BASATA mtusaidie huu wimbo jana umenajisi kitongoji chetu siku nzima

BASATA mtusaidie huu wimbo jana umenajisi kitongoji chetu siku nzima

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Hizi nyimbo za watu wa pwani wanaimba kama watu wanakimbia mchakamchaka fulani hivi zinaitwa Singeli.

Jana watoto wengi walipata vipaimara sasa kuna Nyumba moja walikodisha mziki ambao sauti Kitongoji chote ilizizima kana kwamba kila mwanakitongoji kavalishwa headphone kwa ile mdundo.

Mdundo haukuwa shida hadi vibao cha ajabu na cha kijinga kabisa kilipowekwa kwa kujirudiarudia. Yule jamaa na mmama wanaoimba wanaimba "Kaliachupa Dadaaa, kaliachupaa".

Sasa hadi imefikia hatua ya Wanawake kuhamasishwa kukalia vyupa hadharani na promotion mitaani hivi Mimi naona sio sawa. Wimbo huu uzuiliwe aisee.
 
Mkuu swala la singeli nazani si la basata maana naona kila siku ni bongofleva tu wakizingua wanaitwa na baraza
 
Mkuu swala la singeli nazani si la basata maana naona kila siku ni bongofleva tu wakizingua wanaitwa na baraza
Mkuu asubuhi hadi jioni wakinamama wanahamasishwa wakalie vyuuupa.

Wachukuliwe hatua hawa. Sasa mtu akiuelewa huo wimbo na kuanza kukalia chupa ya balimi si ndio kuvunjiana ndoa huko na kuonekana dunia nzima ni bamia tu
 
Mkuu asubuhi hadi jioni wakinamama wanahamasishwa wakalie vyuuupa.

Wachukuliwe hatua hawa. Sasa mtu akiuelewa huo wimbo na kuanza kukalia chupa ya balimi si ndio kuvunjiana ndoa huko na kuonekana dunia nzima ni bamia tu
😂😂Kwel Mkuu
 
Kuna huo unaitwa "utakuja" unatrend sana
Hebu weka kama kuna linkbyoutube tuukague maana nimekuwa sizizingatii inabidi niziangalie.

Mchakamchaka flani hivi ila humo ndani kuna pornographia za hatari. Kila ni Habari zaidi zinapopigwa kwenye public na watoto wanasikiliza
 
Hebu weka kama kuna linkbyoutube tuukague maana nimekuwa sizizingatii inabidi niziangalie.

Mchakamchaka flani hivi ila humo ndani kuna pornographia za hatari. Kila ni Habari zaidi zinapopigwa kwenye public na watoto wanasikiliza
Sina link lakini ukicheki YouTube unaupata
 
Hizi nyimbo za watu wa pwani wanaimba kama watu wanakimbia mchakamchaka fulani hivi zinaitwa Singeli.

Jana watoto wengi walipata vipaimara sasa kuna Nyumba moja walikodisha mziki ambao sauti Kitongoji chote ilizizima kana kwamba kila mwanakitongoji kavalishwa headphone kwa ile mdundo.

Mdundo haukuwa shida hadi vibao cha ajabu na cha kijinga kabisa kilipowekwa kwa kujirudiarudia. Yule jamaa na mmama wanaoimba wanaimba "Kaliachupa Dadaaa, kaliachupaa".

Sasa hadi imefikia hatua ya Wanawake kuhamasishwa kukalia vyupa hadharani na promotion mitaani hivi Mimi naona sio sawa. Wimbo huu uzuiliwe aisee.
Neno kipaimara halina wingi mkuu.
 
Huko pwani kucheza ngoma na hayo manyimbo ya kijinga kijinga ndo kapaumbele chao, ndo maana madaktari na maprofesa wenye asili ya pwani inabidi uwatafute kwa tochi, sasa ukikaa uswahilini lazima ukutane na changamoto kama hizi.
 
Back
Top Bottom