye makubaliano) na tuliona waziri aliyekuwa na dhamana na utumiashi aliyebadilishwa ndugu Mchegerwa akilisimamia hilo
2. Tunajua kodi zote zinazokusanywa huko Zanzibar hata za TRA zinabaki hukohuko Zanzibar.
3. Tunajua kuwa Watanganyika mara kibao wamefinance uendeshaji wa serikali ya SMZ ikiwemo kulipa mishahara
Lakini at the same time wazanzibar wanaendelea kucomplain na kucomplain tu, Sasa ndugu Zitto Kiongozi wa chama, unatueleza nini sisi Watanganyika katika hili suala?
Wakati wa Magufuli mlipiga kelele sana alivyokuwa anaipendelea Chato, Sasa mbona mko kimya kwa namna Samia anavyoipendelea Zanzibar waziwazi?
Ninajua kuwa kuna hoja kuwa Zanzibar inaidai Serikali ya muungano pesa nyingi, well hata kama ni kweli, lakini hii haijustify upendeleo huu wa kimikopo, lazima itafutwe arrangement ya kusolve hiyo issue lakini siyo arrangement hii ya kuumiza upande mmoja.
Ndugu Zitto, sisi Watanganyika unatusemeaje na unatusemea wapi manung'uniko yetu?