Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
[emoji3][emoji3]..Aya sawa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hapo sawa Sasa nimeelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3]..Aya sawa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hapo sawa Sasa nimeelewa.
Wewe ni fambaHatuwezi kuvumilia utovu wa maadili kiasi hiki. Huu wimbo wa Ney wa Mitego uitwao "kwa mpalange" sina haja ya kuuelezea ni wimbo mchafu mno kuanzia tu na jina lake eti "kwa mpalange"?.
Kama tutawavumilia wasanii Kama Ney wa Mitego tutaharibu hiki kizazi, naomba BASATA wamfungie Ney Wa Mitego kujihusisha na muziki kwa miaka 3 na pia wafungie wimbo wake wa matusi ulio kinyume na maadili wa kwa mpalange ili iwe fundisho kwa wasanii wengine wenye nia ovu Kama yake.
Sasa huu Peleka Moto ndio umeoza kuliko aisee. Jamaa ni upuuzi mwanzo mwisho aisee.Mkuu unaujua wimbo unaitwa wee mpelekee moto?
Achana na 'mpelekee moto' kuna Unaitwa pwaahSasa huu Peleka Moto ndio umeoza kuliko aisee. Jamaa ni upuuzi mwanzo mwisho aisee.
Huu Pwaah kaimba nani tena? .bongo nyosoAchana na 'mpelekee moto' kuna Unaitwa pwaah
huyo chalii wa mpelekee Moto na whozu ...Huu Pwaah kaimba nani tena? .bongo nyoso
Wamajidai kulinda maadili wakati serikalin wamejaa mafisadi na wezi wa kura za wananchiKwani maadili gani mnayoyalinda?
Kweli zipo nyingi kuna wimbo unaimba " MKE WANGU NAKURUHUSU UKADANGE NA UKIPATA BUZI LA KIZUNGU MPELEKE KWA MPANGALANGE " anaongezea hadi tujenge nyumba!!! Yaani my wife I give you permission to be a prostitute and if you get a Europian/Caucasian client allow him to sodomize you"Kuna nyimbo nyingi tu za hovyo, basata wanaangalia tu,
Nashauri basata ifutwe.
Diamond kamfundishaWakati anatunga Huu wimbo sijui aliwaza kitu gani na ujasiri wa kuimba wimbo Huu na kuutoa kwa jamii ameupata wapi?Wimbo Ni mzuri kwa maana ya beat, Melody lakini ujumbe Ni wa ovyo sana.
Wanafki tu hawa mkuu...kila siku maadili maadili...yakwapi hayo maadili yenyew sasa...Wamajidai kulinda maadili wakati serikalin wamejaa mafisadi na wezi wa kura za wananchi
Ney kapotea mzee??Hakuna haja ya kumfungia msanii aliyepotea ni sawa na kupiga bomu mochwari.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimejikuta nacheka tyuuhAkimaanisha buza kwa mpalange kuna matope au siyo?