BASATA Hongereni Kumfungia Diamond na Tabia Zake za Hovyo Zisizovumilika

BASATA Hongereni Kumfungia Diamond na Tabia Zake za Hovyo Zisizovumilika

Kwanza Nilikua najiuliza huyu dogo mambo yote ya hovyo anafanya na kusamehewa lakini bado mnambeba tu?
Mbona wasanii wengine hawafanyi ujinga kuanzia maisha halisi hadi kwenye mitandao ya kijamii?
Mlichofanya mnastahili pongezi kwani mnasimamia maadili na ukiangalia nyimbo zote za huyu msanii wa hovyohovyo kitabia ni mbovu tu maadili hazina Watanzania tujifunze kussuport watu wanaojiheshimu kwenye jamii.
Mambo yako ya kigogo peleka Dodoma. Akifungiwa wewe utapata nini?
 
Tuna Raisi mwenye msimamo imara asiyeyumbishwa ,fanyeni kazi kwa mfano wake mzuri; amewaweka ili mnyooshe mambo kwa niaba yake. Ziko nyimbo nyingi chafu zimezagaa kila mahali fuatilieni muokoe watoto wetu

Kwa herufi kubwa ningewapongeza sana kama WANGE DHIBITI (WASANII) hasa WAIMBAJI KUTOIMBA AU KURECORD NYIMBO ZAO MTAANI MBELE YA WATOTO AU KUHUSISHA WATOTO. Inanikera vibaya sana, watu wanaimba na kucheza Vigodoro ama michezo inayo fanana na hiyo mbele ya watoto na Mamlaka husika wakiangalia tu?????!! Nini wajibu wenu mnaoitwa viongozi??
 
Kwanza Nilikua najiuliza huyu dogo mambo yote ya hovyo anafanya na kusamehewa lakini bado mnambeba tu?
Mbona wasanii wengine hawafanyi ujinga kuanzia maisha halisi hadi kwenye mitandao ya kijamii?
Mlichofanya mnastahili pongezi kwani mnasimamia maadili na ukiangalia nyimbo zote za huyu msanii wa hovyohovyo kitabia ni mbovu tu maadili hazina Watanzania tujifunze kussuport watu wanaojiheshimu kwenye jamii.


Wangemfunga tu jela kwanza hana faida na taifa.
 
The Icebreaker watu hawayaelewi hayo wao ni kuwaza petty issues kutokana na alivoonywa na anavyoendelea kukaidi inaonekana hajitambui kabisa
 
Back
Top Bottom