Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Mimi nashauri walimu wote wapambane aisee! Haya maisha kwa sasa hayako poa kabisa. Kila mwalimu ajiongeze kwa nafasi yake, badala ya kuishi kwa kutegemea mshahara pekee.
Ukiishi kwa kuitegemea hii serikali ya CCM iliyojichokea, eti ikuongezee mshahara mnono! Aisee utachelewa sana kufikia nchi ya ahadi ya maziwa na asali.
Na wewe mtoa mada ukimaliza chuo, fikiria kwanza namna bora ya kujiajiri mtaani. Achana kabisa na mawazo ya kusubiria kuajiriwa na serikali. Maana kuna maelfu ya wenzako mpaka muda huu wanataabika mtaani kwa kusubiria ajira.
Ukiishi kwa kuitegemea hii serikali ya CCM iliyojichokea, eti ikuongezee mshahara mnono! Aisee utachelewa sana kufikia nchi ya ahadi ya maziwa na asali.
Na wewe mtoa mada ukimaliza chuo, fikiria kwanza namna bora ya kujiajiri mtaani. Achana kabisa na mawazo ya kusubiria kuajiriwa na serikali. Maana kuna maelfu ya wenzako mpaka muda huu wanataabika mtaani kwa kusubiria ajira.