BASATA, Ney wa Mitego afungiwe miaka mitatu na wimbo wake wa “Kwa Mpalange”

Halafu jamani kiukweli ufungiwe tuu,maana wanavyoimba hivyo,halafu nakuta mada za mambo haya humu napata vishawishi vya kuonja hiyo kitu daaah!Ina nini hasa? Maana wadada ndo wanahamasishana sn kutoa na kwamba ndo ujanja na kuwa et ni tamuuuuu.Vijana nao ndo mmh!
 
Wewe ni famba
Kwani kwa mpalange si ni sehemu ipo Buza
 
Kuna nyimbo nyingi tu za hovyo, basata wanaangalia tu,
Nashauri basata ifutwe.
Kweli zipo nyingi kuna wimbo unaimba " MKE WANGU NAKURUHUSU UKADANGE NA UKIPATA BUZI LA KIZUNGU MPELEKE KWA MPANGALANGE " anaongezea hadi tujenge nyumba!!! Yaani my wife I give you permission to be a prostitute and if you get a Europian/Caucasian client allow him to sodomize you"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…