BASATA Hongereni Kumfungia Diamond na Tabia Zake za Hovyo Zisizovumilika

BASATA Hongereni Kumfungia Diamond na Tabia Zake za Hovyo Zisizovumilika

Kuna mtu kamdanganya kuwa vijana wetu wanapenda kuona tatoo zake
 
Aka kanchi sijui ni kutawaliwa Sana na ccm kwa over 50 years maana akili za watu hapa majanga. Thinking capacity ni zero.
 
Lips denda tupe vitu achana na yule anaeimba pumba beat inambeba..
Kwenye riziki hapakosi fitna
 
Diamond piga kazi achana nao fans wa kibakuli na BASATA wote wana asili ya kutombwaaaaaaa
 
Dimond alipofika ni kwa juhudi zake mwenyewe hataivi ni wivu tuu wa watu flani hata mumchukie bado anahela mingi mumfungie ni wakimataifa atauza mbelembele[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watanzania hawa walishaharibika tangu enzi na enzi,ilipoingia mitandao ya kijamii ndiyo basi tena ikaharibu zaidi..

Ila poa tu hawa madogo ndiyo uwa mtaji wa CCM majukwaani kipindi cha Kampeni..

Acha wapigwe ban tu watajifunza siku za usoni..
 
Uko Sawa kabisa , huo ndio ukweli wenyewe.
Anachokifanya Diamond ni mashart ya mganga from Hollywood.....kutoka kule ili ufanikiwe katika tasnia ya burdan lazima uhamasishe moja wapo ya hv vtu vtatu.1.Ngono 2.Uchawi. 3.Mauaji...angalia filamu zote duniani, na miziki yote lazima ihamasishe kimoja wapo...
 
Kwa nini wasanii wa kibongo wasijifunze kwa msanii nguli wa miziki ya aina hii Dr Jose Chameleon ambaye nyimbo zake nyingi ni za mapenzi na ni nzuri lakini hazina maudhui ya matusi. Hivi hawawezi kuimba hadi waingize mambo ya ngono?
 
Diamond analewa sifa na kudharau mamlaka.Nyimbo zake nyingi hazina tafsida,matusi yako wazi kabisa hata mtoto mdogo anaelewa!Hivi anapoimba mambo ya Amber Ruti ana maanisha nn?Haoni kama anahamasisha upofu wa maadili?Nyege Nyege halafu ndio wanasema Nyegezi...hii sio sawa jamani?Hapa Dar kuna eneo linaitwa Mkunduge na Kunduchi.Ukiyatamka hayo majina kama yalivyo hakuna ubaya, lakini kwa mfano ukitamka ....Mkundu...Mkundu....halafu ukamalizia Mkunduge ...maana yako itakuwa ni hiyo au ulitaka utukane kwa kupotosha jina hilo?Vivo hivyo Kunduchi uanze kwa kuipotosha kwa kusema Kundu Kundu....Kunduchi!....Haya ndio madhaifu ya Diamond
 
Back
Top Bottom