BASATA waufungia wimbo wa Nay 'Nitasema'

BASATA waufungia wimbo wa Nay 'Nitasema'

Wakuu,

Ila BASATA mmekuwa zaidi ya mizigo! Kwa hawa watu wote wanaotekwa na kuwataja polisi 🤣 🤣 au wenzetu hamjui Kiswahili. Mapana naona ndio utakuwa kiongozi kituko kuwahi kutokea tokea BASATA ianzishwe!

Halafu serikali na CCM hamjifunzi, yaani mnarudia mambo yale yale ambayo yakuja ku backfire, mnareact ovyo ovyo bila kujipanga. Mngeuchuna wala huu wimbo usingekuwa ishu, sasa mnafanya hata wale ambao hawakuusikia wameze vizuri mstari hadi mstari halafu mje muwaambie alichopotoshwa Nay ambacho hakijawahi kusemwa na wahanga ni kipi!

=====

Alichojibu Nay wa Mitego baada ya barua hii,

Hii barua ya kufungia wimbo wa 'Nitasema'. Yaani unafungia wimbo ambao mnajua kabisa hakuna media inapiga kwenye nchi hii coz media zote ni chawa wa serikali. BASATA Tanzania haya mąkosa mbona hamkuyaandika kwenye ile hati ya mashtaka mliyonipa?!

Kwaiyo haya ndio mąkosa waliyoyaona na kuufungia wimbo na sijui wanaufungia wapi sasa? Maana hakuna media inapiga nyimbo zangu na nilishasahau mambo ya nyimbo zangu kupigwa radioni sijui kwenye TV!

Kosa la pili mimi mwenyewe ni shahidi nilikosoa kwenye wimbo wangu #wapo nikakamatwa na police na dunia inajua hilo.

Kosa la kwanza tumeona mara kadhaa wanaotekwa na kubahatika kupatikana hai wakisema walio kuja kuwateka walijitambulisha kama police.

Nadhani wote tunajua huu wimbo hauna tatizo ata kidogo na ni wimbo wa kila mtanzania mwenye kupenda amani na upendo viendelee kuta wala nchini kwetu.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Haya ndiyo makosa ambayo BASATA wanamtuhumu Nay wa Mitego kutokana na wimbo wake wa Nitasema

- Ney wa Mitego aitwa BASATA kujadili wimbo wake wa ‘Nitasema’
Asanteni BASATA kwa uupa promo huu wimbo wa kiwanamapinduzi.
 
Watu washakuwa na huu wimbo tokea umetoka wakijua kinachoendelea.👇
 

Attachments

  • Screenshot_20241011-090331.png
    Screenshot_20241011-090331.png
    162.9 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241011-090343.png
    Screenshot_20241011-090343.png
    463.9 KB · Views: 3
Hii taarifa ipo tangu jana, sasa kuna nyimbo ya NAY inapigwa kwenye vyombo vya burudani hapa Bongo? 🤣🤣🤣
 
Hivi BASATA zile video zinazorushwa za wadada wako na vichupi kwenye baadhi ya luninga huwa hawahusiki nazo,wafanye kazi kwa kutokuangalia upande mmoja,inawezekana kweli wimbo wa Ney ukawa una ukakasi,basi wazuie hata nyimbo ambazo hata sisi wazazi tunashindwa kuangalia na watoto zetu kwenye luninga,kwakuwa kimaadili sio nzuri...
 
Wakuu,

Ila BASATA mmekuwa zaidi ya mizigo! Kwa hawa watu wote wanaotekwa na kuwataja polisi 🤣 🤣 au wenzetu hamjui Kiswahili. Mapana naona ndio utakuwa kiongozi kituko kuwahi kutokea tokea BASATA ianzishwe!

Halafu serikali na CCM hamjifunzi, yaani mnarudia mambo yale yale ambayo yakuja ku backfire, mnareact ovyo ovyo bila kujipanga. Mngeuchuna wala huu wimbo usingekuwa ishu, sasa mnafanya hata wale ambao hawakuusikia wameze vizuri mstari hadi mstari halafu mje muwaambie alichopotoshwa Nay ambacho hakijawahi kusemwa na wahanga ni kipi!

=====

Alichojibu Nay wa Mitego baada ya barua hii,

Hii barua ya kufungia wimbo wa 'Nitasema'. Yaani unafungia wimbo ambao mnajua kabisa hakuna media inapiga kwenye nchi hii coz media zote ni chawa wa serikali. BASATA Tanzania haya mąkosa mbona hamkuyaandika kwenye ile hati ya mashtaka mliyonipa?!

Kwaiyo haya ndio mąkosa waliyoyaona na kuufungia wimbo na sijui wanaufungia wapi sasa? Maana hakuna media inapiga nyimbo zangu na nilishasahau mambo ya nyimbo zangu kupigwa radioni sijui kwenye TV!

Kosa la pili mimi mwenyewe ni shahidi nilikosoa kwenye wimbo wangu #wapo nikakamatwa na police na dunia inajua hilo.

Kosa la kwanza tumeona mara kadhaa wanaotekwa na kubahatika kupatikana hai wakisema walio kuja kuwateka walijitambulisha kama police.

Nadhani wote tunajua huu wimbo hauna tatizo ata kidogo na ni wimbo wa kila mtanzania mwenye kupenda amani na upendo viendelee kuta wala nchini kwetu.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Haya ndiyo makosa ambayo BASATA wanamtuhumu Nay wa Mitego kutokana na wimbo wake wa Nitasema

- Ney wa Mitego aitwa BASATA kujadili wimbo wake wa ‘Nitasema’
Nimetafuta statement ya BADATA dijaona hii barua.

Mkuu hii taarifa naweza kuithibitisha wapi? Tuwekee link pls kama inawezekana

JamiiCheck pls mtusaidie maana tukianza kuwanyoosha BASATA tuwe na uhakika na walichokifanya
 
Kuna msanii alitoa ka remix kanasema " sambaratisha K yake" sijasikia hata kuitwa
 
Back
Top Bottom