BASATA, Ney wa Mitego afungiwe miaka mitatu na wimbo wake wa “Kwa Mpalange”

BASATA, Ney wa Mitego afungiwe miaka mitatu na wimbo wake wa “Kwa Mpalange”

Hamna matusi yanayoimbwa ni tafsida. Na tafsida zinaimbwa tokea zamani.
Acheni unafiki.
Tafsida inayoeleweka na watu wengi haitakiwi kutumiwa ovyo ikaathiri wengine, ungesema ni fumbo sawa, mana fumbo huwezi kulitafsiri direct kama tafsida zoeleka. Mf ni nani leo hajui neno uani kama ni bafuni/chooni hiyo ni tafsida.
Unaficha ukal wa maneno kwa maneno ambayo hayana maadili yenye kuchochea uovu?
Wasanii wa saizi n wajinga wanatembelea upepo wa maneno yanayotrend badala ya kuwa na utunzi mzr.
 
Miziki mara nyingi in uhuni mtupu tena siku hizi 95% kila msanii bongo lazima nyimbo yake aimbe na kuhamasisha mambo yasiyofaa na wanazidi kuendelea kutokana na sapoti wanayopata .
 
Huu ni muendelezo wa nyimbo za hovyo. Ila inaonyesha ndiyo muelekeo wa soko. Wateja wamegeuka kutoka kuhijtaji nyimbo za mapenzi na kuhitaji nyimbo za ngono. So sad.
 
Nandi, harmonize ,wasafi, etc ndani ya nyimbo zao kwa tafsiri ya ndani maneno mengi matusi.......au ndio hitaji LA jamii yetu kwa sasa
 
Sijajua kwanini hili neno 'mpalange' limehuishwa na kuliwa matako..

Sijajua kwakweli. Naomba ufafanuzi.
 
Back
Top Bottom