Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
Unapatikanaje huo mkuu..?mimi sijausikia.Hapo bado hawajausikia Usinipangie wa Baghdad.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapatikanaje huo mkuu..?mimi sijausikia.Hapo bado hawajausikia Usinipangie wa Baghdad.....
Mkuu uko sahihi sana,,, japo avatar yako inatishaBASATA wanatumia moyo kutoa maamuzi. Wamesema hauna Maadili. Na unaleta uchochezi
Unatakiwa ujiulize maadili ambayo wimbo umeyakiuka ni yapi ? Na uchochezi ni upi ? Au watu kumbukuka Jakaya "wapo" ndiyo maneno ya uchochezi ? Tatizo mnatenda kuangalia namna ya kufurahisha wakuu wenu hasa Mkuu Wa mkoa kama ndiyo kipimo cha maadili
Wimbo wowote utakaoondoa furaha ya Waheshimiwa wenu hauna maadili !
Cheki post namba 87, niliutuma jana.Unapatikanaje huo mkuu..?mimi sijausikia.
hauna maadili kuna mtu katukanwa???...tunao na tunaupenda ni kwelk WAPO.Ukitamka Bashite tu, hilo jambo ni Batili. Ndio hapo pagumu, Bashite haguswi kwenye kashfa yeyote
watu wanausikiliza kama vile ni wimbo wa taifaNey alikua anajua utafungiwa by the time anautoa. BASATA guys are just playing to his tune. Jamaa keshaurelease na watu wameusikia na wanao kwenye devices zao.
Ney wa Mitego keshafikisha ujumbe aliokusudia. Utashangaa hili song linapigwa sana ukikaribia uchaguziwatu wanausikiliza kama vile ni wimbo wa taifa
basata nanyie toeni video ya wimbo wataifa tangu uhuru hamtaki kushootNey wa Mitego keshafikisha ujumbe aliokusudia. Utashangaa hili song linapigwa sana ukikaribia uchaguzi
Ni kweli. Kumshikilia Nay ni kufanya hata wale ambao walikuwa hawajaupata au hawakuwa na interest ya kuutafuta wautafute kwa hali na mali. Lengo la Nay limetimia, na hakuna kesi hapo...kesho kutwa atakuwa uraiani.Kupigwa radio halikuwa Lengo la wimbo huu,
Wimbo umeshawafikia wahusika (targeted market). Utaendelea kusikilizwa tuu.
Roma mkatoliki alitumia mbinu hii 2015 akatusua.
Ney anapita mule mule hakuna kitakacho haribika.
Kwa kuendelea kumshikilia Ney nikuupa 'kìki' wimbo huu, majority watautafuta n.a. kuusikiliza.
Hivyo basi kila kinachoendelea kwa sasa ni sawa na kumpiga chura teke.
ukiona hivyo kuna jambo ala siri kati yao sio bureBASHITE atakuwa na nini sijui, hakuna silaha inayotumwa dhidi yake inafaulu.
Lazima Mkuu wa Nchi anamkingia kifua!
Hapa nausikiliza sasa hivi ni mzuri sana [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Ambao tunao huo wimbo haturuhusiwi kuusikiliza sabab umefungiwa? Naulza tu
Katibu Mkuu wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Mngereza amesema wataufungia wimbo wa 'Wapo' wa Nay wa Mitego kwani hauna maadili. Amesema haufai unachochea vurugu.
Wapuuzi mbona wimbo wa Mjomba Enzi za Kikwete haukufungiwa au ule wimbo wa wagosi wa Kaya. Hata Ndiyo mzee wa Prof. J. Mimi sioni tofauti au kwa sababu kuna kisehemu kinataja Bashite na vyeti feki. Basi wafute na basi la MusukumaSijawahi kuona wimbo makini wa kuasa uongozi kama wimbo wa ney, jamaa amekwenda na wakati kweli kweli na anastahili pongezi. Kuhufuta ni dalili za uoga na kuficha criticism ya kweli kabisa. Namna hii ngumu kuendelea kifikra