Mambo yako ya kigogo peleka Dodoma. Akifungiwa wewe utapata nini?Kwanza Nilikua najiuliza huyu dogo mambo yote ya hovyo anafanya na kusamehewa lakini bado mnambeba tu?
Mbona wasanii wengine hawafanyi ujinga kuanzia maisha halisi hadi kwenye mitandao ya kijamii?
Mlichofanya mnastahili pongezi kwani mnasimamia maadili na ukiangalia nyimbo zote za huyu msanii wa hovyohovyo kitabia ni mbovu tu maadili hazina Watanzania tujifunze kussuport watu wanaojiheshimu kwenye jamii.
AmenAisee hahaha kweli akili za watoto wa sasa zinahuzunisha pole sana kwa kukosa Maziwa ya Mama ndo maana ubongo wako haueleweki
Aisee hahaha kweli akili za watoto wa sasa zinahuzunisha pole sana kwa kukosa Maziwa ya Mama ndo maana ubongo wako haueleweki
Tuna Raisi mwenye msimamo imara asiyeyumbishwa ,fanyeni kazi kwa mfano wake mzuri; amewaweka ili mnyooshe mambo kwa niaba yake. Ziko nyimbo nyingi chafu zimezagaa kila mahali fuatilieni muokoe watoto wetu
Kwanza Nilikua najiuliza huyu dogo mambo yote ya hovyo anafanya na kusamehewa lakini bado mnambeba tu?
Mbona wasanii wengine hawafanyi ujinga kuanzia maisha halisi hadi kwenye mitandao ya kijamii?
Mlichofanya mnastahili pongezi kwani mnasimamia maadili na ukiangalia nyimbo zote za huyu msanii wa hovyohovyo kitabia ni mbovu tu maadili hazina Watanzania tujifunze kussuport watu wanaojiheshimu kwenye jamii.
Sasa akifungiwa mtoto wako atasoma wapi?, unajua kwamba diamond analipa kodi kupitia muziki?
Ngoja waje
Watu wanafiki sana..Unashindwa kumlea mwanao unamsingizia Diamond.
Kodi yake ndio iwe sababu ya mmomonyoko wa maadili!!!!
Tz bado sana.....
Huwezi kustruggle kwa kufanya uchafu, ni kama shoga aseme anstruggle. Tuache u-zezeta
Mambo yako ya kigogo peleka Dodoma. Akifungiwa wewe utapata nini?
Wangemfunga tu jela kwanza hana faida na taifa.
Kwani mtoto wake mtoa mada anasomeshwa na Diamond!?Sasa akifungiwa mtoto wako atasoma wapi?, unajua kwamba diamond analipa kodi kupitia muziki?
Kwa hiyo aendelee na upuuzi wake kwa sababu analipa kodi?Sasa akifungiwa mtoto wako atasoma wapi?, unajua kwamba diamond analipa kodi kupitia muziki?