BASATA kaeni mkao wa kula, Video ya Chura anarukaruka, ikitoka fungia kisha tia Kapuni

BASATA kaeni mkao wa kula, Video ya Chura anarukaruka, ikitoka fungia kisha tia Kapuni

Basata wanavyopenda nyuchi, utafungiwa kwenu wao watakuwa wakiendelea kuutumbulia mimacho kila siku asubuhi huku midushelele yao ikiwa imesimama wima kama askari anayekaguliwa
heshima kwako Buji

swissme
 
tmp_21010-_20160410_095513-1309939128.JPG
tmp_21010-_20160410_095441-516013028.JPG
 
Hahahahaaaa
Hii ligi ilianzia wapi?
Wee huoni kijana ana likofia la wavuta bange? Sasa mvuta bange ana nini cha kuongea? Mafanikio yake makubwa ni kuwa sawa na Chidi Benz ...... achana na huyo swissme tayari yuko on fire.......
Ngoja nitafute wimbo Cause l get high nimuwekee
 
Wee huoni kijana ana likofia la wavuta bange? Sasa mvuta bange ana nini cha kuongea? Mafanikio yake makubwa ni kuwa sawa na Chidi Benz ...... achana na huyo swissme tayari yuko on fire.......
Ngoja nitafute wimbo Cause l get high nimuwekee
I'm so excited and proud to you.your really beautiful and i can't wait for you to send msg back to me.I'm so wet light now.couse your only in my dream.i please you to make this dream happen.miss u.


swissme
 
sijaona akiimba zaid ya kutikisa nyamanyama...kuelewwa nyimbo za hiv inahitaj mtu uwe mswahili
 
kwa hiyo wewe unapenda wale majambazi yanayoficha ujambazi kwenye suti na tai?mimi niko simple mzungu si unaona mimi ni mzungu.

swissme
Kijasho kitakushuka telemkaaa......
Hiyo mibange unayovuta ni stimu za kula unga.... kama fani sio yako, kwakweli utaumbuka.....
 
dah huyu chura ni shiiiida! kuna ingine nimeona inssndaliwa ni balaa zaid!
 
Back
Top Bottom