BASATA: Wimbo wa WAPO wa Ney wa Mitego kufungiwa, hauna Maadili

BASATA: Wimbo wa WAPO wa Ney wa Mitego kufungiwa, hauna Maadili

Utaanzishwa ukaguzi.
Ole wako ukutwe unaumiliki/sikiliza au kuburudishia popote na kwa namna yoyote hata ukiu-google umeulawanya.
Tegemea tamko kama hili.
Yan apo ndo watakua wamebuma kabixa kama wanalengo bora ata waache kwa maana huo wimbo nimeshauifazi google drive ata wasijaribu...
 
Katibu Mkuu wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Mngereza amesema wataufungia wimbo wa 'Wapo' wa Nay wa Mitego kwani hauna maadili. Amesema haufai unachochea vurugu.


wabongo
wabongo
duuu
mi nimeiona hapa, kumbe ndo iko hivyo muvi yenyewe
 
BASATA mnasema hauna maadili, Waziri anaufungua, ina maana gani hii??
 
"Too late to apologize" ... ujumbe ushafika
Kwa wachache wasio na kazi na ushinda mitandaoni wengi haujawafikia na actually ndio walengwa wakuu. Halafu jamani GT kwa nini hamjiongezi message ambayo ni muhimu sana ni kuwa sio msanii analalal anaota anaamka anaandika wimbo lazima kuwe na mipakak hiyo ndiyo mesaage na ni muhimu mnooo!
 
Wimbo umeruhusiwa na Waziri wa Sanaa,amepata maagizo kutoka juu wimbo upigwe vituo vyote na Ney aachiwe mara moja.Pia amemuasa kutaja majina hata ya wauza madawa na mafisadi asiogope
 
Povu limewatoka. Mkulu kasema ni mzuri sana nyie hauna maadili. Aibu ya nani
 
Katibu Mkuu wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Mngereza amesema wataufungia wimbo wa 'Wapo' wa Nay wa Mitego kwani hauna maadili. Amesema haufai unachochea vurugu.


Haya mwenyewe kasema una maadili - haya semeni ndio mzee!
 
BASATA ni MATUTUSA ya kufa mtu. Wataufungiaje wimbo unaolimisha kama huu?
 
Aibu IMEWAJAAAA.... WATU WALITOKWA POVU SANA HUMUUU...

BRAVOOO NAYY
 
Back
Top Bottom