cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu unaujua wimbo unaitwa wee mpelekee moto?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu unaujua wimbo unaitwa wee mpelekee moto?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahhuyo chalii wa mpelekee Moto na whozu ...
Anakuambia Kalibusti liwe saa 6 amevua Tuu pwaah
Eti Mimi sijawahi nimeweka Tuu pwaah
Mkongo ,Alkasusi sekunde ya Tano Tuu pwaah
Wenye ukoo hawawezi vuta mpunga kwa huyo Ney kwa kutumia jina bila idhini yao?kwanza kabisa, mpalange ni jina la ukoo wa watu, kwa mpalange ni mtaa upo buza, kulikuwa na mzee anaitwa mpalange
kwa hiyo si vyema kulitumia jina la watu, na jina la mtaa kama tusi, sio vyema
Basata wakisikia hivyo wanachekelea tu.Kweli zipo nyingi kuna wimbo unaimba " MKE WANGU NAKURUHUSU UKADANGE NA UKIPATA BUZI LA KIZUNGU MPELEKE KWA MPANGALANGE " anaongezea hadi tujenge nyumba!!! Yaani my wife I give you permission to be a prostitute and if you get a Europian/Caucasian client allow him to sodomize you"
Kigezo cha kwanza cha kumfungia ni jina la wimbo kweli?Hatuwezi kuvumilia utovu wa maadili kiasi hiki. Huu wimbo wa Ney wa Mitego uitwao "kwa mpalange" sina haja ya kuuelezea ni wimbo mchafu mno kuanzia tu na jina lake eti "kwa mpalange"?.
Kama tutawavumilia wasanii Kama Ney wa Mitego tutaharibu hiki kizazi, naomba BASATA wamfungie Ney Wa Mitego kujihusisha na muziki kwa miaka 3 na pia wafungie wimbo wake wa matusi ulio kinyume na maadili wa kwa mpalange ili iwe fundisho kwa wasanii wengine wenye nia ovu Kama yake.
Iyo kitu utamu wake we acha tu yaniHalafu jamani kiukweli ufungiwe tuu,maana wanavyoimba hivyo,halafu nakuta mada za mambo haya humu napata vishawishi vya kuonja hiyo kitu daaah!Ina nini hasa? Maana wadada ndo wanahamasishana sn kutoa na kwamba ndo ujanja na kuwa et ni tamuuuuu.Vijana nao ndo mmh!
umeelewa au umisikia ulichokua unakitaka kukisikia? 😂😂😂😀😀😀😀
Hapo sawa Sasa nimeelewa.
Nimeelewaumeelewa au umisikia ulichokua unakitaka kukisikia? 😂😂😂
Anazungumzia kusex nyuma Ni patamu na anatoa na sifa yake.Kilichoimbwa please..ili niweze kuunga hoja ya uzi
Ushaanza kuingiza ushabiki wa vyama hiv ujui Hili jukwaa linaitwaje?Hiv kwanini mnapenda Sana kuingiza mambo ya siasa kwenye mambo ambayo hayana siasaWivu wa kipuuzi kwa sababu jamaa sio ccm mbona ccm kuna wapuuzi wengi wanaimba upuuzi mtupu
Hakuna haja ya kumfungia msanii aliyepotea ni sawa na kupiga bomu mochwari.
Hatuwezi kuvumilia utovu wa maadili kiasi hiki. Huu wimbo wa Ney wa Mitego uitwao "kwa mpalange" sina haja ya kuuelezea ni wimbo mchafu mno kuanzia tu na jina lake eti "kwa mpalange"?.
Kama tutawavumilia wasanii Kama Ney wa Mitego tutaharibu hiki kizazi, naomba BASATA wamfungie Ney Wa Mitego kujihusisha na muziki kwa miaka 3 na pia wafungie wimbo wake wa matusi ulio kinyume na maadili wa kwa mpalange ili iwe fundisho kwa wasanii wengine wenye nia ovu Kama yake.
🤣🤣🤣🤣🤣Mzee wa pale kati patamu.
Tatizo linaanzia, pale mtu anapo tafsiri wimbo kwa maana anayotaka yeye 😀😀😀Kwani kwa mparange ni wapi?
Ila hiyo ni tafsiri yako mkuu. Ni kama fumbo kila mtu anaweza pata maana yake au sioAkimaanisha kufanya anal sex..
Wewe mtoto wa daslam isijifanye hujui maana yake[emoji23]
Bora yako, umekuwa na mtazamo chanyaNi wivu tu. Kwa mpalange barabara ni za vumbi. Na Mvua zikinyesha ni tope.
Kuna joto kwa sababu nyumba zimebanana Sana.
Nasema uongo ndugu zangu?
Mkuu ni uchafu na ni dhambi ( kimaadili sio nzuri na hata ki afya pia )Halafu jamani kiukweli ufungiwe tuu,maana wanavyoimba hivyo,halafu nakuta mada za mambo haya humu napata vishawishi vya kuonja hiyo kitu daaah!Ina nini hasa? Maana wadada ndo wanahamasishana sn kutoa na kwamba ndo ujanja na kuwa et ni tamuuuuu.Vijana nao ndo mmh!