Kwa nini na madokta wetu wasikinukishe? Hiko chama cha MAT mbona kimeona Dulla yuko sahihi kwa huyo Dokta kusweka motoni. Pia TLS kimeona ni sawa huyo hakimu kuswekwa motoni. Kwa nini Basata imeghafirika mchungaji wa aina hiyo kuswekwa kwenye moto waKingenuka hata kabla ya basata
Kwa kufikiria kwangu walitaka asiwe muwazi vile walitaka aweke tafsida kidogo ktk kuwasema hao watu kwa kila mmoja kwa kadiri ya makosa yake, wakati kwenye vitabu vitakatifu tumeambiwa ukweli utamweka mtu huru na tukemee yale mabaya na tufundishane yaliyo mema.Katika wimbo wa Dulla Makabila wa Pita huku, kaelelezea hukumu ya adhabu ya moto wa milele. Kwamba hukumu hii inaweza kumpata yeyote kutegemea na matendo yake maovu aliyoyafanya hapa Duniani.
Haidhalilishi wadhifa aliokuwa nao hapa Duniani. Kaonesha daktari, mchungaji na watu wengine mbali mbali wakipata adhabu hiyo. BASATA wamekuja juu kwamba kakosea kuonesha mchungaji akipata adhabu hiyo.
Ila kwa kuonesha mtu kama daktari akiswekwa kwenye moto wa milele huku mlemavu akipeta mbinguni kwa BASATA ni sawa. Yaani kwa mjibu wa BASATA hakuna wachungaji waovu hapa Duniani.
Tatizo la BASATA ni udiniKatika wimbo wa Dulla Makabila wa Pita huku, kaelelezea hukumu ya adhabu ya moto wa milele. Kwamba hukumu hii inaweza kumpata yeyote kutegemea na matendo yake maovu aliyoyafanya hapa Duniani.
Haidhalilishi wadhifa aliokuwa nao hapa Duniani. Kaonesha daktari, mchungaji na watu wengine mbali mbali wakipata adhabu hiyo. BASATA wamekuja juu kwamba kakosea kuonesha mchungaji akipata adhabu hiyo.
Ila kwa kuonesha mtu kama daktari akiswekwa kwenye moto wa milele huku mlemavu akipeta mbinguni kwa BASATA ni sawa. Yaani kwa mjibu wa BASATA hakuna wachungaji waovu hapa Duniani.
Wasanii wanawapromote sana hao mashogaNasikia kuna shoga pia kwenye kideo kampa shavu
Ova
Nilijiuliza sana jamaa kurekodiwa vile nguvu ile kaitoa wapi?Wasanii wanawapromote sana hao mashoga
Bongo fleva,wasanii wa sasa wako karibu na mashogaWasanii wanawapromote sana hao mashoga
Angemtumia mufti au shehe basi.Katika wimbo wa Dulla Makabila wa Pita huku, kaelelezea hukumu ya adhabu ya moto wa milele. Kwamba hukumu hii inaweza kumpata yeyote kutegemea na matendo yake maovu aliyoyafanya hapa Duniani.
Haidhalilishi wadhifa aliokuwa nao hapa Duniani. Kaonesha daktari, mchungaji na watu wengine mbali mbali wakipata adhabu hiyo. BASATA wamekuja juu kwamba kakosea kuonesha mchungaji akipata adhabu hiyo.
Ila kwa kuonesha mtu kama daktari akiswekwa kwenye moto wa milele huku mlemavu akipeta mbinguni kwa BASATA ni sawa. Yaani kwa mjibu wa BASATA hakuna wachungaji waovu hapa Duniani.
Angeonyesha na shekhe akiingizwa motoni,Kwan mashekhe wote ni malaika ? BASATA wapo sahihiKatika wimbo wa Dulla Makabila wa Pita huku, kaelelezea hukumu ya adhabu ya moto wa milele. Kwamba hukumu hii inaweza kumpata yeyote kutegemea na matendo yake maovu aliyoyafanya hapa Duniani.
Haidhalilishi wadhifa aliokuwa nao hapa Duniani. Kaonesha daktari, mchungaji na watu wengine mbali mbali wakipata adhabu hiyo. BASATA wamekuja juu kwamba kakosea kuonesha mchungaji akipata adhabu hiyo.
Ila kwa kuonesha mtu kama daktari akiswekwa kwenye moto wa milele huku mlemavu akipeta mbinguni kwa BASATA ni sawa. Yaani kwa mjibu wa BASATA hakuna wachungaji waovu hapa Duniani.
Shida sio kipande kile, shida ni mchungaji bhabaa dear wee.Aliitwa Basata kwa ajili ya kipande cha video alicho act Aggrey wakidhani ana hamasisha Ushoga ila baada ya kuusikiliza na kuuona wimbo wote wamempongeza kwa kazi nzuri sana.
Uongooooo sio kipande cha Aggrey, ni huyo mchungaji, why asingeweka Sheikh au ostadh.?Wabongo wengi mnatatizo la kutofuatilia taarifa kwa usahihi , uzi wako ni batili Dulla Makabila hajaitwa kwa kosa la kipande cha mchungaji basata wala hawajakosoa kipande hiko . Soma comment ya Mariposa utaelewa zaidi.
Hi BASATA ina watu washamba sana hawajitambui, wanamaanisha nini? Kwamba ukiwa mchungaji ndiyo kibali cha kwenda mbinguni?!.Katika wimbo wa Dulla Makabila wa Pita huku, kaelelezea hukumu ya adhabu ya moto wa milele. Kwamba hukumu hii inaweza kumpata yeyote kutegemea na matendo yake maovu aliyoyafanya hapa Duniani.
Haidhalilishi wadhifa aliokuwa nao hapa Duniani. Kaonesha daktari, mchungaji na watu wengine mbali mbali wakipata adhabu hiyo. BASATA wamekuja juu kwamba kakosea kuonesha mchungaji akipata adhabu hiyo.
Ila kwa kuonesha mtu kama daktari akiswekwa kwenye moto wa milele huku mlemavu akipeta mbinguni kwa BASATA ni sawa. Yaani kwa mjibu wa BASATA hakuna wachungaji waovu hapa Duniani.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Halafu amevaa makobazi miguuni, huku akiwa na midevu kama Osama! Yaani mpaka muda huu wangekuwa tayari wanavunja maduka ya watu mtaani ili waibe mchele na unga, kwa kisingizio cha kukashfiwa dini yao.
Wanazibuliwa utawajua tu,achana nae mkuuDini ya juzi iite wakongwe wa imani ya Mungu "makafwili"?Kweli?Dini ya juzi hiihii?
Asante cute,naamini wameelewaAliitwa Basata kwa ajili ya kipande cha video alicho act Aggrey wakidhani ana hamasisha Ushoga ila baada ya kuusikiliza na kuuona wimbo wote wamempongeza kwa kazi nzuri sana.
Unaonaje aweke na shekhe akichomwa? Kwani kutakuwa na Shida?Kwa nini na madokta wetu wasikinukishe? Hiko chama cha MAT mbona kimeona Dulla yuko sahihi kwa huyo Dokta kusweka motoni. Pia TLS kimeona ni sawa huyo hakimu kuswekwa motoni. Kwa nini Basata imeghafirika mchungaji wa aina hiyo kuswekwa kwenye moto wa
milele? Au Basata ina wachungaji wengi?
Unaonaje akiweka na shekhe?Mbona kajitahidi kubalance: kaweka kiongozi wa dini, daktari, mwanasheria, chagudoa, mlevi, mke na mume.
Niliona kwenye interview yule jamaa wa BASATA akiwa na Dulla alitoa huo ufafanuzi sasa sijui kama kuna mengine ya tofauti
Uongooooo sio kipande cha Aggrey, ni huyo mchungaji, why asingeweka Sheikh au ostadh.?
Sent using Jamii Forums mobile app