BASATA, kosa la Dulla Makabila ni lipi akionesha Mchungaji akihukumiwa kwenda moto wa milele?

Wabongo wengi mnatatizo la kutofuatilia taarifa kwa usahihi , uzi wako ni batili Dulla Makabila hajaitwa kwa kosa la kipande cha mchungaji basata wala hawajakosoa kipande hiko . Soma comment ya Mariposa utaelewa zaidi.
 
dulla kamtumia mchungaji kwa nini asimtumie sheikh !
 
dulla kamtumia mchungaji kwa nini asimtumie sheikh !
Naona huko ndiko kwenye urahisi hata mambele watu wanaigiza Video kanisani wanawake wakicheza hovyo nusu uchi ,watu wakila tungi huku wakicheza.Vilevile unakuta msanii kazungukwa na wadada wa hovyo klabu huku kavaa cheni ya Rozali ikiwa na msalaba na ni kawaida sana.

Nb:Sisapoti miziki na ushenzi unaouzunguka na kufanywa.
 
Wee...usitake kuniambia kuwa hata mimi nawazidi BASATA uwezo wa kufikiri[emoji23][emoji23]
 
Napenda sana mabinti wanaojichekesha kama wewe.

Vipi ushachumbiwa binti?
Tazama ulivyo na kaubongo kenye fikra za kijinga.Usimfikirie kila mtu ana umbile na jinsi kama ya mama yako.Utaanza kupakwa mafuta shauri yako.Halafu acha kunizoea kijana.
 
Dulla Makabila ni Muislam kwanini asimuweke shehe kwenye video yake?
Uislamu ni dini ya heshima.

Hata kuifanyia mzaa inakuwa si rahisi.

Ukristo dini ya mchongo sana.

Wachungaji wenyewe wanaifanyia kila aina ya ujinga na maigizo.

Mara kujifanya wamefufua wafu.

Mara kuponya vilema.

Kumbe usanii mtupu.

Sasa kina dullah kwa usanii kama huu kwanini na wao wasiige.
 
Tazama ulivyo na kaubongo kenye fikra za kijinga.Usimfikirie kila mtu ana umbile na jinsi kama ya mama yako.Utaanza kupakwa mafuta shauri yako.Halafu acha kunizoea kijana.
Tulia binti shobo umeanza wewe kuni qoute.

Usingeniquote wala nisingetaka kukuchumbia mchuchu.

Halafu mi ni saizi ya baba yako sio kijana hata.

Naomba uzingatie ombi langu ntalipa maghari unayotaka mchumba.

Unaonekana kazuri sana.
 
Waislamu ni washari sana, Wakristo ni wavumilivu sana.
Uislam unahubiri upanga kwa upanga. Ukristo unahubiri msamaha. Tena mafundisho yameenda mbali, samehe saba mara sabini kwa siku (mtu mmoja akikukosea kwa siku)
 
Tulia binti shobo umeanza wewe kuni qoute.

Usingeniquote wala nisingetaka kukuchumbia mchuchu.

Halafu mi ni saizi ya baba yako sio kijana hata.

Naomba uzingatie ombi langu ntalipa maghari unayotaka mchumba.

Unaonekana kazuri sana.
Umekosa misingi ya kutetea ujinga wako sasa umeanza mambo ya kishoga.Mimi siwezi kuoa shoga kijana.Haujafunzwa maadili mema kwenu na kuheshimu wazee?
 
U
Waislamu ni washari sana, Wakristo ni wavumilivu sana.
Uislam unahubiri upanga kwa upanga. Ukristo unahubiri msamaha. Tena mafundisho yameenda mbali, samehe saba mara sabini kwa siku (mtu mmoja akikukosea kwa siku)
Hivi hii habari ya ukristo unahubiri amani mnaitolea wapi?

Papa urban wa pili wakati anatangaza vita ya msalaba ndiyo amani mnayoizungumzia.
 
T
Umekosa misingi ya kutetea ujinga wako sasa umeanza mambo ya kishoga.Mimi siwezi kuoa shoga kijana.Haujafunzwa maadili mema kwenu na kuheshimu wazee?
Teeh teeh teeh

Mzee utakuwa wewe.

Mtu una miaka 22 unajifanya mzee.

Kweli jamii forums ni kichaka.

Mtu hata ubwabwa wa shingo haujamtoka anajifanya mzee.

Ombi langu liko palepale binti.
 
Kwa nini asioneshe pia Sheikh/ Ustaadh/ Imam akiswekwa kwenye huo moto wa milele? Nyinyi watu mna chokochoko sana. Mkiguswa kidogo tu, mnakimbilia kwenye fujo, na uvunjifu wa amani.

Angekuwa ni msanii wa kikristo, halafu akatumia mfano wa Sheikh, tayari mngeanza kukusanyana ili kufanya fujo! Ifikie wakati mjiheshimu, na pia mheshimu imani ya watu wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…