BASATA, Ney wa Mitego afungiwe miaka mitatu na wimbo wake wa “Kwa Mpalange”

huyo chalii wa mpelekee Moto na whozu ...
Anakuambia Kalibusti liwe saa 6 amevua Tuu pwaah
Eti Mimi sijawahi nimeweka Tuu pwaah

Mkongo ,Alkasusi sekunde ya Tano Tuu pwaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah
 
kwanza kabisa, mpalange ni jina la ukoo wa watu, kwa mpalange ni mtaa upo buza, kulikuwa na mzee anaitwa mpalange

kwa hiyo si vyema kulitumia jina la watu, na jina la mtaa kama tusi, sio vyema
Wenye ukoo hawawezi vuta mpunga kwa huyo Ney kwa kutumia jina bila idhini yao?
 
Basata wakisikia hivyo wanachekelea tu.
 
Kigezo cha kwanza cha kumfungia ni jina la wimbo kweli?
Mpalange ni jina la mtu na tunaposema kwa mpalange nadhani umeelewa nini maana
Sasa katika misamiati ya kiswahili mpalange inatajwa kama nini?
Ama hii ni lugha gani ambayo tafsiri yake kwa kiswahili ninini
Hamna sababu ya kumfungia ney
Makosa utakuwa nayo wewe ambaye umetafasiri huu wimbo na maana zako na utuambie umetoa wapi hiyo maana

Ney hawezi kufungiwa kwa maoni yako tu
 
Iyo kitu utamu wake we acha tu yani
 
Wivu wa kipuuzi kwa sababu jamaa sio ccm mbona ccm kuna wapuuzi wengi wanaimba upuuzi mtupu
Ushaanza kuingiza ushabiki wa vyama hiv ujui Hili jukwaa linaitwaje?Hiv kwanini mnapenda Sana kuingiza mambo ya siasa kwenye mambo ambayo hayana siasa
 

Mzee wa pale kati patamu.
 
Mkuu ni uchafu na ni dhambi ( kimaadili sio nzuri na hata ki afya pia )
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…