Barua ya wazi kwa Zitto Kabwe: Sisi Watanganyika nani atatusemea

Barua ya wazi kwa Zitto Kabwe: Sisi Watanganyika nani atatusemea

Kama ni huyo JPM unamtetea kubaki madarakani, ni bora kuongozwa kila ngazi na wanawake wa kizanzibari. Hututaki kutawaliwa na mtu mnyama bila ridhaa yetu.
Unaonaje m mnavyo enjoy sasa hvi baada ya dhalimu wenu kuondoka?
 
Mheshimiwa Zitto:
Siku hizi Nchi inakopa na sehemu kubwa ya mikopo(Kiuwiano) inakwenda Zanzibar.
Nchi ya watu chini ya milioni mbili inapewa zaidi ya 25% ya mikopo ambayo Jamhuri ya muungano wa Tanzania inakopa.
Na tunajua sehemu kubwa ya hilo deni itakuja kulipwa na Watanganyika kwa sababu kiukweli uchumi wa Zanzibar hauna uwezo wa kuhimili hilo deni.

Sisi Watanganyika hatuna shida na Wazanzibar kunufaika na mikopo lakini tunachosema ni mambo mawili
1. Kama mkopo ni wa Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania, basi siyo haki nchi ya watu milion 1.5 wapewe 25% ya pesa, halafu watu milion 50 waliobaki wapewe kilichobaki wakati at the end of the day mkopo wote kwa kiasi kikubwa utalipwa na watu hawa milioni 50

2. Lakini kama Mkopo unaokwenda Zanzibar ni mkopo makhsusi uliokopwa na SMZ ila tu kwa kupitia udhamini wa JMT ni jambo la kheri isipokuwa tunaamini kabisa Zanzibar haina uwezo wa kiuchumi wa kulipa mikopo hiyo mikubwa sana relative na pato lao, kwa hiyo hapa napo ni dhahiri haya madeni tutayabeba sisi Watanganyika.

Ndugu Zitto :
Sisi tunajua, ACT ni pro Zanzibar, maana huwa inazungumzia maslahi ya Zanzibar kuliko Tanganyika katika muungano, lakini tunataka muelewe kuwa huu ukimya wetu sisi Watanganyika msiuchukulie kama uzuzu.

1. Tunajua 21% ya ajira za Muungano zinaenda kwa Wazanzibar(at least kwenye makubaliano) na tuliona waziri aliyekuwa na dhamana na utumiashi aliyebadilishwa ndugu Mchegerwa akilisimamia hilo

2. Tunajua kodi zote zinazokusanywa huko Zanzibar hata za TRA zinabaki hukohuko Zanzibar.

3. Tunajua kuwa Watanganyika mara kibao wamefinance uendeshaji wa serikali ya SMZ ikiwemo kulipa mishahara

Lakini at the same time wazanzibar wanaendelea kucomplain na kucomplain tu, Sasa ndugu Zitto Kiongozi wa chama, unatueleza nini sisi Watanganyika katika hili suala?

Wakati wa Magufuli mlipiga kelele sana alivyokuwa anaipendelea Chato, Sasa mbona mko kimya kwa namna Samia anavyoipendelea Zanzibar waziwazi?

Ninajua kuwa kuna hoja kuwa Zanzibar inaidai Serikali ya muungano pesa nyingi, well hata kama ni kweli, lakini hii haijustify upendeleo huu wa kimikopo, lazima itafutwe arrangement ya kusolve hiyo issue lakini siyo arrangement hii ya kuumiza upande mmoja.

Ndugu Zitto, sisi Watanganyika unatusemeaje na unatusemea wapi manung'uniko yetu?
Chama cha Zitto ni sehemu ya serikali ya mseto huko Zenji.....hivyo hawezi kukujibu lolote.
 
Tanganyika ndo imeiweka Zanzibar mateka. Msilie maana Wazanzibari wamelilia uhuru wao miaka na miaka.

Tanganyika isione gharama kuilisha na kubeba mzigo wa kiuchumi itokanayo na muungano.

Wazanzibari na CHADEMA wameipigia kelele suala la muungano na kupendejeza uundwaji wa serikali tatu ila majitu majinga CCM wameamua iwe hivyo.

Basi hakuna sababu ya Tanganyika kulalamika




Tanganyika ndo imeiweka Zanzibar mateka. Msilie maana Wazanzibari wamelilia uhuru wao miaka na miaka.

Tanganyika isione gharama kuilisha na kubeba mzigo wa kiuchumi itokanayo na muungano.

Wazanzibari na CHADEMA wameipigia kelele suala la muungano na kupendejeza uundwaji wa serikali tatu ila majitu majinga CCM wameamua iwe hivyo.

Basi hakuna sababu ya Tanganyika kulalamika
Wazenji wangeachwa peke yao wangekuwa mbali sana kiuchumi - angalia kisiwa cha Mauririus kilichopata uhuru 1968 - miaka 4 baada ya Zenj.
Wajati huo uchumi wa Mauritius ulikuwa ni miwa na wa Zenj ni karafuu, lkn leo hii mauritius ni inakaribia Ulaya kiuchumi wakati Zenj inaendelea na wimbo wake wa Mapinduzi Daima.

Mauritius nao wangejiendekeza na wimbo kama huo wasingeendela chochote.
 
Kwa sasa wanajinasbu na uchumi wa bluu ! Kumbe ni fedha za watanganyika

Mlimnyima Marehemu Maalim Seif miaka yote mkauwa watu Na kutia wengine vilema, mkanajisi wanawake yote hayo kulinda Uvamizi mliouwa watu kwa maelfu. Mlisahau Kuna Mungu. Leo damu ya wanyonge inawatesa .
 
Sahihi kabisa Swahiba wangu

Wapemba kama Wachaga tu…pamoja na kunufaika zaid na Ccm lakin wao ndio wa kwanza kuzuga kuikataa CCM kuwazuga Wagogo na wafipa wanaojiona wao ndio wanufaika wakubwa wa Ccm

Kelele nyingi za wazanzibar kuhusu muungano wa Nyerere na Karume ni danganya toto kuwazubaisha wadanganyika kuwa wao ndo wenye kufaidika na muungano lakini nyuma ya pazia wao ndo wanufaika wakubwa kuanzia kwenye ardhi ya bara,ajira nk
 
Sahihi kabisa Swahiba wangu

Wapemba kama Wachaga tu…pamoja na kunufaika zaid na Ccm lakin wao ndio wa kwanza kuzuga kuikataa CCM kuwazuga Wagogo na wafipa wanaojiona wao ndio wanufaika wakubwa wa Ccm
Uliwahi kufika Pemba ukaona hali zao Na kuwasikia wenyewe ?
 
Kuwasikia Wapemba wakiinanga CCM sihitaji kupanda boti…Ilala nakuwa nao vijiweni nawaskia…au Wapemba wa Ilala na wa Mtambwe ni tofauti?
Uliwahi kufika Pemba ukaona hali zao Na kuwasikia wenyewe ?
 
Bara imejaa watu wajinga sn, acha tupigwe
Mheshimiwa Zitto:
Siku hizi Nchi inakopa na sehemu kubwa ya mikopo(Kiuwiano) inakwenda Zanzibar.
Nchi ya watu chini ya milioni mbili inapewa zaidi ya 25% ya mikopo ambayo Jamhuri ya muungano wa Tanzania inakopa.
Na tunajua sehemu kubwa ya hilo deni itakuja kulipwa na Watanganyika kwa sababu kiukweli uchumi wa Zanzibar hauna uwezo wa kuhimili hilo deni.

Sisi Watanganyika hatuna shida na Wazanzibar kunufaika na mikopo lakini tunachosema ni mambo mawili
1. Kama mkopo ni wa Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania, basi siyo haki nchi ya watu milion 1.5 wapewe 25% ya pesa, halafu watu milion 50 waliobaki wapewe kilichobaki wakati at the end of the day mkopo wote kwa kiasi kikubwa utalipwa na watu hawa milioni 50

2. Lakini kama Mkopo unaokwenda Zanzibar ni mkopo makhsusi uliokopwa na SMZ ila tu kwa kupitia udhamini wa JMT ni jambo la kheri isipokuwa tunaamini kabisa Zanzibar haina uwezo wa kiuchumi wa kulipa mikopo hiyo mikubwa sana relative na pato lao, kwa hiyo hapa napo ni dhahiri haya madeni tutayabeba sisi Watanganyika.

Ndugu Zitto :
Sisi tunajua, ACT ni pro Zanzibar, maana huwa inazungumzia maslahi ya Zanzibar kuliko Tanganyika katika muungano, lakini tunataka muelewe kuwa huu ukimya wetu sisi Watanganyika msiuchukulie kama uzuzu.

1. Tunajua 21% ya ajira za Muungano zinaenda kwa Wazanzibar(at least kwenye makubaliano) na tuliona waziri aliyekuwa na dhamana na utumiashi aliyebadilishwa ndugu Mchegerwa akilisimamia hilo

2. Tunajua kodi zote zinazokusanywa huko Zanzibar hata za TRA zinabaki hukohuko Zanzibar.

3. Tunajua kuwa Watanganyika mara kibao wamefinance uendeshaji wa serikali ya SMZ ikiwemo kulipa mishahara

Lakini at the same time wazanzibar wanaendelea kucomplain na kucomplain tu, Sasa ndugu Zitto Kiongozi wa chama, unatueleza nini sisi Watanganyika katika hili suala?

Wakati wa Magufuli mlipiga kelele sana alivyokuwa anaipendelea Chato, Sasa mbona mko kimya kwa namna Samia anavyoipendelea Zanzibar waziwazi?

Ninajua kuwa kuna hoja kuwa Zanzibar inaidai Serikali ya muungano pesa nyingi, well hata kama ni kweli, lakini hii haijustify upendeleo huu wa kimikopo, lazima itafutwe arrangement ya kusolve hiyo issue lakini siyo arrangement hii ya kuumiza upande mmoja.

Ndugu Zitto, sisi Watanganyika unatusemeaje na unatusemea wapi manung'uniko yetu?
 
Bara imejaa watu wajinga sn, acha tupigwe
Mheshimiwa Zitto:
Siku hizi Nchi inakopa na sehemu kubwa ya mikopo(Kiuwiano) inakwenda Zanzibar.
Nchi ya watu chini ya milioni mbili inapewa zaidi ya 25% ya mikopo ambayo Jamhuri ya muungano wa Tanzania inakopa.
Na tunajua sehemu kubwa ya hilo deni itakuja kulipwa na Watanganyika kwa sababu kiukweli uchumi wa Zanzibar hauna uwezo wa kuhimili hilo deni.

Sisi Watanganyika hatuna shida na Wazanzibar kunufaika na mikopo lakini tunachosema ni mambo mawili
1. Kama mkopo ni wa Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania, basi siyo haki nchi ya watu milion 1.5 wapewe 25% ya pesa, halafu watu milion 50 waliobaki wapewe kilichobaki wakati at the end of the day mkopo wote kwa kiasi kikubwa utalipwa na watu hawa milioni 50

2. Lakini kama Mkopo unaokwenda Zanzibar ni mkopo makhsusi uliokopwa na SMZ ila tu kwa kupitia udhamini wa JMT ni jambo la kheri isipokuwa tunaamini kabisa Zanzibar haina uwezo wa kiuchumi wa kulipa mikopo hiyo mikubwa sana relative na pato lao, kwa hiyo hapa napo ni dhahiri haya madeni tutayabeba sisi Watanganyika.

Ndugu Zitto :
Sisi tunajua, ACT ni pro Zanzibar, maana huwa inazungumzia maslahi ya Zanzibar kuliko Tanganyika katika muungano, lakini tunataka muelewe kuwa huu ukimya wetu sisi Watanganyika msiuchukulie kama uzuzu.

1. Tunajua 21% ya ajira za Muungano zinaenda kwa Wazanzibar(at least kwenye makubaliano) na tuliona waziri aliyekuwa na dhamana na utumiashi aliyebadilishwa ndugu Mchegerwa akilisimamia hilo

2. Tunajua kodi zote zinazokusanywa huko Zanzibar hata za TRA zinabaki hukohuko Zanzibar.

3. Tunajua kuwa Watanganyika mara kibao wamefinance uendeshaji wa serikali ya SMZ ikiwemo kulipa mishahara

Lakini at the same time wazanzibar wanaendelea kucomplain na kucomplain tu, Sasa ndugu Zitto Kiongozi wa chama, unatueleza nini sisi Watanganyika katika hili suala?

Wakati wa Magufuli mlipiga kelele sana alivyokuwa anaipendelea Chato, Sasa mbona mko kimya kwa namna Samia anavyoipendelea Zanzibar waziwazi?

Ninajua kuwa kuna hoja kuwa Zanzibar inaidai Serikali ya muungano pesa nyingi, well hata kama ni kweli, lakini hii haijustify upendeleo huu wa kimikopo, lazima itafutwe arrangement ya kusolve hiyo issue lakini siyo arrangement hii ya kuumiza upande mmoja.

Ndugu Zitto, sisi Watanganyika unatusemeaje na unatusemea wapi manung'uniko yetu?
 
Why do you think Zitto can help the cause of the Tanganyikans when he himself is an errand boy for the ruling party ccm, the party that has been at the forefront of bulldozing the people of Tanganyika at the expense of the so called union.

If you go to the roots of the Act-wazalendo the party that Zitto leads, you will trace the massive input that ccm placed to ensure the successful launch and running of that party so to rely on a person manning such a proxy party to advance people's opinions on such sensitive matters is highly fallacious.

Zitto is nothing but a ccm mole in opposition camp and he cannot fight the cause of the people but will only safeguard the interest of the people who sponsor him and his proxy party.
 
Tanganyika ndo imeiweka Zanzibar mateka. Msilie maana Wazanzibari wamelilia uhuru wao miaka na miaka.

Tanganyika isione gharama kuilisha na kubeba mzigo wa kiuchumi itokanayo na muungano.

Wazanzibari na CHADEMA wameipigia kelele suala la muungano na kupendejeza uundwaji wa serikali tatu ila majitu majinga CCM wameamua iwe hivyo.

Basi hakuna sababu ya Tanganyika kulalamika
Kuipa mamlaka Zanzibar kutaiongezea Zanzibar kunufaika na Muungano.

Tunachotakiwa kufanya ni strategic process ya kuhakikisha Zanzibar inabaki na mamlaka ya kimkoa na siyo ya kinchi.

Idadi ya watu milion 1.5 ni ndogo sana hailingani hata na mkoa wa Njombe why wasihamishiwe Tanganyika wote with incentives halafu Zanzibar iwe occupied na Christian zaramos ?
 
Back
Top Bottom