Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Bila hongo haupati mchongo hiyo ndio bongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh kumbe, so inaweza kuwa wakina wizkid Burnaboy @focalist n. K, na wao walipeleka kazi zao kuomba ushiriki?Hizi tuzo kuandaliwa na Basata ni sawa tu.Kwenye maandalizi ya tuzo huwa kunatangazwa Categories na wasanii wenyewe hupeleka kazi zao kwenye hizo Categories na sio muandaaji so waandaaji huchagua ama zote au huchambua kazi zilizofikia vigezo them sasa hutoa hadharani na kusikia opinions za watu au kura. Sasa kama wewe msanii hukupeleka kazi hutakuwepo. Wasafi wasanii wao hawakupeleka kazi zao so hawatakuwepo na hawalazimishwi .
duuh wewe huyu!!!Team chai jaba watatokwa povu
Kwa hapa hata mie nimeshangaa khaaah.Best Male Artist of the Year,Ben Paul kafanya kazi gani 2020/2021? hii nchi michongo mingi sana.
Barnaba Classic,katemwa mazimaaa hayupo hata kipengele kimoja!! ile Cheketua ft Kiba,BaSaTa wanaiona ndogo sana au?
BIBI ASIEJIELEWA USHAZEEKA ACHA CHUKI KWA VIJANA😂😂😂Team chai jaba watatokwa povu
BIBI ASIEJIELEWA USHAZEEKA ACHA CHUKI KWA VIJANA😂😂😂
BIBI ASIEJIELEWA USHAZEEKA ACHA CHUKI KWA VIJANA😂😂😂