Tafsida inayoeleweka na watu wengi haitakiwi kutumiwa ovyo ikaathiri wengine, ungesema ni fumbo sawa, mana fumbo huwezi kulitafsiri direct kama tafsida zoeleka. Mf ni nani leo hajui neno uani kama ni bafuni/chooni hiyo ni tafsida.Hamna matusi yanayoimbwa ni tafsida. Na tafsida zinaimbwa tokea zamani.
Acheni unafiki.
Ila we nayeNi wivu tu. Kwa mpalange barabara ni za vumbi. Na Mvua zikinyesha ni tope.
Kuna joto kwa sababu nyumba zimebanana Sana.
Nasema uongo ndugu zangu?
Vipi Mkuu? Kuna tatizo ?Ila we naye
Bora hiyo imefichika kwa tasfida kuliko hii ya ney wa mitego unajua kabisa msanii kamaanisha niniHata ule wa sukari, ukituliza akili vizuri, ni matusi.
At least wa kupeleka moto unahamasisha tujitume kitandani ,hii hata kwenye ndoa tunafundishwa kuwa tupeleke moto haswa haswa ilii wake zetu walizike .Sasa huu Peleka Moto ndio umeoza kuliko aisee. Jamaa ni upuuzi mwanzo mwisho aisee.
Bora Monchwari atakufa Mshana..Hakuna haja ya kumfungia msanii aliyepotea ni sawa na kupiga bomu mochwari.
Duhh..Hamna matusi yanayoimbwa ni tafsida. Na tafsida zinaimbwa tokea zamani.
Acheni unafiki.
Sijajua kwanini hili neno 'mpalange' limehuishwa na kuliwa matako..
Sijajua kwakweli. Naomba ufafanuzi.
Kule ambapo mheshimiwa jiwe (rais wa wanyonge) hupenda kukutaja taja mara kwa mara, mfano; anavyowauliza wamama wanataka kupanuliwa wapi*Kwani kwa mparange ni wapi?